CCM wanajadili uhuru na Mipaka ya uhuru, Uhuru hauna mipaka!

CCM wanajadili uhuru na Mipaka ya uhuru, Uhuru hauna mipaka!

Mkuu Nicholas, nadhani umeleta jambo zuri ila jazba na mapenzi ya kisiasa yanaweza kuvuruga hoja yako. Binafsi ninakubaliana nawe kabisa kuwa "UHURU NI UWAJIBIKAJI" Kuwa huru ni katika kutekeleza wajibu wako, hujatekeleza wajibu wako wewe ni mtumwa tena mfu". Yeyote anayekwepa kutekeleza wajibu wake, atakuwa AMEJIFUNGA MWENYEWE, ndicho kinachowakuta wanasiasa wetu wa leo! UHURU ni uhalali na nafasi kamili ya kupata haki yako, na haki yake mtu kuu na ya msingi kabisa ni kutekeleza WAJIBU wake" Hivyo ni kweli kabisa kuwa Uhuru ni Kuwajibika. Swali, je tunaposema Uhuru ni KUWAJIBIKA ni kwa kutumia misingi gani? Je, ya kiafrika(Ubuntu)? Ama Kidemokrasia? Au ipi?
Ni wazi kuwa Mkuu wangu kwa kuuchukia ujamaa na sera zake, nashawishika kuamini kuwa unaposema Uhuru ni Uwajibikaji, unasema hayo kwa misingi ya kidemokrasia, na hapo ndipo ninapotofautiana nawe! Katika misingi ya Demokrasia, Uhuru si Uwajibikaji hata siku moja! Lakini ninaamini kabisa katika misingi ya Ujamaa-Uhuru ni Uwajibikaji. Uhuru ni uhalali na nafasi kamili katika kupata haki yake mtu, na HAKI ni kutekeleza wajibu! Katika ujamaa, kila mtu ana mafungamano muhimu na mwenzake, hivyo kulinda HAKI za wote ni wajibu wa wote! Kuhakikisha wewe unawajibika ni wajibu wangu, kwa namna yoyote ile ni lazima nihakikishe UNAWAJIBIKA, na huo ndio Uhuru tunaousema hapa!
Nakataa kuwa Uhuru si Uwajibikaji katika Demokrasia kwa sababu, moja Demokrasia inamrubuni mtu kuwa anaweza kuishi binafsi pasi na kufungamana na wengine, hivyo KUWAJIBIKA kwake ni HIYARI. Je, Uhuru ni Hiyari? Ni wazi SIVYO.
Ndio maana leo hii tuko mstari wa mbele kudai Kudai fulani apewe uhuru tukidhani kwamba ni kitu kutoka kwa wengine, mbaya zaidi hatutaki kuhoji KUWAJIBIKA kwao, ila tu tunalalama hawako huru. Ni UNAFIKI na USALITI wa nafsi zetu wenyewe! Kinyume cha Kuwajibika ni KUTOWAJIBIKA, hivyo tunapohoji hili ni lazima tujiulize kama kila mtu alicheza nafasi yake, ni Ujamaa tu ulioweza hoji hivyo!
Katika kuhakikisha kila mtu anawajibika, binadamu ALIFUNGWA. Mahusiano ya mwanadamu kwa mwanadamu, na mazingira yake, imani zake, fikra, n.k yalifungwa na MIIKO thabiti yenye uuwiano sahihi wa Mazingira na Nyakati zake mtu, Demokrasia ikavunja vifungo hivyo, kamwe haiwezi kuwa tena "UHURU ni UWAJIBIKAJI" kilichobaki ni KIINI MACHO/UBATILI, hakipaswi kupiganiwa!
"Utii bila Uhuru ni Utumwa! Na Uhuru bila nidhamu ni Wendawazimu" JKN.
Mkuu Nicholas, kama kauli yako ya Uhuru ni Uwajibikaji ni ya dhati kabisa, uliyoipata ukiwa na Fikra huru pasi na kufungwa na chochote kitu, basi adui yako si CCM tu bali ni pamoja na CDM, CUF, n.k maana ni wahubiri wazuri wa Demokrasia, sumu ya imani ya kuwa "UHURU ni UWAJIBIKAJI"
Ni vyema tukatambua, gharama halisi ya Maendeleo yetu!
