Watampoza na ubunge wa kuteuliwa na RaisMbona hawajatangaza kumrudisha nafasi zake za chamani?:smile-big:
We bwana we acha kupotosha watu hapa, mbona unazungumzia 2015 kama vile ndio baba yake atatoka pale magogoni? hujui kuwa october 31 2010 ndio mwisho? Tunaingia dhama mpya na kuachana na mambo ya majungu majungu katika utendaji.Mimi nilijua tuu wanamwonea Bashe wa watu hiyo yote inatokana na SIASA za UADUI na VISASI. CCM ni Chama ambacho kinanedeshwa kwa ubabe tuu na wale wote ambao walihuisika na hiyo issue ya URAIA wa Bashe siku yao nayo inakuja watakiona cha mtema kuni
Ridhwan J Kikwete mimi naomba nimpe USHAURI wa BURE ni bora akafanye kazi aliyoseomea SIASA haziwezi kazi yake ni kupika majungu na kuyapeleka kwa BABA yake akijua fika kuwa lazima BABA yake atayafanyia KAZI alishindwaje kutatua tofauti zake na BASHE..? Huo sio UANAUME siku inafika Baba yake atoka pale na atakuwa MTAANi ndio atakapoona kuwa MAharage sio mboga ajifunze kutoka kwa wengine
Nakumbuka Ridhwan J Kikwete alipokuwa MLIMANI alikuwa KIJANA mzuri mpole na kila mtu alikuwa akimfurahia sasa baada ya Baba kushika Ulingo ndio akaonyesha JEURI yake hana lolote Siku yako inafika na wala sio mabli ni Mwaka 2015 ndipo utakapoona maana ule muda wa kubebwa utakwisha ni bora ajifanyie mambo yake mapema ajijengee mazingira yake mapema ya kuishi salama baaba ya Baba kumaliza vipindi vyake vya kuiongoza Tanzania sasa kama ndio ameenza kupika majungu sasa hivi ikifika hiyo 2015 kweli watu siwatakuwa na HASIRA na yeye na kutakuwa hakuna wa KUMTETEA maana Makamba nae atakuwa kwisha habari yake na Baba ndio naondoka au anafikiria Benno Malisa atamsaidia.
Haya sasa watanzania tumejionea wenyewe MAHINDI vimejitenga na MAGUGU. Yani wakati wote huo CCM hawakujua kuwa Bashe sio raia mpaka ameshinda kura za maoni za chama..?
Zion, Dr Slaa ampe Bashe ubunge wa kuteuliwa? kwa lipi?Watampoza na ubunge wa kuteuliwa na Rais
Mnnhh...............Yeye aseme tu kuwa mmoja wa wasaidizi wa Rais JK ni Ridhiwani!
Hahahahahhahhahaha.Tatizo langu nina imani haba...............usinihukumu lakini..Zion, Dr Slaa ampe Bashe ubunge wa kuteuliwa? kwa lipi?
Pumbavu walishindwa cross check na jamaa wa uhamiaji instantly?
Nijuavyo kufanya uamuzi waitaji atleast 3 sources sasa wakarely on one source.
Ngoja niishie apo nsije tukana bure
Katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba ,amesema kama aliyeenguliwa kugombea ubunge jimbo la Nzega na chama hicho Hussein Bashe,ni raia halali wa Tanzania basi anayestahili kubebeshwa lawama ni wasaidizi wa JK na si chama hicho
Akizungumza na Nipashe jijini dar es salaam jana,Makamba alisema chama chake kilipata Vielelezo kwamba Bashe si raia kutoka kwa wasaidizi wa Rais hivyo CCM haistahili lawama
'' Wasaidizi wa Rais ndiyo walituambia sisi kuwa Bashe si Raia sasa kama wizara ya mambo inasema ni raia basi ituambie ,lakini leo tunaendelea kuamini tulichoambiwa na wasaidizi wa rais''
Source Nipashe
Ha ha hahaaaaaaaaaa! Dogo Bashe, Na bado! Tunasubiri utangaze nia tena 2015, tuyatoe mengine, Silaha iliyotumika si ya kukuua ila ni kukutaarifu kuwa yapo makubwa yanakuja iwapo utajifanya unataka kugombea tena 2015; Nakushauri kama unataka usigombee Nzega.
Kama Yesu alivyomwambia Petro nami nafanya vivyo ivyo "rudisha silaha/kisu alani mwake". Ninafanya ivyo kwakuwa biashara ya mwaka huu imeisha tunakusubiri utangaze nia tena.
Nyie Watanzania wenzangu: Tambueni kuwa uraia wenye maswali hata kama upo (kwambali) basi ujue haupo: Jamaa toka anasoma alikuwa akiapa kurudi Somalia siku moja. Je ninyi mliapa kufanya nini?
Kama anataka aende somalia akachukue nafasi za wabunge waliouawa na "ALSHABABU" tena anafaa sana huko.
KWAHERI BASHE! Hayo ndio malipo mwanangu!!!!!!!!!!!!!!!
Kweli kama hiyo habari ni kweli basi tuhakikishe tuchagua viongozi makini 31 octoba, 2010 kwani kwa sasa tuna wasanii si viongozi.Viongozi gani wanatunga sheria wasioifuata,wanafuja rasilimali za nchi na kuongoza nchi kifamilia.Watanzania tujiunge kuwaondosha wasanii wote katika uchaguzi ujao.Katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba ,amesema kama aliyeenguliwa kugombea ubunge jimbo la Nzega na chama hicho Hussein Bashe,ni raia halali wa Tanzania basi anayestahili kubebeshwa lawama ni wasaidizi wa JK na si chama hicho
Akizungumza na Nipashe jijini dar es salaam jana,Makamba alisema chama chake kilipata Vielelezo kwamba Bashe si raia kutoka kwa wasaidizi wa Rais hivyo CCM haistahili lawama
'' Wasaidizi wa Rais ndiyo walituambia sisi kuwa Bashe si Raia sasa kama wizara ya mambo inasema ni raia basi ituambie ,lakini leo tunaendelea kuamini tulichoambiwa na wasaidizi wa rais''
Source Nipashe