CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...

Siasa uchwara au siasa safi, sasa inatosha inabidi wazee wapishe wengine nao wachukue nafasi.

Binafsi naamini mzee Kinana ameona wanakoenda hali sio hali. Maana juzi juzi alishaanza kuumbuliwa kwenye biashara zake...

Pesa tamu, kati ya pesa na siasa bora pesa.

Umefanya vyema Mzee Kinana
 
kwa role aliyoplay na mafanikio ya A. Kinana ndani ya ccm ninategemea sitegemei exit yake iwe shaghala bhagala namna hii .... I sound abnormalities ..... kuna ukweli mwingi sana unafichwa .... nikiunganisha dots jinsi nape alivyokimbia haraka humu jf na kukanusha 'contents' za thread ya Kinana kun'gatuka (kukanusha kinana kung'atuka) na nape kuwa mkakati wa kuzuia siri za vikao na habari za ndani za chama tutegemee a lot of uncovered stories underneath
 

Kinana na Loliondo
 

Unakumbuka Waziri wa maliasili alivyoanza kazi kwa kasi?
Unakumbuka makampuni ya Mzee Kinana recently yamewekwa kwenye spotlight?
More to come..
 

Ha haaa, kwa hiyo mpaka leo hujakubali kwamba kan'gatuka! Au tomaso!
 

Haya ndo yanayoitwa siasa uchwara aka siasa chafu. Sasa hapa kampuni na Asycuda system na Kinana wapi kwa wapi!! Asycuda ni issue ya TRA sio kampuni ya Kinana.

Bora umejiuzulu mzee..
 

Source:Sakata la nyara za Serikali: Kada wa Kikwete lawamani | Gazeti la MwanaHalisi
 
Kwanini NAPE awe msemaji mkuu hata kwa yale maamuzi binafsi yaliyomo kwenye mioyo ya wanachama?
 

Are these guys teaming up for 2015? Just curiosity because I think some guys, though in secret like doing things strategically.
 
Baada ya ufisadi kaamua kupumzika!
Kwenye ufisadi kuna kung'atuka?
 
Very big show is coming! Mama Joniiiii, coke and porpcon please!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Mkuu hapo kwenye red ni kweli kwa Tanzania kwa maana ya Serikali lakini kwa CCM inawezekana ndo maana mke watoto pamoja na baba wanapita bila kupingwa kwa kisingizio kwamba hakuna aliyejitokeza kupambana nao.
 
Mimi napenda hiyo moto yako "Kigamboni na Tanzania kwanza" iwapo tu ingekuwa ni ya vitendo. Kuna thread imeanzishwa kuhusu utendaji wako jimboni Kigamboni hasa Mbagala tunasubiri majibu
 
Hizi ni nafasi za kugombea na kuchaguliwa. Kinana hakuwa na haja ya kututangazia. Angekaa kimya tu asichukue fomu basi. U-NEC wa CCM unaonekana kuwa zaidi ya UBUNGE? Boresheni democrasia ndani ya CCM ili tuone nafasi za juu kabisa ndani ya chama hiki zikigombewa badala ya mtindo wa sasa wa kumpata Mwenyekiti, Makamu wake wawili, Katibu Mkuu, Wajumbe wa CC, Sekretariet, ambako kote huko watu wanateuana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…