Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Kutano limeshika moto huko SA na ANC inagawanyika . Mbeki anabaki mtupu watu wanasema imetosha na Zuma tosha . Je wale wana CCM wa siku ile Dodoma walilkuwa na ubavu wa kusimama hadharani na kusema hapana kwa JK ? Jebu nisaidieni na mwisho nawapa salaam za Christmas .