Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
hizi picha za mwaka gani ?
Tupo hapa uwanjan usidanganye watu,waliojaza uwanja ni cdm,ccm ni wale tu waliovaa sare.hata salam wanaitikia ccm wachache waliovaa sare..
makamanda wa cdm tumempamba ajue anakubalika arusha ccm ili amwage mapesa kwakua ni naibu waziri wa fedha
Kinacho nifurahisha.mkutano mzima ni wana ccm hapo ndipo napata shaka ccm watakao piga kura si ccm pekee ndio yale yale mambo ya kusimba watu na magari maana aiwezekani sombetini wana ccm wote wawe na sale kazi mnayo magamba
Mbona cdm wanadai Arusha hakuna wanaccm. Hawa sio wanaarusha. Endeleen na porojo zenu cdm 2015 mtaisoma vizuri sana.....
Mbona cdm wanadai Arusha hakuna wanaccm. Hawa sio wanaarusha. Endeleen na porojo zenu cdm 2015 mtaisoma vizuri sana.....
mpaka sasa watu hawajafika kwenye mkutano mnaodai ni wa kihistoria, ngoja nipaki gari nipige picha za viti bila watu........ chezea Arusha
hizi picha za mwaka gani ?
mwigulu wapeleke wapeleke siasa safi ndiyo mpako wa watanzania wote tunataka hivyo.
cc: Mungi Earthmover Erythrocyte Lunyungu Yericko Nyerere oneni mwanaume wa shoka huyo safari hii hata mkilipua mabomu mtaambulia patupu
Wale maskini na walala hoi wa Arusha wako wapi hapa jamani?
Tena watu wamekuja kwa wingi bila kuona helkopta! Piga kazi Mwigulu!