Mungu wetu anaita sasa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nicholas, nadhani umeleta jambo zuri ila jazba na mapenzi ya kisiasa yanaweza kuvuruga hoja yako. Binafsi ninakubaliana nawe kabisa kuwa "UHURU NI UWAJIBIKAJI" Kuwa huru ni katika kutekeleza wajibu wako, hujatekeleza wajibu wako wewe ni mtumwa tena mfu". Yeyote anayekwepa kutekeleza wajibu wake, atakuwa AMEJIFUNGA MWENYEWE, ndicho kinachowakuta wanasiasa wetu wa leo! UHURU ni uhalali na nafasi kamili ya kupata haki yako, na haki yake mtu kuu na ya msingi kabisa ni kutekeleza WAJIBU wake" Hivyo ni kweli kabisa kuwa Uhuru ni Kuwajibika. Swali, je tunaposema Uhuru ni KUWAJIBIKA ni kwa kutumia misingi gani? Je, ya kiafrika(Ubuntu)? Ama Kidemokrasia? Au ipi?
Ni wazi kuwa Mkuu wangu kwa kuuchukia ujamaa na sera zake, nashawishika kuamini kuwa unaposema Uhuru ni Uwajibikaji, unasema hayo kwa misingi ya kidemokrasia, na hapo ndipo ninapotofautiana nawe! Katika misingi ya Demokrasia, Uhuru si Uwajibikaji hata siku moja! Lakini ninaamini kabisa katika misingi ya Ujamaa-Uhuru ni Uwajibikaji. Uhuru ni uhalali na nafasi kamili katika kupata haki yake mtu, na HAKI ni kutekeleza wajibu! Katika ujamaa, kila mtu ana mafungamano muhimu na mwenzake, hivyo kulinda HAKI za wote ni wajibu wa wote! Kuhakikisha wewe unawajibika ni wajibu wangu, kwa namna yoyote ile ni lazima nihakikishe UNAWAJIBIKA, na huo ndio Uhuru tunaousema hapa!
Nakataa kuwa Uhuru si Uwajibikaji katika Demokrasia kwa sababu, moja Demokrasia inamrubuni mtu kuwa anaweza kuishi binafsi pasi na kufungamana na wengine, hivyo KUWAJIBIKA kwake ni HIYARI. Je, Uhuru ni Hiyari? Ni wazi SIVYO.
Ndio maana leo hii tuko mstari wa mbele kudai Kudai fulani apewe uhuru tukidhani kwamba ni kitu kutoka kwa wengine, mbaya zaidi hatutaki kuhoji KUWAJIBIKA kwao, ila tu tunalalama hawako huru. Ni UNAFIKI na USALITI wa nafsi zetu wenyewe! Kinyume cha Kuwajibika ni KUTOWAJIBIKA, hivyo tunapohoji hili ni lazima tujiulize kama kila mtu alicheza nafasi yake, ni Ujamaa tu ulioweza hoji hivyo!
Katika kuhakikisha kila mtu anawajibika, binadamu ALIFUNGWA. Mahusiano ya mwanadamu kwa mwanadamu, na mazingira yake, imani zake, fikra, n.k yalifungwa na MIIKO thabiti yenye uuwiano sahihi wa Mazingira na Nyakati zake mtu, Demokrasia ikavunja vifungo hivyo, kamwe haiwezi kuwa tena "UHURU ni UWAJIBIKAJI" kilichobaki ni KIINI MACHO/UBATILI, hakipaswi kupiganiwa!
"Utii bila Uhuru ni Utumwa! Na Uhuru bila nidhamu ni Wendawazimu" JKN.
Mkuu Nicholas, kama kauli yako ya Uhuru ni Uwajibikaji ni ya dhati kabisa, uliyoipata ukiwa na Fikra huru pasi na kufungwa na chochote kitu, basi adui yako si CCM tu bali ni pamoja na CDM, CUF, n.k maana ni wahubiri wazuri wa Demokrasia, sumu ya imani ya kuwa "UHURU ni UWAJIBIKAJI"
Ni vyema tukatambua, gharama halisi ya Maendeleo yetu!
Mungu wetu anaita sasa!

