CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

Vipi Mwigulu atakuja tena na ile! mtu yake ya maonesho..!?

Yeero, hawesi acha ile sanamu yake. Lasima ailete tena. Sasa Mingulu imekuwa mtu kubwa sana, lasima ioneshe Arusha kuwa ni mtu mkubwa. Shee, awache nini hiyo ndio kifutio yake. Kama Lema natembea na chopa yeye natembea na hiyo sanamu yake iliungua na chumbii. Pole sana usiende kuitisama wooii inatia uchungu sana ati. Nawesa toa wewe machosi sana.
 
Ha ha ha ha mpo kidogo utafikiri chumvi ya kuomba kwa jirani,KWELI HISTORIA YA MAHUDHURIO HAFIFU
 
Dah! Ulitaka kuvuta hisia za watu eee? Nadhan heading ingekuwa, ccm kuiteka Arusha leo?
Kwani hiyo nyomi wewe huioni. Watu wamechoka kuitwa wasaliti kila wanapohoji kuhusu lolote cdm. CCM inatisha, Mwiguluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Kimbia bavicha anakuja huyo si utani
 
Ha ha ha ha mpo kidogo utafikiri chumvi ya kuomba kwa jirani,KWELI HISTORIA YA MAHUDHURIO HAFIFU
Mbona mnyonge? Hiyo ilkuwa saa 7 na mkutano saa kumi au ulidhani CCM Arusha haipo, umepotea, hiyonikata moja tu. Nyambafu bavicha. Halafu nimeambiwa hiyo ni picha yako halali
 
Duh ! Sio mchezo ! Mkutano unaanza saa kumi halafu mgeni rasmi (Mwingulu) anafika saa 7 !

Mbona mnyonge? Hiyo ilkuwa saa 7 na mkutano saa kumi au ulidhani CCM Arusha haipo, umepotea, hiyonikata moja tu. Nyambafu bavicha. Halafu nimeambiwa hiyo ni picha yako halali
 
cc: Mungi Earthmover Erythrocyte Lunyungu Yericko Nyerere oneni mwanaume wa shoka huyo safari hii hata mkilipua mabomu mtaambulia patupu
View attachment 134815 View attachment 134824

Ebu tumia akili kidogo uliyonayo kutathmini hizi picha Mbili halafu utapata jibu ni picha ipi inayoonyesha wananchi wamekwenda kwa mapenzi yao na ni hipi ambayo wananchi wamekwenda kwa kulazimishwa au kwa sababu kuna kitu wamepewa au kuhaidiwa. HAPA NINACHOO MAANISHA SARE ZA CHAMA. kwani ukiona watu wengi wamekusanyika huku wakiwa wamevaa sare za chama ujue wameandaliwa na inawezekana sio wakazi wa eneo husika na kuwa na sare hizo ni kurahisisha utambulisho wakati wa kula wali na katika usafiri kurudi walikotoka.
 
View attachment 134815 View attachment 134824

Ebu tumia akili kidogo uliyonayo kutathmini hizi picha Mbili halafu utapata jibu ni picha ipi inayoonyesha wananchi wamekwenda kwa mapenzi yao na ni hipi ambayo wananchi wamekwenda kwa kulazimishwa au kwa sababu kuna kitu wamepewa au kuhaidiwa. HAPA NINACHOO MAANISHA SARE ZA CHAMA. kwani ukiona watu wengi wamekusanyika huku wakiwa wamevaa sare za chama ujue wameandaliwa na inawezekana sio wakazi wa eneo husika na kuwa na sare hizo ni kurahisisha utambulisho wakati wa kula wali na katika usafiri kurudi walikotoka.

Nimependa sana hapo kwenye rangi nyekundu !
 
...

Dakika chache zilizo pita Makamanda kazini....



attachment.php
 
View attachment 134815 View attachment 134824

Ebu tumia akili kidogo uliyonayo kutathmini hizi picha Mbili halafu utapata jibu ni picha ipi inayoonyesha wananchi wamekwenda kwa mapenzi yao na ni hipi ambayo wananchi wamekwenda kwa kulazimishwa au kwa sababu kuna kitu wamepewa au kuhaidiwa. HAPA NINACHOO MAANISHA SARE ZA CHAMA. kwani ukiona watu wengi wamekusanyika huku wakiwa wamevaa sare za chama ujue wameandaliwa na inawezekana sio wakazi wa eneo husika na kuwa na sare hizo ni kurahisisha utambulisho wakati wa kula wali na katika usafiri kurudi walikotoka.

Naungana nawe kwa asilimia mia moja
 
Wanachadema mnaojulikana mlioko kwenye huo mkutano wa ccm ondokeni haraka kuna njama au hujuma mnaundiwa muda huu
 
Niko hapa na kada wetu Saiboku na Wille mtoto wa Monduli.CCM imejaliwa vijana wenye upeo mkubwa sana.

Upeo mkubwa kwa vigezo vya Div 5 na Lumumba. Mna roho ngumu na itatokana na kukosa ufahamu 4-0 haiwaumi
 
hakuna jipya hapo zaidi ya uharo wa chemba la k..nyesi!!! m4 c pamoja daima ndiyo habari ya watz
 
Siamini kama ndio Arusha ninayoifahamu kuwa na mapokezi kama haya kwa ccm,huu ni uongo,au eidha wamesomba watu kwa malori ndio maana wanaonekana kuwa wengi,danganyeni wasio na akili sio wananchi wa leo Tanzania.mnajisumbua tu lakini kata hizo za Arusha ni mali ya chadema,peoplesssss powerrrrr
 
kamanda mm leo asubuh nilikuwa monduli pesa imemwagwa huko hakuna mfano wazee wamama vijana elf 25 kwa kichwa wamekuja mbauda kamata mmoja muulize mtaa alio tokea sikie lugha ongana hapo
 
Wapi nyie mbona mnampiga mwananchi wa watu nyie ma ccm naona wawejaa watu wa katikati ya mji! Hakuna mwanasombetini hata mmoja! Wote mammluki pamoja na nchemba wenu
 
Ni sawa na mchungaji kukusanya wana ukoo wake wote tena kwa gharama zake ili kulizindua kanisa lake
 
Back
Top Bottom