OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Mwanasiasa kijana machachari aliyekuwa mwanachama na mgombea nafasi ya Mwenyekiti taifa ya jumuya ya Umoja wa Vijana wa chama cha mapinduzi , Nape Nnauye ametangaza rasmi kumuunga mkono mgombea wa Makamu mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Husein Bashe,
Alitoa kauli hiyo juzi Jumamosi alipokuwa akihojiwa kuhusu masuala kadhaa yanayohusu UVCCM na CCM. Nnauye alinukuliwa akisema ndugu Bashe ni mtu makini na mwenye sifa za kuwa kiongozi kwani amewahi kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu Mzumbe.
Kuhusu wagombea wengine wa makamu mwenyekiti Beno Malisa na Zainabu Kawawa, Nnauye anasema ni kosa kubwa kwa UVCCM kumchagua Beno Malisa kuwa makamu mwenyekiti UVCCM Taifa kwa kuwa ni fisadi alishiriki kuandaa mkataba tata wa jengo la UVCCM.
Nape alimlaumu Malisa kuwa anataka kuvuruga maadili ya uongozi kwa kuandaa safu ya wakuu wa vitengo, Nape anasema kumteua Ridhwan Kikwete kuwa katibu uhamasishaji UVCCM Taifa, nafasi inayohachwa wazi na Mhe Tom Mwangonda mbunge wa kuteuliwa na Raisi ni kosa kubwa.
Malisa amekubaliana SWAHIBA WAKE Ridhwan Kikwete kuwa akishinda atamteua Ridhwan kuwa katibu uhamasishaji Taifa wa UVCCM (hili ni kosa kubwa)
Beno hana sifa ya uongozi haiwezekani mtu tangu darasa la kwanza mpaka chuo kikuu haujawahi kuwa hata monita leo uombe kuwa makamu mwenyeki kwa kigezo cha kuwa karibu na mtoto wa Rais.
Alitoa kauli hiyo juzi Jumamosi alipokuwa akihojiwa kuhusu masuala kadhaa yanayohusu UVCCM na CCM. Nnauye alinukuliwa akisema ndugu Bashe ni mtu makini na mwenye sifa za kuwa kiongozi kwani amewahi kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu Mzumbe.
Kuhusu wagombea wengine wa makamu mwenyekiti Beno Malisa na Zainabu Kawawa, Nnauye anasema ni kosa kubwa kwa UVCCM kumchagua Beno Malisa kuwa makamu mwenyekiti UVCCM Taifa kwa kuwa ni fisadi alishiriki kuandaa mkataba tata wa jengo la UVCCM.
Nape alimlaumu Malisa kuwa anataka kuvuruga maadili ya uongozi kwa kuandaa safu ya wakuu wa vitengo, Nape anasema kumteua Ridhwan Kikwete kuwa katibu uhamasishaji UVCCM Taifa, nafasi inayohachwa wazi na Mhe Tom Mwangonda mbunge wa kuteuliwa na Raisi ni kosa kubwa.
Malisa amekubaliana SWAHIBA WAKE Ridhwan Kikwete kuwa akishinda atamteua Ridhwan kuwa katibu uhamasishaji Taifa wa UVCCM (hili ni kosa kubwa)
Beno hana sifa ya uongozi haiwezekani mtu tangu darasa la kwanza mpaka chuo kikuu haujawahi kuwa hata monita leo uombe kuwa makamu mwenyeki kwa kigezo cha kuwa karibu na mtoto wa Rais.