Uwajibikaji hauwezi kuwepo ktk ujamaa.Ujamaa ni unyonyaji uliopewa kinga.Ukiwajibika ktk kundi si huru kwa vile unafungwa na sheria za kundi,na unaongozwa na mtu au dola.Ktk ujamaa si lazima kuwa the more you earn the more you gain, the smarter you do things the more efficient ,the more rewards.Kwani mwishowe utasubiri mgao ili mfanane,ili umoja usivunjike, na mara nyingi kufany kazi unaamrishwa.



Ujamaa ktk democrasia ndio sehemu sawia km ilivyo calcium na mfupa.Unapowajibika unakuwa more democratic kwa vile hutakuwa na sababu au tamaa ya kutawala wengine.Nimefany atafiti kwa watu wa mataifa mengine sana ambao nimebahatikafanya nao kazi.Wapo watu ambao kama kapewa hela ya matumizi na stationeries,ikitokea anataka tumia kitu cha office hata kama hakuna sheria,basi huulizia atapaswa lipa bei gani kwa kutumia.Ila bongo si rahisi kupata hilo kwa mtanznaia halisi.Wengi tuu wanachukua kuanzia karatasi, printer, penseli na peni za watoto,mawaziri wanatumia magari ya serikali bila hata kuweka mafuta yao binafsi,ni kutowajibika kunawafanya wavuke majukumu yao na kutumikisha wengine ktk issue zao.Na wao kuwa watumwa wa tamaa zao.


Ni kutowajibika tuu ndio kunawafanya watu watumie nguvu kuzima kelele za watu wanataka haki yao ili wawajibike,ni kutowajiika kunapopelekea watu kuwatumikisha wengine na kuwanyonya.

Waziri mzima na exposure yote na priviledges zinazomzunguka hatakia wajibika ili atumie priviledges alizo nazo kupata hela halali.Anaamua kuchukua vya bure,kwa vile tayari ni mtumwa wa tamaa zake.Ukiwauliza ni kiasi gani wanahitaji kiwa mtaji wa miraji binafsi halali sijui hata kama wanajua.Wana mabilioni ila kupata nyingine ni kuua,kunyang`aya na kuiba.Bado hawajaweza toka ktk kifungo cha tamaa.Solomon alilimbikiza sana baadaye akajagundua kazuia wengine tuu.At anay time hawezi tumia zaidi ya kiasi fulani.

Ukiwajibika unakua na ridhiko kwa kiasi unachohitaji, kiasi kinachokutosha kuwa secure,na hivyo kuwa huru.Ukipata just kiasi unachotaka kwa muda husika unapata reward ya furaha.Ukizidisha unaanza kinaiwa, unaanza abuse na hivyo kuingia ktk utumwa.

Ndio maana ktk Ukristu kuna dhambi ya ulafi, majivuno ,etc.
 
