CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.

Uhalo huu Mkuu..
 
Join Date : 15th January 2014
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received
0
Likes Given
0

yaani kama ulikuwa kwenye kichwa changu,
huyu anahangaika na Id kila kukicha!
na bila shaka ni mwingulu mwenyewe, maana mafyinso amezoea!
 
A to Z leo kiwanda kitafungwa na wafanyakazi wote watatakiwa kuwepo kwenye mkutano mabalozi wa nyumba kumi kumi na familia zao na watakiwepo madereva boda boda watakuwepo kuchukua chao

Arusha ni ya watanzania wote, acheni kujipa hatimiliki ...
 
Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.

Mwigulu alishindwa kwenye kata nne za Arusha, leo eti ccm yaiteka Arusha hahahaa......... unaumwa wewe nenda Mirembe ukatibiwe
 
Ndugu zangu bado tupo kikaoni,nitawajulisha soon kilichojiri.Ila bado kuna shamra shamra hapa za kutosha Vijana wamependeza na sare zao za kijani na njano.Media zipo za kutosha
 
Ndugu zangu bado tupo kikaoni,nitawajulisha soon kilichojiri.Ila bado kuna shamra shamra hapa za kutosha Vijana wamependeza na sare zao za kijani na njano.Media zipo za kutosha
Sehemu SAVIMBI MWIGULU yupo huwa nakaa mbali,huyu mtu ni hatari ktk muktadha wa upumuaji.
 
Leo ni siku ya kupiga hela! Wenye toyo ni twenty, wa miguu ten! Lazima nitie timu na jezi yangu ya Yanga!
 
Mtajishtukia sana, lakini leo mwamba wa siasa za Tanzania na muarobaini wa CHADEMA atawapa dozi yenu!

Dozi ya 4 - 0 bado inawasumbua, sombetini tunawapiga kwa asilimia 90+........
 
wewe mwenyewe usiye na aibu ndiyo utalinda kwa nguvu zako zote chama cha wezi ccm.kah,huna haya.nani alikuambia au kukudanganya ni chama cha wanyonge embu fafanua basi.
 
ccm hawana mpya,mmeamshwa usingizini na wapinzani lakini bado mnasinzia.chatanda atatema cheche gani nenda zako.wewe kama si mtoto wa fisadi basi utakuwa ni mzee sana na kama si mzee sana utakuwa mjinga
 
wewe mwenyewe usiye na aibu ndiyo utalinda kwa nguvu zako zote chama cha wezi ccm.kah,huna haya.nani alikuambia au kukudanganya ni chama cha wanyonge embu fafanua basi.

sasa wewe unafikiri ni chama cha mtei na mboye,. Ccm ni ya kila mtu, km ni wezi tutapambana nao wenyewe, wewe chapa zako mwendo kawe mlinzi wa mtei na chama chake.

Ccm ni yetu na itaendelea kuwa yetu,
 
Leo ni siku ya kupiga hela! Wenye toyo ni twenty, wa miguu ten! Lazima nitie timu na jezi yangu ya Yanga!

Haha..kitawauma wakiongea ujinga wanazomewa kwa pamoja....na waomebe Mungu CDM wasipite nji ahiyo wasikie hiyo shangilia,

Na kwa Barabara chache za kutoka na kuingia maeneo ya Arusha..ni wazi inawezekana,CDM wakahitaji pita hiyo njia.CCM watalia.
 
Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda.Kipenzi cha watu,homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa.Mama yetu Mh.Chatanda atatema cheche.Baada ya hapo tutafanya maandamano mji mzima .Rasmi tumekuja kuizika CHADEMA Arusha.Kaa mkao wa kula nakuletea live yatakayojiri.

CCM not in use.
 
naona costa na mabasi mengi yamekodishwa ili kukusanya watu pande mbalimbali za ukanda wa kaskazini. pia toka jana wajumbe wa mashina wamekuwa wakigawa fulana na nauli kwa watu ili kuwashawishi.
 
Back
Top Bottom