ISRAEL JR
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 1,439
- 631
Mkuu Pascal Mayalla heshima kwako,Mkuu Mwanahabari wa Taifa, asante sana kwa bandiko hili.
Hivi mpango huu ukiisha wapi?.
P.Hatimaye Serikali yawaenzi Rasmi 'Nyerere na Karume'! Yawaundia Bodi ya Kuwaenzi!
Wanabodi, Niko hapa Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, ambapo Bodi ya Wadhamini ya Kuwaenzi Waasisi wa Taifa hili, Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abedi Amani Karume inazinduliwa. Miongoni mwa malengo ya bodi hiyo ni kujenga maktaba na makumbusho ya kazi za Mwalimu na kazi za...www.jamiiforums.com
Akili yako iheshimiwe daima,