minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
kwani wewe kakutuma nani hapa JF? NDIO KWANZA UNA POST MOJA UMEANZA NA MAJUNGU.
BY THE WAY HAKUNA MTU ANAITWA HUSEN BALI KUNA HUSSEIN.MWAMBIE BOSI WAKO AKUFUNDISHE KUANDIKA KWANZA.
kanda2 usiwe mkali kwani wenye hati miliki ya jf ni sisi sote suala la kuwa na post moja au la si hoja. kumbuka hapa ni where we dare to talk openly sio huko kwenye chama chako ambapo wote wanaoulizia maamuzi ya utata yasiyo na maslahi kwa taifa, huishia na hatma kama ya selelii.
huyu bw selelii ni mhanga kwa hicho unachojaribu kumfanyia zyansiku ; usisahau ya shibuda naye tayari ameshafukuzwa kwa kuambiwa na makamba; yeye shibuda na wenzake waondoke chamani.
kifupi; huyo jamaa ametumwa na mafisadi kwa kisingizio cha ujirani mwema kama alivyogundua shibuda na selelii mwenyewe.