CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

Ngoja tusubiri updates za chama cha mizingo na picha za hapa na pale then tutatoa thathimini zetu kama watazamaji wa mtanange huu kati ya chama cha watu vs chama cha mizigo

ANGALIZO:

hatutaki damu ya ndugu zetu imwagike tena sababu ya uroho wa madaraka"Mungu ibariki ccm,Mungu wabariki chadema"
 
kwenda,nani akae mkao wa kula magamba au magwanda.embu weka wazi.ni upuuzi kusema unaizika chadema au upinzani kwa hiyo unaonekana doro sana hapo upstairs.mwenyekiti wa chama chako cha magamba alishawatabiria kama si 2015 ni 2020 magamba mtafutika.mnamaliza tembo wetu na mnauwa elimu yetu alafu unasema mtazika chadema ili mwendelee kumaliza na twiga siyo.nina haki ya kusema mlaaniwe sana.
 
Wametekaje wakat nipo Arusha tena karb na mbauda hakuna kitu? Watu wanabembelezwa kwenda kwenye mktn kwa kuhongwa kat ya elfu 10 na 20? taarfa zilizopo ni kuwa,watu wanasombwa kwa haice wanashushwa kona ya mbauda ili wasisanukiwe kusomba watu...
Tena wanatafuta kad za cdm ili wajigawie na kurudisha kwa ccm ili ijulikane wana cdm wamehama !!! Tumeshajua mbinu zote hzo
 
ccm maandamano yanalipa eeh,kwahiyo umeamua na ninyi mjiunge na wafanya vurugu,wafa maji hao .
 
wametekaje wakat nipo arusha tena karb na mbauda hakuna kitu? Watu wanabembelezwa kwenda kwenye mktn kwa kuhongwa kat ya elfu 10 na 20? Taarfa zilizopo ni kuwa,watu wanasombwa kwa haice wanashushwa kona ya mbauda ili wasisanukiwe kusomba watu...
Tena wanatafuta kad za cdm ili wajigawie na kurudisha kwa ccm ili ijulikane wana cdm wamehama !!! Tumeshajua mbinu zote hzo

wewe muongo kweli, uko mbauda umekuja kuuza maziwa nini?? Maana inaonekana wewe ni mkata migomba jinsi ulivyo mbishi, njoo mbauda uone maajabu, hiki si chama cha mtei nayesema ametumia ela nyingi kuanzisha chama na kukiendesha(mtei saccos). Hiki ni chama cha wananchi wote, kila mmoja anamkono wake pale , ulishasikia tunapangiwa viongozi km mte anavyofanya,
 
magamba hamuoni aibu kuendelea kujidharilisha hapo A- town? m4 c pamoja daima ndiyo habari ya mujini kwa sasa!
 
Kuna tetesi zimetufikia hvi punde eti chadomo wanajipanga kuzomea.Hawajui fire ya green guard
 
mwigulu..chatanda...utasikia matusi na mipasho hapo....ivi mwigulu ameshinda hata uchaguzi mmoja aliosimamia...?
 
Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.

wewe uliyeandika hii habari umetumwa na majangili/mafisadi ya ccm. Utafiti unaeleza kuwa ifikapo mwakani 2015 Tanzania haita kuwa na mnyama Tembo. Tembo watakuwa wamefutika tanzania je wewe uliyeandika hayo hapo juu kisa umeahidiwa posho Lumumba office za mafisadi/magamba/mizigo/micago/ukurutu/wezi/maEPA/Maridhmond/Meremeta/
kagoda/marada/vijisent/buzwagi/bulyankulu/gas(CCM). Waonee huruma ndugu zako mama,baba,dada,mjukuu,kaka,mjomba,shangazi watoto na watanzania wengine hivyo vi buku7 vinaisha leo tu nchi itabaki na watu wataendelea kuishi,kuwa mzalendo kula hiyo buku 7 yao kisha lalambele lakin sijui kama utaweza maana mpaka waone ulicho andika ndio ulipwe ujira wako 7000.
 
Ndugu zangu bado tupo kikaoni,nitawajulisha soon kilichojiri.Ila bado kuna shamra shamra hapa za kutosha Vijana wamependeza na sare zao za kijani na njano.Media zipo za kutosha

Wewe umeshaathirika na umagamba...... CCM ilishakufa Arusha.....
 
Back
Top Bottom