Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Ni wajinga tuu wanadhani uhuru una mipaka.Mipaka ni hila za wanaogopa uhuru.
CCM wanafikiria dunia ya leo inaweza weka sheria kwa CITIZEN jounalism?Kila raia akiwa mwandishi ni media inakuwa kama natural waya ya kupashana habari.Ambapo kila mtu anaweza arifu watu akilichokiona n ahivyo haihitaji weledi au lah.Anahitajia tuu kusem alichokion au kusikia.
NITOFAUTIANE NA WASOMI VILAZA BONGO. KUNA UHURU NA KUWAJIBIKA.kUWAJIBIKA SI MIPAKA BALI NI SEHEMU YA UHURU.NI SEHEMU YA KUJITAWALA.
Responsibility ni uhuru wa kujitawala.Sasa how repsonsible someone can be ndipo tunamweka mtu ktk kundi la wanaovunja uhuru wa habari wa wengine.
Wao wajadili ujinga wakati watu wanaambiana ugaidi wao, watu wanaamabiana tembe wetu, wanaamabiana wizi, na wanayo haki ya kuongelea hayo mitaani hadi nchi mzima kupata mawazo na habari sawa.
Tuache mawazo ya uhuru wa mipaka, huo ni uovu wa kijamaa na propaganda na kuupa ujamaa sura nzuri nje na ndani.Ni woga tuu ndio huogopa uhuru. Kuna ushahidi kuwa hata watumwa kuna wengine waliogopa uhuru, na hivyo kuamua rudi kwa watawala.Hawa hugeuka kuwa watumwa waliojifunga hata bila kuhitaji jitihada za alyewafunga.Pia wakandamizaji nao pia hawapendi hayo, waovu wengine pia.
Pia wato hata waumini wa dini fulani nao wanagopa kusikia au kuona mambo fulani.Kwa vile dini zao hazijawafundisha kuwa ukikutana na uovu si dhambi.Ila dhambi ni wewe kushindwa fanya maamuzi sahihi.
Habari ni uhuru, ni vyombo vya habari vipo ktk soko huru na hivyo vingine vitakufa natural death, vingine vitajipambanua.
Nasikitika wabunge wanatake sheria ya kumlinda rais asiyejisitiri.Sijui hawajui Nyerere au wamesahau kuwa Nyerere aliwahi lalamikia katiba na sheria zetu kuwa zilimruhusu sana kuwa muovu yoyote(dikteta).Ni mfulilizo wa watu kuogopa habari bila kujua kuna responsibility ni uhuru pia.
Wenzetu walijikuta wakizikubali blogs ambazo zimeandikwa na watu wasio wanahabari ila zilikuwa na habari nzito na kiwango, zilikuwa zikiibua vitu media kubwa zisingeweza zipat au ahata zikubali.HIvyo hata kwa microfinance ni eneo lilioachwa sana na tasisi za hela,ila na walifanya kazi kubwa kuzuia hii section.Baadaye wakazidiwa nguvu na sasa tunayaona haya.
Huo woga wa kuweka mipaka ni tabia ya watu waovu na greed kutaka zuia entry ya watu, vitu vingine wasivyotaka viinie kwa sababua zao.Ndio maana kuna watu wana dress code, km njia ya kuwatenga wengine.
CCM wanafikiria dunia ya leo inaweza weka sheria kwa CITIZEN jounalism?Kila raia akiwa mwandishi ni media inakuwa kama natural waya ya kupashana habari.Ambapo kila mtu anaweza arifu watu akilichokiona n ahivyo haihitaji weledi au lah.Anahitajia tuu kusem alichokion au kusikia.
NITOFAUTIANE NA WASOMI VILAZA BONGO. KUNA UHURU NA KUWAJIBIKA.kUWAJIBIKA SI MIPAKA BALI NI SEHEMU YA UHURU.NI SEHEMU YA KUJITAWALA.
Responsibility ni uhuru wa kujitawala.Sasa how repsonsible someone can be ndipo tunamweka mtu ktk kundi la wanaovunja uhuru wa habari wa wengine.
Wao wajadili ujinga wakati watu wanaambiana ugaidi wao, watu wanaamabiana tembe wetu, wanaamabiana wizi, na wanayo haki ya kuongelea hayo mitaani hadi nchi mzima kupata mawazo na habari sawa.
Tuache mawazo ya uhuru wa mipaka, huo ni uovu wa kijamaa na propaganda na kuupa ujamaa sura nzuri nje na ndani.Ni woga tuu ndio huogopa uhuru. Kuna ushahidi kuwa hata watumwa kuna wengine waliogopa uhuru, na hivyo kuamua rudi kwa watawala.Hawa hugeuka kuwa watumwa waliojifunga hata bila kuhitaji jitihada za alyewafunga.Pia wakandamizaji nao pia hawapendi hayo, waovu wengine pia.
Pia wato hata waumini wa dini fulani nao wanagopa kusikia au kuona mambo fulani.Kwa vile dini zao hazijawafundisha kuwa ukikutana na uovu si dhambi.Ila dhambi ni wewe kushindwa fanya maamuzi sahihi.
Habari ni uhuru, ni vyombo vya habari vipo ktk soko huru na hivyo vingine vitakufa natural death, vingine vitajipambanua.
Nasikitika wabunge wanatake sheria ya kumlinda rais asiyejisitiri.Sijui hawajui Nyerere au wamesahau kuwa Nyerere aliwahi lalamikia katiba na sheria zetu kuwa zilimruhusu sana kuwa muovu yoyote(dikteta).Ni mfulilizo wa watu kuogopa habari bila kujua kuna responsibility ni uhuru pia.
Wenzetu walijikuta wakizikubali blogs ambazo zimeandikwa na watu wasio wanahabari ila zilikuwa na habari nzito na kiwango, zilikuwa zikiibua vitu media kubwa zisingeweza zipat au ahata zikubali.HIvyo hata kwa microfinance ni eneo lilioachwa sana na tasisi za hela,ila na walifanya kazi kubwa kuzuia hii section.Baadaye wakazidiwa nguvu na sasa tunayaona haya.
Huo woga wa kuweka mipaka ni tabia ya watu waovu na greed kutaka zuia entry ya watu, vitu vingine wasivyotaka viinie kwa sababua zao.Ndio maana kuna watu wana dress code, km njia ya kuwatenga wengine.