Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Hawa wezi dawa ni kufungwa tu na kunyang'anywa kila kitu.
Hilo dogo wanyongwe kabisa ili ardhi nayo tuone kama itatikisika.
Hawa wezi dawa ni kufungwa tu na kunyang'anywa kila kitu.
Nashauri pingu zifuate immediately baada ya kupigwa chini.
Uongo wa mchana uliotungwa na akili ndogo. CCM haina Kamati ya uongozi bali ina Kamati Kuu tu. Wadanganyeni wajinga wenzenu.
Uteuzi wa Profesa muongo na katibu wake, Nishati, utakuwa wa kwanza kutangazwa kusitishwa kwa manufaa ya umma muda wowote kuanzia sasa. Wengine watafuata kutegemeana na muitikio wa hali ya hewa ya Dodoma.
Chanzo: kwa mujibu wa watu ambao wamedokezwa na mamlaka ya uteuzi kabla ya maamuzi.
Alieilaani hii nchi inaonekana alishakufa ......
Watu wanachukua fedha bila hata ya aibu .....
Hata Mungu hawezi kutusaidia kwenye hili na mengine!
Nchi yetu haina serikali ....Na yule jamaa yetu DHAIFU Janga Kubwa hata haijulikani kama matibabu yake yameisha, yanaendelea na atarudi lini nchini. Sakata lote hili yeye yuko kimyaaaa! Sijui alimuachia nchi nani alipopeleka tezi dume lake likatibiwe majuu maana makamu wa Rais naye kimyaaa, Waziri Mkuu ndiye huyo kishadharauliwa kwa kiwango cha juu kabisa mpaka kuzomewa Bungeni, hii inaonyesha haaminiki tena katika nafasi yoyote ya uongozi ndani ya Serikali.
Nchi yetu haina serikali ....
Sijui tutaishia wapi!