CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

Chadema ni chama cha kawaida sana hata sadifa juma anauwezo wa kukisamabratisha kabisa tena mchana kweupe kabisa.
 
Mbona vijana wa CCM ni WAZEE TU? Ina maana CCM hamna vijana? Au ni matokeo ya kuridhishana vyeo inasababisha haya yote?
Kwani heche na ben ni vijana sasa mbona mpaka mashavu yameshuka.
 
Badala ya kuwafanyia wananchi shughuli za maendeleo wao wanaota na kufanya mipango ya kuiangamiza CHADEMA.
 
Magamba endeleeni kurukaruka kama mnang'atwa na siafu sehemu nyeti. Sasa hivi haiko CHADEMA Pekee bali ni UKAWA CD 800,mtaisoma namba.
Namba ya usajili wa chama cha ukawa ni ngapi wanachama wake wangapi.
 
Badala ya kuwafanyia wananchi shughuli za maendeleo wao wanaota na kufanya mipango ya kuiangamiza CHADEMA.
Unataka maendeleo gani usiseme mambo usiyoyajua dogo maendeleo yapo hata kwenye matunda ona hii.
 
View attachment 155833
"Kijana Richard Kasesela keshaanza kazi ya kuisambaratisha CHADEMA Rungwe Magharibi. Kwa hiyo kama ilikuwepo ndoto ya CHADEMA kuchukua jimbo ya Rungwe Magharibi isahaulike.
Kasesela ni hatari! Nyati hafui dafu--hata kasesela akiwa na shot gun tu...."

Nimeshindwa kuelewa uhusiano wa huyu nyati kuuawa na Kasesra na kusambaratishwa kwa Chadema huko Rungwe. Kajipange vizuri katika kujenga hoja kaka. Usilete porojo za vijiweni hapa.

Nona deals za UKIMWI zimeisha za kwenda kila siku na JK Marekani...wamarekani wameshashtukia hawaweki tena hela kwenye mambo ya UKWIMI......anatafuta Ubunge sasa
 
Kumbe anaenda kuwapiga na bunduki mi nilidhani anaenda kuongea siasa na mazuri ya chama chake. Hafu nawashauri hii siasa ya kutukana watu au chama ndiyo ujichukulie ujiko haina tija na muda wake unakaribia kuisha. Tunakoelekea ni watu kuongea mambo ya msingi yanayoihusu jamii.

Kijana Richard Kasesela keshaanza kazi ya kuisambaratisha CHADEMA Rungwe Magharibi. Kwa hiyo kama ilikuwepo ndoto ya CHADEMA kuchukua jimbo ya Rungwe Magharibi isahaulike.

View attachment 155830

Juu: Mpiganaji kijana Richard Kasesela wa UVCCM Rungwe

View attachment 155831
Mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi majukuku Kasesela

View attachment 155832

Kazi ndo hiyo, ishaanza: Kasesela afungua tawi la CCM Ntokela, Rungwe Magharibi.
Rungwe Magharibi hapatoshi mwakani...

CHADEMA sahau jimbo la Rungwe Magharibi....

View attachment 155833

Kasesela ni hatari! Nyati hafui dafu--hata kasesela akiwa na shot gun tu....
 
View attachment 155833
"Kijana Richard Kasesela keshaanza kazi ya kuisambaratisha CHADEMA Rungwe Magharibi. Kwa hiyo kama ilikuwepo ndoto ya CHADEMA kuchukua jimbo ya Rungwe Magharibi isahaulike.
Kasesela ni hatari! Nyati hafui dafu--hata kasesela akiwa na shot gun tu...."

Nimeshindwa kuelewa uhusiano wa huyu nyati kuuawa na Kasesra na kusambaratishwa kwa Chadema huko Rungwe. Kajipange vizuri katika kujenga hoja kaka. Usilete porojo za vijiweni hapa.
Mkuu usihangaike nao wanaonyesha rangi yao halisi nayo ni UJANGILI KUMBE HUYU BWANA NI DUGU MOJA NA KINANA
 
Kasesela atapoteza fedha nyingi kuhonga kama ilivyo kawaida ya ccm na ubunge hataupata kwasababu wasokile wamemstukia kuwa ni kikaragosi cha Kikwete!!! Hilo jimbo linamgoja mwenyewe mteule Jose Mwakasyuka!!! Kasesela lazima akubali hivyo!!!!
 
Aisee Huyu NYATI Mbona ni Mdogo sana kuwindwa? nashaka na maamuzi ya kumuwinda huyo Nyati maana aanonekana ni mdogo na ajfikia Umri wa Kuwindwa.

ni kweli picha inavyoonesha nyati ni mtoto. lakini pia bunduki aliyonayo utafikiri si rifle ya kuulia nyati. mwonekano wake ni kama shot gun fulani hivi ya kupigia ndege. au macho yamenidanganya?
 
huyo ni fisadi tu, anajibaraguza, huku kwetu Rungwe, hawamtambui
 
Kasesela atapoteza fedha nyingi kuhonga kama ilivyo kawaida ya ccm na ubunge hataupata kwasababu wasokile wamemstukia kuwa ni kikaragosi cha Kikwete!!! Hilo jimbo linamgoja mwenyewe mteule Jose Mwakasyuka!!! Kasesela lazima akubali hivyo!!!!

jose mwakasyuka? gwa kughu jose mwakasyuka? ngammanya une!
 
Hatuwezi kuwa tunapoteza muda humu JF kujadili hoja ziso mashiko wala tija kw taifa na maendeleo ya vjana na hata kw vizazi vijavyo!
Huwezi kuwa kiboko katika mto uliokauka, ccm ni mto uliokauka huyo kiboko siatakula watu?? Na rungwe hawatakua tayar kuishi na kiboko ili awatafune WATAMKIMBIZA! Kwanza kiboko huyo alishawah kutishia uhai wa wanadamu na yuko katika mto ulozamisha watu weng na kuleta majonzi kw miaka hamsini ya uhuru ajipangeeee


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
RUNGWE MAGHARIBI sio jimbo la watu waliolala ndugu.
Wana Rungwe Magharibi hawasubiri mtu wa KUTUMWA ama KULETEWA ...watachagua mtu kwa UTASHI WAO, na ufahamu wa uhakika wa namna ambavyo mtu atawaletea mabadiliko

WANA RUNGWE HAWABABAISHWI na misururu ya magari wala PICHA ZA MAJIGAMBO kama za huyu za kuua nyati au kuzindua kijitawi cha chama.

Tafadhali sana usiwadharau wana Rungwe kisai hiki na kama huyo nu kiboko basi kitageuka kumchapa yeye mwenyewe na vibaraka wake kama wewe!
 
Kijana Richard Kasesela keshaanza kazi ya kuisambaratisha CHADEMA Rungwe Magharibi. .

HIGHLANDER Una mawzo ya kizamani na yenye kuongozwa na hulka ya kupenda kusujudu hao wanaokutawala!

Nani alikuambia Rungwe wanawogopa huyo anayekuja na picha za majigambo au hao unaodai wamemtuma?

Tuondolee upuuzi wako wa kudhani mnaweza kukaa mahali na kuamua ati fulani ndio anaenda kuitikisa Rungwe....HUWAJUI WANA RUNGWE kibogoyo wee!
 
Back
Top Bottom