Salam zangu kwa Lowassa.Mchezo wake wa kuhonga honga akome.Tukimkuta mtu yeyote anagawa pesa sombetini atakoma.Ila pia ukipewa kwa siri chukia kamanda.Usikubali kuapishwa.Akikuapisha piga simu tuje tumkamate kw kosa la rushwa.Mchezo wa kubeba watu kutoka Monduli ukome.Nimeona Huyo dunya wao not in use anasema yuko na mtu kutoka monduli.Oooh hapa ni fair game.Arusha taisoma.Bananga ndo habari ya Sombetini
Teeeh kama hivi eeeh
Fedha za Lowassa zilishaanza kutembea Sombetini, juzi wanaccm waligawiwa fedha, msamari moja akaziwasilisha chadema shilingi Laki tano.... watu wanahitaji mabadiliko, fedha zao haziwezi kuwabeba
Kichwa cha habari kama vile huo mkutano umeishafanyika.Ulitakiwa uandike hivi: CCM kuliteka jiji la Arusha. Je nauliza, na huo mkao wa kula ni wali kwa maharage au pilau? Hamjaacha tu kuhonga watu vyakula?Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.
Teeeh kama hivi eeeh
kutakuwa na malori mangapi? je a to z wameenda kazini leo au kiwanda kimefungwa ili kwenda kujaza uwanja...
Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.
Kipenzi cha watu, homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.
Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche. Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.
Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.
Kweli wewe ni chizi unazani arusha wanaijua ccm? Mwiguru anapendwa na nani?
Mbona unaongea mambo ya kinafiki,