CCM yatangaza kuachana na siasa za kibabe na kurudi kwenye siasa zake za asili za Upendo na Urafiki mwema!

kwa hiyo wale wanachama tuliojitune kwenye ubabe tuhame chama?
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Lini ilitangaza kuanza rasmi siasa za kibabe, chuki na uadui mpaka sasa (leo) itangaze kuacha rasmi?!!
.............Nadhani ungeiweka kuwa kwa tamko hili inakiri kuwa na siasa za kibabe, chuki na uadui na sasa inaamua kuachana nayo.

Hatuwapongezi wala nini........................ Walipaswa tu (kwa msemo wa Mh. Mwanri)...Sukuma ndani tu.........
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
CCM ya Mshikamano ndiyo tunayafahamu.
Namkumbuka sana Mfaume Rashid Makame na matembezi ya mashikamano!
 
Imerudi kama zamani hasa nasikia lugumi kapewa tenda ya jeshi na jeshi ni sekta nyeti haijdiliwi,na kweli imerudi ngoja tuone.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!

Kwani ubabe ndani ya ccm huwa unaletwa na chama, ama kiongozi na genge lake wanaokuwa madarakani? Akitokea kiongozi mwingine mwenye kiburi cha madaraka kama Magufuli, ccm hawana uwezo wowote wa kumdhibiti zaidi ya kufuata atakacho. Saa hii ccm wanafuata tabia ya mama Samia, na sio wao kama chama wameamua.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Wanakumbuka jinsi walivyofika kwenye siasa za visasi na ubabe?, Kama hawakumbuki basi kurudi ni sekunde. Awekeze ktk namna ya kudhibiti sababu zinazo wapeleka huko.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Hawa siawaamini Yaan
Ukiwaambia Mchakato wa Katiba mpya urejee Mezan hawataki
Yaan hawa kazi kutubrush tu kama Viatu vilivyoisha
Je TUME hii haiaminiki sisi tunaaminije maneno ya mdomoni tu
Naver again naver
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Magufuli aliiua CCM na kubakisha genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
We bwege tokea lini mkaacha ubabe na wizi wa kura?
 
Ubabe walikuwa wanamfanyia nani na kwa ulazima gani hadi wafikie huko na kwanini hawakutaka kufuata utaratibu wa kikanuni na sheria elekezi !?
Wanachotaka kusema ni kuwa kuna shetani aliwaingiza huko.

WanaCCM, wanaCHADEMA wenye mapenzi mema, wanaACT, wasio na vyama, watanzania wote wenye mapenzi mema, tushirikiane, tushinikize kupata katiba bora mpya kwa ustawi wa Taifa letu.

Katiba mpya italihakikishia Taifa kutokuangukia tena kwenye utawala dhalimu.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Huyo katibu mkuu uwezo wake wa elimu ya siasa na uchumi ni mdogo. Hajui chama chake ni cha mapinduzi na kipo kupigania matabaka ya chini kupata maendeleo na sio kudolola kwa kunyonywa na tabaka la kinyonyaji. Katika hali hiyo hali ni ya mapambano ya kitabaka.
 
Huyo katibu mkuu uwezo wake wa elimu ya siasa na uchumi ni mdogo. Hajui chama chake ni cha mapinduzi na kipo kupigania matabaka ya chini kupata maendeleo na sio kudolola kwa kunyonywa na tabaka la kinyonyaji. Katika hali hiyo hali ni ya mapambano ya kitabaka.
Elimu yako ya kukariri sidhani kama itakuwa na msaada hata kwa familia yako.
 
Back
Top Bottom