Nicholas
Hivi ndio vichekesho mnavyofundishwa pale Togo? Uhuru una mipaka yake; yote ni kulinda sheria za nchi na watu wake; sijui dunia unayoishi lakini uende kwenye nchi za kijamaa au za kibepari; kuna limit ya uhuru; hapa USA ambazo ndio nguzo ya ubepari na inaheshimu haki za binadamu kuna freedom of speech ambayo inakufanya uwe huru kuongea bila hofu au wasiwasi wowote; pamoja na hiyo freedom speech bado ukienda na kinyume na sheria za nchi kwa kutumia kigezo cha freedom of speech sheria itafuata mkondo wake bila wasiwasi wowote; hata kwenye vyombo vya kidini pamoja na kuwa maeneo ambayo ulitegemea binadamu angekuwa huru bado kuna sheria zinazolinda vyombo; huo uhuru unaoungelea wewe subiri utakutana nao kaburini..

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Nicholas
Hivi ndio vichekesho mnavyofundishwa pale Togo? Uhuru una mipaka yake; yote ni kulinda sheria za nchi na watu wake; sijui dunia unayoishi lakini uende kwenye nchi za kijamaa au za kibepari; kuna limit ya uhuru; hapa USA ambazo ndio nguzo ya ubepari na inaheshimu haki za binadamu kuna freedom of speech ambayo inakufanya uwe huru kuongea bila hofu au wasiwasi wowote; pamoja na hiyo freedom speech bado ukienda na kinyume na sheria za nchi kwa kutumia kigezo cha freedom of speech sheria itafuata mkondo wake bila wasiwasi wowote; hata kwenye vyombo vya kidini pamoja na kuwa maeneo ambayo ulitegemea binadamu angekuwa huru bado kuna sheria zinazolinda vyombo; huo uhuru unaoungelea wewe subiri utakutana nao kaburini..

Chama
Gongo la mboto DSM

Umewahi sana jibu kabla hujasoma na kuelewa.Usiposhika wajibu lazima utapoteza aspects za uhuru na hivyo hiyo mipaka kukuhusu.Ngoja nikupunguzie.Hiiyo mipaka si natural ndio maana si mipaka universal na permanently.Ni vikwazo vya binadamu wasiokuwa responsible.

Najua ningumu sana kwako chama.Kwa jinsi unavyopenda jibu vitu kwa fujo na papara hujaweza jenga akili yako kufikiri zaidi.

Hata wewe pia hukuwajibika sehmu kadhaa ndio maana ukakimbilia beba mabox US.hapo ulipo una mipaka ya elimu kwa vile hukuwajibika kuijua democrasia ingawa ulikuwa ukifahamu unaihitaji.Sasa hivi unavuruga tuu mambo popote unapopata nafasi ya kuinfluence watu.Tena unafanya irresponsibly.Unaongea vitu bila kuwajibika kwa taifa, unaongea bila jali viazi vijavyo.

Kwa sasa hivi nchi imejaa watu wengine ambao hamjawajibika ktk mambo mengi sana na hivyo sasa hivi mnawawekea mipaka watu wengine ili wasiwajibike kwa vile watafikia wawajibisha ili uhuru wa wote urejeshwe.Mnapozuia watu kuwajibika ndipo mnapowanyima uhuru"
 
Naona bado una "think loud" sijui nikuache ualizie fikiria na kupitia ulichoandika.We ktk dictionay na practice wapi umeambiwa "Responsibility" ni neno tamu?Yepi mengine ni machungu?Bado unatania huruma sana.Hata kiswahili "Kuwajibika kumepakwa mafuta"? nani kakuambia kila kitamu ni kibaya? Hata chocolate ni coated. Mbona sioni ulipojitetea au kutetea hoja yako.


Naona umeahamia ku suggest kuwa mimi nina "hate speech"?Inaelekea utakuwa ndie yule mod anayependa nipa ban kwa sababu za kitoto umeamua weka ID ingine hapa. Mifano yako ni dhaifu sana ndugu yangu.Kwa ujumla sigara hupaswi hata wewe kuvuta.Ni kutowajibika kwa afya yako, kwa personality yako, kwa hela yako ,na mazingira yako na kujikuta umeruhusu sigar aikutawale uamue jidhuru mwenyewe. Kweli fikra za kijamaa zimekuathiri sana.Hapa hakuna mahali kunakunasua ktk "hiyo conflict yako na Utamaduni wa kimagharibi" umejifunza somo lililofilisika.Concept ya "Responsibility" ni universal.Hata wanyama hufukuzwa na mama zao waende duniani wakajitawale na kuongoza maisha yao,wawe n akil akitu chao,wawe master of their own life.

