FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Siasa uchwara au siasa safi, sasa inatosha inabidi wazee wapishe wengine nao wachukue nafasi.
Binafsi naamini mzee Kinana ameona wanakoenda hali sio hali. Maana juzi juzi alishaanza kuumbuliwa kwenye biashara zake...
Pesa tamu, kati ya pesa na siasa bora pesa.
Umefanya vyema Mzee Kinana
Binafsi naamini mzee Kinana ameona wanakoenda hali sio hali. Maana juzi juzi alishaanza kuumbuliwa kwenye biashara zake...
Pesa tamu, kati ya pesa na siasa bora pesa.
Umefanya vyema Mzee Kinana