CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

Vipi Mwigulu atakuja tena na ile! mtu yake ya maonesho..!?
 
Nyie mnajifariji tu,hamuambulii kata hata moja,mnakumbuka uchaguzi wa madiwani wanne mliambulia nini kama sio sifuri??tumia akili kabla hujaamua kupost kitu,kwani mwigulu ndeio nani??mwigulu ni kiumbe kidogo sana katika siasa za Tanzania.Arusha ni ngome ya chadema,ccm mnajisumbua na kupoteza muda wenu bure
 
Nahisi CCM imeshaanza kupoteza Udhibiti wa Nchi Polepole.Pemba yupo CUF na Arusha yupo CDM.Na kwa hali ya ilivyo sasa CCM haina Maisha Marefu.
 
Safi sana wananchi wa Arusha kwa kukikubali chama cha watanzania.
 
mkutano ukiisha pigeni mahesabu kujua mmetumia kiasi chani cha pesa kwa kuhonga boda boda, kinamama na vijana kisha nauli mlizolipa kwa daladala kuwaleta watu hapo kwa mkutano na pesa mlizolipa kwa mafuso na malori ndo mtajua leo mmeweka historia katika jiji la Arusha
 
mkuu Not in use mbona huweki picha watu wakipanga viti??
==============

ccm. Not in use all over Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Vipi amekuja na mabomu ya nuclear au?, asipozomewa leo basi atapigwa
 
safi sana, tumechoka na hawa wanaozunguka na chopa, na tukiwapa nchi je, mboye alijidai kukataa shangingi kumbe alikua anataka helicopter , ccm haina mbadala chama cha wananchi wanyonge, ccm mali yetu, tutailinda KWA nguvu zetu zote,


Je mnakumbuka uchaguzi uliopita ambapo matokeo yalikuwa 4-0
 
safi sana, tumechoka na hawa wanaozunguka na chopa, na tukiwapa nchi je, mboye alijidai kukataa shangingi kumbe alikua anataka helicopter , ccm haina mbadala chama cha wananchi wanyonge, ccm mali yetu, tutailinda KWA nguvu zetu zote,


Ww ni mj* kabisa
 
Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.

Baada ya kuua kwa kutuma bomu mkutano wa cdm na kuua wananchi naye kukimbilia bungeni,bila hata ya kutoa pole au kusubiri mazishi leo ameamua kurudi tena arusha?amesahau 4-0.Huu ni wakati wa kumshikisha adabu huyu gaidi wana arusha fanyeni mambo akiwa juu ya jukwaa mrushieni hata viatu tuu
 
Hivi arusha kuna ccm?

A to Z leo kiwanda kitafungwa na wafanyakazi wote watatakiwa kuwepo kwenye mkutano mabalozi wa nyumba kumi kumi na familia zao na watakiwepo madereva boda boda watakuwepo kuchukua chao
 
kutakuwa na malori mangapi? je a to z wameenda kazini leo au kiwanda kimefungwa ili kwenda kujaza uwanja...

Mtajishtukia sana, lakini leo mwamba wa siasa za Tanzania na muarobaini wa CHADEMA atawapa dozi yenu!
 
Kwa nini muandamane mji mzima?kwani mji mzima ndio unafanya uchaguzi?kama mtawakodi waandamanaji basi msiwaletee watu wengine bugudha zisizowastahili na ninachowashauri mfanye ni kufanya maandamano kuzunguka kata ya uchaguzi(Sombetini) ili mpunguze idadi ya watu mtakaowabambikizia kesi ya kupiga mawe maandamano yenu haramu.
 
Back
Top Bottom