CCM yaamua kugawa watanzania rasmi!

CCM yaamua kugawa watanzania rasmi!

Labda anayo hoja, kwa maana hata mimi sijawahahi kwa kweli kusikia maandamano Makubwa Moshi, kama vile sehemu nyingine kama Mwanza, Mbeya, Mtwara na sasa Shinyanga, au labda inawezekana pia labda Kilimanjaro hawahitaji kubadilishwa labda wameshabadilika tayari, kila kitu kinawezekana!
Huko tayari ccm haiko madarakani.Labda yawe maandamano ya kumwondoa rais madarakani.Sehemu nyingi huko halmashauri na local govts tayari zinaongozwa na chadema.
 
Labda anayo hoja, kwa maana hata mimi sijawahahi kwa kweli kusikia maandamano Makubwa Moshi, kama vile sehemu nyingine kama Mwanza, Mbeya, Mtwara na sasa Shinyanga, au labda inawezekana pia labda Kilimanjaro hawahitaji kubadilishwa labda wameshabadilika tayari, kila kitu kinawezekana!


"Tuamini hivyo"
 
Huko tayari ccm haiko madarakani.Labda yawe maandamano ya kumwondoa rais madarakani.Sehemu nyingi huko halmashauri na local govts tayari zinaongozwa na chadema.

Mbona hata Mwanza inaongozwa na CHADEMA lkn kila siku maandamano?
 
Chama kilichofilisika na hakina sera kwao ili wapate political popularity lazima wafanye maandamano,wapange mipango ya kuuwa na kuisingizia serikali kupitia vibaraka wao ndani ya ccm.
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee

Ukose kuzinduka wewe ambaye bado uko namagamba hadi unaona aibu kujitaja mbelezawatu ukochama gani. kwanza unapaswa uelewe kwamba kaskazini wamepiga hatua mbele kuliko sehemu nyingi,hivyo kero sio nyingi.lakini nakushauri jifunze kujitegemea uache kuomba omba lumumba umebarikiwa akiri na viungo vyote
 
Hoja hii yaweza kuwa ni pumba au mchele pale tu watu mkija na arguement zinazo ikick out hii concept ya Mkweli mwaminifu as he call emself, ila kwa kasha za juu ya upeo wake na matusi bila critical arguement hamtaeleweka wa watanzania wengi.

Nadhani moja ya arguement ya kui undermine hoja au uzi huu niseme tu ni kwa kutaja point km vle tunaandamana kwenye miji mikubwa kwasababu ndiko watendaj wakubwa wa selikali waliko na kwa kuwa hoja ya maandamano inawalenga watu flani wawajibike ni lazima au ni vyema kwenye kuandamana nje ya viwanja vyao au milangoni mwao wajue kuwa wananchi hawana imani nao na si kuandamana polini huko ambako unakua anamuandamania nani?, km ni waziri nenda makao makuu ya wizara, au km ni ngekewa wengine wafuate pia maeneo ya na si kuandamana sehemu wasizofanyia kazi very often.
 
Je,ni kwanini chadema hawafanyi maandamano kwenye maeneo yao?
Karatu kwa slaa, kilimanjaro kwa mbowe! Hii ni kwa sababu bibi zao na ndugu zao wako huko,zinduka mtanzania kuwa mjanja kama slaa babu, amelipia kadi yake mpaka 2020! Anajua CCM ni chama pekee
Hiki kizazi cha division ziro kina changamoto kubwa sana kwa jamii yetu ya watanzania hivi sasa! Kama walimu huwa wanadhani wanaigomea serikali, basi kwa hakika huwa wanajigomea wenyewe, maana matokeo yake ndiyo kama haya sasa unakuwa na watu ambao hata kutoa wazo lenye kutosha sentensi moja tu inamuwia shida. Halafu wakishatoka na hizo ziro wanarudi kuwasumbua watu mitaani wakiwemo na walimu wenyewe.

Kwa hiyo sehemu wanazotoka viongozi wa chama ndiyo maeneo ya chama husika? Kwa msingi huo CCM eneo lao ni Bagamoyo na Arusha kwa kuwa huko ndiko anakotoka Kikwete na Abdulahman, si ndiyo? Kwa hiyo mnataka sasa hivi tuanze kugawana nchi kivyama. Kwamba CUF ni ya Tabora, CCM Pwani, Chadema Kilimanjaro? Ndiyo uwe utaratibu huo? Hivi ulilifikiri hili jambo kabla ya kuanza kuandika huu uzi? Muwe mnatumia akili japo kidogo hata kama ni za kuazima!
 
Kilimanjaro hatuhitaji elimu ya uraia kwa sana.mfano moshi2010 ndesamburo hakupiga kampeni ila tulijua hata iweje yeye ni mbunge wetu.ccm wakija na kanga na kofia zinachukuliwa ila kura ni chadema.
 
Huko tayari ccm haiko madarakani.Labda yawe maandamano ya kumwondoa rais madarakani.Sehemu nyingi huko halmashauri na local govts tayari zinaongozwa na chadema.

