Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,239
Kwa mfano wamejiuzulu , hela zetu itakuwaje ?
Mkuu hii nchi ukifikiria kwa undani unaweza kuwehuka.
Lakini tusikate tamaa kila kitu kinamwisho.
haijalishi nani kautunga, uongo au ukweli ukihusu mchuzi wa IPTL unanoga tu! hatuna haja ya kuuponda maana kila mtu ana hasira zake hapa!Uongo wa mchana uliotungwa na akili ndogo. CCM haina Kamati ya uongozi bali ina Kamati Kuu tu. Wadanganyeni wajinga wenzenu.
Kwa sasa hivi Tanzania hatuna kiongozi mwenye kauli ya mwisho, mtu kama pinda hata hajui madaraka ya PM.
Bilali ndio kabisa yupo kama jino bandia ni show tu hana lolote.
Alieilaani hii nchi inaonekana alishakufa ......
Watu wanachukua fedha bila hata ya aibu .....
Hata Mungu hawezi kutusaidia kwenye hili na mengine!
zumbemkuu acha masikhala wewe,unanchekesha sanaTena kuna tetesi kuwa wakati mwingine anamuachia madaraka mwanaasha , mawaziri wanafuata maagizo ya mwanaasha, eti lengo la JK anataka watoto wazoee madaraka ya kuongoza nchi, pyuuuuuu