CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

Si mlisema CHADEMA imekufa na sasa mpo kwenye matanga? Inakuwaje leo mtume hicho kibogo chenu kwa CHADEMA?
 
hahhaa mtandao wa nani huyu? kama si wa nywele nyeupe sahau kabisa
 
View attachment 155833
"kijana richard kasesela keshaanza kazi ya kuisambaratisha chadema rungwe magharibi. Kwa hiyo kama ilikuwepo ndoto ya chadema kuchukua jimbo ya rungwe magharibi isahaulike.
kasesela ni hatari! Nyati hafui dafu--hata kasesela akiwa na shot gun tu...."

nimeshindwa kuelewa uhusiano wa huyu nyati kuuawa na kasesra na kusambaratishwa kwa chadema huko rungwe. Kajipange vizuri katika kujenga hoja kaka. Usilete porojo za vijiweni hapa.

hawajakosea sana wapo sawa kabisaaa!!!! Yani tafsiri yake kwa yeyote atakayempinga atatwangwa na bastora umesahau kiwira alipowatishia watu na bastora?

Huyo jamaa ni hatari sanaaa na kama ccm wanamtegemea huyo wamechochola sana.

 
Mkuu hata pale Langiboss kwa Allen hazijafika!!!

aah??! utani huo sasa gwa kisa...mbona nilichunguliapo nikaona kama vile pale ujenzi kokoto zimeshapitiliza? au niliona vibaya? ungesema zimeishia kwa mbira ningekuelewa! langibosi? hamna...kokoto zimeshapita pale bana....acha utani. ngoja nimtafute mtu pale atupie picha humu tupunguze chumvi kwenye hii adisi. chunga gwa kisa...ndo naleta picha hivyo!

mmh..lakini inawezekana. ngoja nisikubishie sana.
 
Ni mwizi au jamabazi? sijawahi hata kumsikia! ana akili timamu? hajawahi kulazwa mirembe?
 
Kijana Richard Kasesela keshaanza kazi ya kuisambaratisha CHADEMA Rungwe Magharibi. Kwa hiyo kama ilikuwepo ndoto ya CHADEMA kuchukua jimbo ya Rungwe Magharibi isahaulike.

View attachment 155830Ka

Juu: Mpiganaji kijana Richard Kasesela wa UVCCM Rungwe

View attachment 155831
Mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi majukuku Kasesela

View attachment 155832

Kazi ndo hiyo, ishaanza: Kasesela afungua tawi la CCM Ntokela, Rungwe Magharibi.
Rungwe Magharibi hapatoshi mwakani...

CHADEMA sahau jimbo la Rungwe Magharibi....

View attachment 155833

Kasesela ni hatari! Nyati hafui dafu--hata kasesela akiwa na shot gun tu....

Kasesela hawezi Kushindana na kijana MWAMBONEKE- Lazima Chadema Ichukue Jimbo La Rungwe Magharibi.

 
Si mlisema CHADEMA imekufa na sasa mpo kwenye matanga? Inakuwaje leo mtume hicho kibogo chenu kwa CHADEMA?

Kasesela hawezi Kushindana na kijana MWAMBONEKE- Lazima Chadema Ichukue Jimbo La Rungwe Magharibi.
 

Attachments

  • 1420253115229.jpg
    1420253115229.jpg
    33.6 KB · Views: 317
Back
Top Bottom