CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

ahooo!!!! seee jojwani umwene jope igamba itolo
 
hivi ccm imepoteza vitongoji vingapi huko rungwe ili tujue kweli ni kiboko. halafu hivi vijana kwa ccm unaishia miaka mingapi?
 
kumbe ni walewale wazee wa pembe za ndovu
 
hivi ccm imepoteza vitongoji vingapi huko rungwe ili tujue kweli ni kiboko. halafu hivi vijana kwa ccm unaishia miaka mingapi?

Wilaya Rungwe jumla ya vijiji 155: CCM imepata 132,Chadema 22, CUF kimoja na vijiji vitano kufanya marudio, wakati upande wa vitongoji vilivyopo ni 694: CCM 578,Chadema 111,CUF 2 na TLP viwili.
 
Heeeeeeeeeeeeee!. Polelo, ndi kupilika Highlander ukamenye I kinyachusa gwa myitu!. Fiki ukujoba kibibi fijo as if uli mujanga? Ubujanga bwako buli peupe fijo!.

Heri ya mwaka mpya mu manyani gwangu!.


jose mwakasyuka? gwa kughu jose mwakasyuka? ngammanya une!
 
Tunaomba matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa Rungwe Magharibi ili tujue kweli huyu ni kiboko wa wanyama pori!.
 
Hiv ccm kijana anatakiwa awe na umri wa miaka mingapi ?mbona huyo ni mzee kama wa mika 60?
 
kwanza kasesera hana ujana wowote wa kuitwa kijana , lakini la pili huyu mtu ni mwepesi kuliko kiroba cha pamba , namfahamu sana nimefanya naye kazi serengeti breweries , hana lolote .
 
Back
Top Bottom