CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.

yawezekana kabisa kuwa ni matokea ya vyuo fasta heading yako inakinzana na habari.......ukisikia u moyes ndiyo huo
 
Dah! 6 Mapunda, Shonza, Mtela, Nyakarungu toka mmesajiliwa Lumumba mnajituma balaa... Tatizo lenu ni kushindwa angalau kupiga propaganda zenye akili japo kidogo! Hili si kosa lenu bali mna akili ndogo ndiyo maana mnaweza kusema tayari mmeteka mji wa Arusha wakati hata mkutano wenyewe bado haujaanza ...BTW mnataka kuwaomba msamaha kwa kuwarushia mabomu au?...
 
Mwingulu atakuja na ile kitu ya kichina inayolipuka.
 
wewe muongo kweli, uko mbauda umekuja kuuza maziwa nini?? Maana inaonekana wewe ni mkata migomba jinsi ulivyo mbishi, njoo mbauda uone maajabu, hiki si chama cha mtei nayesema ametumia ela nyingi kuanzisha chama na kukiendesha(mtei saccos). Hiki ni chama cha wananchi wote, kila mmoja anamkono wake pale , ulishasikia tunapangiwa viongozi km mte anavyofanya,

....

......mnajaza junia maji nani kakuambia ccm ipo Arusha ?

kutoipigia kura Chadema ni sawa na kupishana na gari la Mshahara......


.....kama kawa kula fedha siku ya box kura zinamiminika chadema.......
 
safi sana, tumechoka na hawa wanaozunguka na chopa, na tukiwapa nchi je, mboye alijidai kukataa shangingi kumbe alikua anataka helicopter , ccm haina mbadala chama cha wananchi wanyonge, ccm mali yetu, tutailinda KWA nguvu zetu zote,


wewe unaonekana mdebwedo tu raisi wako anaenda mara ngapi nje huo sio ubadhirifu endelea kuwa chekea magamba.Kumbuka ukitaka kizuri lazima uingie gharama na wanawanyima usingizi sana na hiyo PAMOJA DAIMA na mtajibeba.
 
safi sana, tumechoka na hawa wanaozunguka na chopa, na tukiwapa nchi je, mboye alijidai kukataa shangingi kumbe alikua anataka helicopter , ccm haina mbadala chama cha wananchi wanyonge, ccm mali yetu, tutailinda KWA nguvu zetu zote,


maskini!! hujui unaongea nn, kweli we kababu maana hata akili zako ni za kibabu.
 
safi sana, tumechoka na hawa wanaozunguka na chopa, na tukiwapa nchi je, mboye alijidai kukataa shangingi kumbe alikua anataka helicopter , ccm haina mbadala chama cha wananchi wanyonge, ccm mali yetu, tutailinda KWA nguvu zetu zote,


hapo katika red ndo penyewe hasa!
 
Niko hapa na kada wetu Saiboku na Wille mtoto wa Monduli.CCM imejaliwa vijana wenye upeo mkubwa sana.
 
na ninyi maccm kwa kuiga mtakaa sana imekuwa hata kuandamana ama mnaandamana kwamba kwa nini mmekataliwa?
 
safi sana, tumechoka na hawa wanaozunguka na chopa, na tukiwapa nchi je, mboye alijidai kukataa shangingi kumbe alikua anataka helicopter , ccm haina mbadala chama cha wananchi wanyonge, ccm mali yetu, tutailinda KWA nguvu zetu zote,


hata jina lako linashuhudia kwa nn una mawazo mgando. Mpaka muolewe na maccm ndo mtakubali kuwa hicho si chama chenye matumaini kwa Watz!
 
Wajinga sana.Mwigulu alikua wa kwanza kutudhalilisha wana Arusha.Alikua ni mtu.mojawapo aliyeshutimiwakulipua mabomu na kuua wanawake na watoto June 15 na 18 mwaka jana.Alijigamba kuwa chadema wamerusha bomu kwenye mkutano wao wenyewe ili waue wanachama wao.Akasahau hata wasio na vyama wanakuja kwenye mikutano ili wakivutika na sera wamchague wanae mtaka.Hakuwahi kuomba radhi wala kukanudha shutuma.Hii inaonyesha hana mapenzi na sisi.Leo hii anakuja kufanya nini Arusha????Nasema tena hatumtaki Mwigulu wala Wassira wala Lowassa
 
Salam zangu kwa Lowassa.Mchezo wake wa kuhonga honga akome.Tukimkuta mtu yeyote anagawa pesa sombetini atakoma.Ila pia ukipewa kwa siri chukia kamanda.Usikubali kuapishwa.Akikuapisha piga simu tuje tumkamate kw kosa la rushwa.Mchezo wa kubeba watu kutoka Monduli ukome.Nimeona Huyo dunya wao not in use anasema yuko na mtu kutoka monduli.Oooh hapa ni fair game.Arusha taisoma.Bananga ndo habari ya Sombetini
 
Niko hapa na kada wetu Saiboku na Wille mtoto wa Monduli.CCM imejaliwa vijana wenye upeo mkubwa sana.

Ee Mungu nisije nikapigwa ban........ eti ccm imejaaliwa vijana, kwanza wewe hautaaminika kwa ushabiki wako wa kipuuzi kwa ccm, Bora Crashwise au GanjaPlanter wakatusaidie kurusha habari hii
 
Last edited by a moderator:
Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.
Mleta mada anaitwa Not in use kama ilivyo CCM huko Arusha Not in use
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom