CCM yaamua kugawa watanzania rasmi!

CCM yaamua kugawa watanzania rasmi!

Wana kilimanjaro tumemsikia tumemwelewa 2015 atapata majibu JIMBO LA MOSHI VIJIJINI linaongozwa na CCM Chini ya Mheshimiwa Cyril Chami, Vunjo yupo Mrema na TLP yake SIHA yupo Mwanry lakini anatutukana, natangaza mwisho wa uvumilivu.
 
Hivi punde nimemsikia M/kiti wa jumuiya ya wazazi CCM alihaji Majura Bulembo akidai kuwa maandamano yaliyotangwaza na CDM kufanyika ktk miji minne tar. 25 mwezi huu kudai kujiuzulu waziri wa elimu yanapaswa kuanzia Moshi. Kwa maelezo kuwa huko ndiko kwenye watoto na jamaa za wana-CHADEMA.

Badala yake eti maandamano yametajwa kufanyika katika miji mingine ili watoto na jamaa zao(wana - CHADEMA) wasipate madhara. Je ni sahihi Bulembo kuitaja CHADEMA kama chama watu wa Moshi? Nijuavyo mimi CHADEMA ni cha watanzania wengi ktk mikoa yote ya Tz.

Wanajamvi naomba kusahihishwa endapo nimekosea. Source: taarifa ya habari ITV

Hakuna haja ya kuhangaika na kauli za watu wa chama mfu kama CCM. Wameishiwa na hawana la kusema. Ndani ya jamvi hili mna thread inayohusu sifa za kuchaguliwa kuwa DC au RC. Kujikomba kwa CCM na kutukana vyama vya upinzani ni sifa mojawapo ya kushika moja ya wadhifa huo. Hivyo Majura Bulemba anaongeza CV ya kuweza kuukwaa u-DC au u-RC. Wana-CHADEMA msijihangaishe na hao maiti (CCN) wa 2015. Tuachane nao tuendeleze mchakato wa kuwazika wakati huo.
 
Kada wa CCM Bulembo amesema maandamano ya CHADEMA yaanzie Kilimanjaro kwanza!

Amesema kila maandamano hayafanyiki Kilimanjaro bali sehemu zingine, na waziri na naibu wa Elimu hawajiuzulu kamwe

Kwani uongo jamani. Watu wakipenda hawaoni chongo.
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee
 
Hakika wewe ni zuzu.Ni chama gani katika nchi hii kina eneo lake la kijografia wanalomiliki?Acha uzuzu na uzumbukuku.Unapoteza muda huu ni muda wa ukombozi.
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee
 
na bado!! Magamba yamewabana, mtaropoka mengi sana lakn watanzania wa sasa ni waelewa,
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee

mbwa kala mbwa
 
Maandamano tumeambiwa nchi nzima. ubaguzi huu wa ccm unaizika ccm.
Kada wa CCM Bulembo amesema maandamano ya CHADEMA yaanzie Kilimanjaro kwanza!

Amesema kila maandamano hayafanyiki Kilimanjaro bali sehemu zingine, na waziri na naibu wa Elimu hawajiuzulu kamwe
 
Hahahahahaa! Kawaida yenu matusi na kejeli, ndo tofauti yenu na sisi! Tuko bize kuhudumia wananchi hatuna muda wa kukaa vijiweni kujifunza matusi
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee

Wewe ndie ulitakiwa ufunguliwae mashtaka ya ugaidi! Sheria gani inasema karatu,siju na wapi huko ni kwa Kina Slaa tu...nyie ndio mnaivuruga nchi hii kwa upumbavu wenu!!
 
Eti kwenye maeneo yao! Hivi kumbe chadema ina hati miliki ya maeneo?
 
Hakika wewe ni zuzu.Ni chama gani katika nchi hii kina eneo lake la kijografia wanalomiliki?Acha uzuzu na uzumbukuku.Unapoteza muda huu ni muda wa ukombozi.

Labda anayo hoja, kwa maana hata mimi sijawahahi kwa kweli kusikia maandamano Makubwa Moshi, kama vile sehemu nyingine kama Mwanza, Mbeya, Mtwara na sasa Shinyanga, au labda inawezekana pia labda Kilimanjaro hawahitaji kubadilishwa labda wameshabadilika tayari, kila kitu kinawezekana!
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee

Uwezo wako wakufikiri mdogo kwanini mkapa hakujenga uwanja wa taifa kwao ili wadogo zake washuhudie kila mechi za kimataifa zinduka kwani chadema nichama cha karatu na kilimanjaro tu? Kimesambaa Tz NZIMA MKUU NAONA UNMAMBO YA MWAKA 47 WEYE!
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee
Another psychiatric case he or she escaped from Mirembe
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee

Unajua kwa nini nchi hii haiendelei? Sababu ni moja tuu,kwamba watu wa aina yako bado wanaishi katika kizazi hiki.
 
Back
Top Bottom