Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 92
- 280
CHAMA CHA MAPINDUZI KINA MIONDOKO MINGI KULINGANA NA INAVYOTAKIWA KUWA, CHAMA KIKONGWE NA KITADUMU
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Kuna wakati nabaki kucheka baada ya kusikiwa watu wakiweweseka kuhusu upangaji wa safu za uongozi katika chama cha Mapinduzi, wengi hawajui kwamba chama cha Mapinduzi ndio chama Mama na Baba katika Afrika, ni moja ya vyama vya ukombozi vinavyoendelea kudunda madarakani,
Hakidumu kwa sabubu nyingine bali muundo wake wa uhuru, haki na democrasia ndani ya chama, ni chama kilichojaa viongozi wenye mitindo na kasi zisofanana.
Hii humsaidia Mwenyekiti kupanga na kupangua pasi kuwa na shaka. kinapopumzika chuma kinaingia chuma kingine.
Juzi baada ya Rafiki yetu Paul Makonda kuipiga kazi kisawasawa alipopangiwa kazi nyingine kejeli, maneno yalitawala, kumbe Dr Samia anakiona chuma kingine Amos Makala ( CPA ) watu wanaduwaa tena bado wapinzani wamebanwa pabaya.
Zaidi Dr Samia amewapa UVCCM Joket Mwegelo hawa ndio wajanja wa mjini uwezo wake wa kuunganisha vijana ni mkubwa mno, ana sauti ya mamlaka kwa vijana, anapendwa, hanaga mbambamba, namwona anavyoipaisha UVCCM akishirikiana na CDE Kawaida.
UVCCM iwe na vijana wenye uwezo wa kukisemea chama, waweze kukitetea chama kwa kueleze utekelezaji wa ilani kwa mapana na marefu.
CCM IMESHEHENI MAJEMBE
DR SAMIA ANAUPIGA MWINGI.
Ndimi Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM & Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
View: https://youtu.be/mvmssNFW6aU?feature=shared
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Kuna wakati nabaki kucheka baada ya kusikiwa watu wakiweweseka kuhusu upangaji wa safu za uongozi katika chama cha Mapinduzi, wengi hawajui kwamba chama cha Mapinduzi ndio chama Mama na Baba katika Afrika, ni moja ya vyama vya ukombozi vinavyoendelea kudunda madarakani,
Hakidumu kwa sabubu nyingine bali muundo wake wa uhuru, haki na democrasia ndani ya chama, ni chama kilichojaa viongozi wenye mitindo na kasi zisofanana.
Hii humsaidia Mwenyekiti kupanga na kupangua pasi kuwa na shaka. kinapopumzika chuma kinaingia chuma kingine.
Juzi baada ya Rafiki yetu Paul Makonda kuipiga kazi kisawasawa alipopangiwa kazi nyingine kejeli, maneno yalitawala, kumbe Dr Samia anakiona chuma kingine Amos Makala ( CPA ) watu wanaduwaa tena bado wapinzani wamebanwa pabaya.
Zaidi Dr Samia amewapa UVCCM Joket Mwegelo hawa ndio wajanja wa mjini uwezo wake wa kuunganisha vijana ni mkubwa mno, ana sauti ya mamlaka kwa vijana, anapendwa, hanaga mbambamba, namwona anavyoipaisha UVCCM akishirikiana na CDE Kawaida.
UVCCM iwe na vijana wenye uwezo wa kukisemea chama, waweze kukitetea chama kwa kueleze utekelezaji wa ilani kwa mapana na marefu.
CCM IMESHEHENI MAJEMBE
DR SAMIA ANAUPIGA MWINGI.
Ndimi Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM & Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
View: https://youtu.be/mvmssNFW6aU?feature=shared