Ni kweli Same wanaongoza Chadema, Moshi Vijijini wanaongoza Chadema, Simanjaro wanaongoza Chadema, Arumeru Magharibi wanaongoza Chadema, Siha wanaongoza Chadema, Hanang wanaongoza Chadema, Monduli wanaongoza Chadema, Mwanga wanaongoza Chadema, Babati wanaongoza Chadema.
 
Mods kufumbia macho post kama hizi ni sawa na kulidhalilisha Jukwaa la siasa na JF kwa ujumla.
 
Bila shaka mwenye akili atajiuliza, kwanini MAUAJI NDAGO SINGIDA,MOROGORO,IGUNGA, IRINGA.. Kwanini isiwe KARATU au KILIMANJARO?
 
Nilimsikia huyu Bulembo akiita Chadema eti ni Chaga Development Manifeso. Nikajiuliza huyu ni kiongozi ndani ya cCM anasema hivyo kwa chama kinachotambuliwa kisheria nini tamko la Tendwa? Hivi kiongozi wa Chadema akisimama jukwaani na kutafsiri kirefu cha CCM tofauti itakuwaje? Hiki chama sasa hakina viongozi bali wahuni tuu
 
Hiki kizazi cha division ziro kina changamoto kubwa sana kwa jamii yetu ya watanzania hivi sasa! Kama walimu huwa wanadhani wanaigomea serikali, basi kwa hakika huwa wanajigomea wenyewe, maana matokeo yake ndiyo kama haya sasa unakuwa na watu ambao hata kutoa wazo lenye kutosha sentensi moja tu inamuwia shida. Halafu wakishatoka na hizo ziro wanarudi kuwasumbua watu mitaani wakiwemo na walimu wenyewe.

Kwa hiyo sehemu wanazotoka viongozi wa chama ndiyo maeneo ya chama husika? Kwa msingi huo CCM eneo lao ni Bagamoyo na Arusha kwa kuwa huko ndiko anakotoka Kikwete na Abdulahman, si ndiyo? Kwa hiyo mnataka sasa hivi tuanze kugawana nchi kivyama. Kwamba CUF ni ya Tabora, CCM Pwani, Chadema Kilimanjaro? Ndiyo uwe utaratibu huo? Hivi ulilifikiri hili jambo kabla ya kuanza kuandika huu uzi? Muwe mnatumia akili japo kidogo hata kama ni za kuazima!

Mkuu Lukolo , Point of Correction.
Hapo kwenye Arusha nadhani ulimaanisha Mogadishu
 
Last edited by a moderator:
Mbona hata Mwanza inaongozwa na CHADEMA lkn kila siku maandamano?
Unaweza kuniambia sababu za maandamano hayo?Maana nilikutolea mfano kuwa "labda yawe ya kumwondoa rais madarakani",sababu za maandamano ya Mwanza ni zipi?Kila mkoa una changamoto zake tofauti na mikoa mingine,na kudeal na changamoto hizo ni kwatofauti respectively.

Kwa mfano kama wananchi hao wanaandamana kuhusu rasilimali zao ie madini,hilo(pamoja na mengineyo),wana haki ya kudeal nalo kwa namna wanayoona inafaa.
 
Mtindio wa ubongo ni tatizo kubwa sana hapa Tanganyika!
 
Ni kweli Same wanaongoza Chadema, Moshi Vijijini wanaongoza Chadema, Simanjaro wanaongoza Chadema, Arumeru Magharibi wanaongoza Chadema, Siha wanaongoza Chadema, Hanang wanaongoza Chadema, Monduli wanaongoza Chadema, Mwanga wanaongoza Chadema, Babati wanaongoza Chadema.
Nadhani tunazungumzia sehemu zinazoongozwa na chadema na zilizoongozwa na chadema/upinzani kwa muda mrefu sana ie Moshi mjini.

Hayo majimbo mengine yote uliyoyataja ie Moshi vijijini,Siha ccm huwa wanapokezana na upinzani.Pia swali nilijibu kuhusu Kilimanjaro pale inapokuja kwenye maeneo yanayoongozwa na upinzani.
 
Unaweza kuniambia sababu za maandamano hayo?Maana nilikutolea mfano kuwa "labda yawe ya kumwondoa rais madarakani",sababu za maandamano ya Mwanza ni zipi?Kila mkoa una changamoto zake tofauti na mikoa mingine,na kudeal na changamoto hizo ni kwatofauti respectively.

Kwa mfano kama wananchi hao wanaandamana kuhusu rasilimali zao ie madini,hilo(pamoja na mengineyo),wana haki ya kudeal nalo kwa namna wanayoona inafaa.

Sijui mimi, nasikia tu maanadamao mara kwa mara, Nilikuwa tu nachangia mada ya kwamba kwa nini hakuna maandamo KLM, nikasema labda mleta mada ana hoja hata mimi sijawahi kusikia maadamano toka kwetu KLM inaezekana labda hatuna malalamiko!
 
Back
Top Bottom