Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,424
Shetani hajawahi kuwa mwema
huyo alikuwa anaenda kuleta fujo wewe kunguru pekeyako unafanya nini kwenye kundi la kuku
Tume huru ni jukumu la serikali siyo CCM!Kutojiingiza katika siasa za kibabe ni pamoja na kukubali kuanzisha TUME HURU YA UCHAGUZI, na kuondoa Sheria kandamizi za uchaguzi!
Wasipofanya hayo ni sawa na kumpigia Mbuzi gitaa ili akate kiuno kitu kischowezekana kabisa!
Kama hujui si ungeuliza basi ?huyo alikuwa anaenda kuleta fujo wewe kunguru pekeyako unafanya nini kwenye kundi la kuku
Kwn serikali iliyopo ni zao la chama gani??Tume huru ni jukumu la serikali siyo CCM!
OkHahahaaaa..... Urafiki mwema!
Mbabe wa ccm kafa wafanye nini!Mbona hata CHADEMA walkuwa wababe, wakakutana na mbabe, wakaishiwa ubabe. Sahizi nawasikia wameanza tena kelele. Kale kadada ka Dodoma kaliongea sana siku ile. Hii ni baada ya mbabe wa siasa za kibabe kuchomoa rout.
Mpaka wewe?Kuna eneo LA ubabe kwenye kusajili NGO na vyama vipya vya siasa
Ziko NGO zina miaka hazijasajiliwa sababu sijui ubabe au kutaka rushwa .Vigezo vyote wanavyo lakini utashangaa NGO ya mfukoni inapewa usajili genuine haipewi!!!
Mama Samia Kitebgo cha usajili Wa NGO Luna maneno pale
Pia kuna maneno kwenye kusajili vyama vipya vya siasa
Hayo maeneo mawili mmmmmmm
Ukitaka waulize NGO lukuki mbona hawawapi usajili ? Kulikoni
Ukitaka itisha kikao na wote walioomba usajili Wa NGO zao wamwage mboga
Maeneo korofi mojawapo ni kwenye usajili Wa NGO na vyama vya siasa na kitengo cha Passport na kutoa vibali vya kazi kwa wawekezaji wageni .kuna ubabe huko acha tu
Mshirika wa CCM, CCMBACT wazalend
Kuna vifo vina faida.Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Wakati hata Magufuli akiwepo hayo naongea nilisema wazi sijawahi badili msimamo kwenye hayovpvMpaka wewe?
Haya mkuu kila zama na kitabu chakeWakati hata Magufuli akiwepo hayo naongea nilisema wazi sijawahi badili msimamo kwenye hayo
Legacy is compromisedKatibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!