Hivi vinchi vyetu havina culture iliyokomaa ndio maana kuna vitu hatuwezi digest hata tukienda shule.ndio maana wasomi wetu wengi nawadharau sana hata kama wameachieve vitu vingi.Na ndio sababu huwa tunavunjika sana roho heroes wetu wanaposhindwa mbele ya wengine,tuna opt kusema wamebaguliwa,na wao kwa kutumia loopholes wanasema hivyo.Ni kutokuwa na uwezo ktk mambo ya msingi ambayo yana determine course fulani.Ndio maana vituu km movements ,mazingira ndizo zinatupa nobel price tuu. Kelele za Lipumba hapa hata ktk uteuzi tuu hajawahi. My friend,hembu malizia kufikiri loudly ,halfu pitia hizo habari ndipo uje tuongee.Inawezekana "Responsibility isiwe na neno ktk tamaduni za waafrica" kwa vile mila zetu hazikuwa haja ya kunotice na kudefince concept kwa greed za watu kama tunavyoona leo, na pia tabia ya binadamu kama social animal kumechangia kuua umaana wa responsibility.

Responsibility ni natural na essense ya freedom.Inawezekana hata mwalimu wako hakuwa akijua hilo na hadi leo hawezi jua.Mliopitia pitia mlimani kazi si kudesa tuu...kama mlivyoshika definiion yenu y a"democracy".Na zile definition za kivivu za "Katiba". Usilete ubishi wa Nuclear/atomic reactions. HIV/AIDS.Nimewahi shughudia madakatari wenye vyeti wanasema cholestral ni fat. Sishangai na wewe kushindwa elewa "freedom" ktk picture kubwa ya responsibility. Freedom usipo exercise si freedom kwa vile haipo ni kama chakula kisicholiwa hakina kazi mwilini. Respnsibility inaongeza dynamism ktk freedom.
Narudia tena kwamba wewe una kichwa kigumu kuelewa! Nazani kuna jambo fulani linalokutia kiburi na kujiona kama ni muelewa sana kuliko wengine ambao mara kwa mara umekuwa ukisistiza kuwadharau "wasomi wa bongo!" Sasa wewe msomi wa ughaibuni maandiko yako haya-reflect usomi wowote? Na kula kila dalili tunaweza kumaliza mwaka mzima lakini usielewe kwa sababu una kiburi cha kujifanya unajua kwavile labda elimu yako hukupatia Tanzania! This's ----! Ubora wako hauwezi kupimwa kwa wewe kuwadharau watu wengine bali utapimwa kutokana na namna gani ulivyo na uwezo wa kujenga hoja zako! Ubora wako hautapimwa kwavile tu umesomea ughaibuni bali utapimwa kutokana na nondo zako!

Badala ya kujenga hoja, unalalamika lalamika tu hapa; mara oh, utakuwa ndie yule mod anayenipa ban! what a rubbish Ukiona unapewa ban ni kwamba umekosa kutimizwa wajibu wako wa kufuata sheria na kanuni za JF, umevuka mipaka ya uhuru wako...we vipi!!
 
Narudia tena kwamba wewe una kichwa kigumu kuelewa! Nazani kuna jambo fulani linalokutia kiburi na kujiona kama ni muelewa sana kuliko wengine ambao mara kwa mara umekuwa ukisistiza kuwadharau "wasomi wa bongo!" Sasa wewe msomi wa ughaibuni maandiko yako haya-reflect usomi wowote? Na kula kila dalili tunaweza kumaliza mwaka mzima lakini usielewe kwa sababu una kiburi cha kujifanya unajua kwavile labda elimu yako hukupatia Tanzania! This's ----! Ubora wako hauwezi kupimwa kwa wewe kuwadharau watu wengine bali utapimwa kutokana na namna gani ulivyo na uwezo wa kujenga hoja zako! Ubora wako hautapimwa kwavile tu umesomea ughaibuni bali utapimwa kutokana na nondo zako!

Badala ya kujenga hoja, unalalamika lalamika tu hapa; mara oh, utakuwa ndie yule mod anayenipa ban! what a rubbish Ukiona unapewa ban ni kwamba umekosa kutimizwa wajibu wako wa kufuata sheria na kanuni za JF, umevuka mipaka ya uhuru wako...we vipi!!

Kwanza nashukuru ni wewe ndio unapiga kazi ya kupiga ban ili roho yako na desires zako ziridhike.Pia nashukuru umetumia kuwajibika kwa heshima zaidi.Ingawa si lazima mimi niwe sijawajibika,wewe ndio huwajibiki hadi mambo fulani yanakuatawala hadi unavutiwa kupiga ban.

Jf kuwa na mipaka haimaanishi kuwa uhuru nao una mipaka, ila JF ila ni limitationa za JF.Pengine upat emuongozo kwenye hilo.Ndio maana vitu visivyo friendly huwa watu users wanapiga chini.Ndio maana mtu anakuambia haka kagari kadogo mikuu inabana sana,hiki kitanda inapiga sana kelele,hii simu inakoroma vibaya nikiweka loud speaker.So unless una usggest JF inamipaka(vikwazo) ktk task iliyopewa huna kipya.

Kwanza sijui nini kinakuvutia piga bani holela wakati kila mtu ana kuwa responsible kwa alichokiandika?Pia ujue your mindset inaweza kuwa limited kama ilishakuwa abused na irresponsible people.

Nakua unaumia sana nikitumia maneno kama yalivyo, na ikikukuta wewe ndio unahitaji kuambiwa kuwa hukuwajibika basi unakwazika.Mbona vitu vingi tuu vinakuwa havitakiwi na hivyo kutupwa ktk rubbish na hivyo kuwa rabbish.Sasa nitamwambiaje mtu anayetaka gesi itoke mtwara iende dar kutengeneza umeme na sababu yake ni kwamba maji ya mtera yametumika sana.halafu anaanza kwa mbwembwe na kasahfa kama wewe.Ukimuliza kwanini basi na maji ya mtera hayakupelekwa dar kutengeneza umeme ndipo anarudi ktk sababu alizozitolea matusi.

Mara kibao ban zako nazo zinakuwa hivyo hivyo,huwa nacheka sana wakati wewe unategemea nitakuwa nalia.Kwa vile nipo responsible ndio maana sikwaziki.


Najua unafight kuokoa roho yako ,kwa ulichoandika hapo juu, hivyo sioni shida kupatia escape door.Ni kawaid ayangu kuwapa watu escape door km wanajua nao jinsi ya kuwajibika.Umeshindwa wajibika na hivyo umepoteza uhuru wako ndio maana uanfight kwa vitu visivyo na maana.Esteem.
 
Yote haya yanatokea baada ya miaka takriban 13 na miezi kama 7 ya kifo cha mtetezi na mzalendo namba moja wa taifa hili mwalimu Nyerere je akifikisha miaka 20-25 itakuwa je? Kama chama chake wameshindwa kuwa wazalendo kama yeye na kutimiza wajibu wao kwa taifa kwa kumwenzi kwa yale mema aliyotuachia ndo wanatudhihirishia nini?
 
Niwa watu wajinga tuu kutoka Africa, asia, ndio wanamini hay amambo ni relative😀emocracy ,Truth and Peace Freedom.Ndio maana hadi dunia ifikie ktk maangamizi hawatabadilika.Wamejenga mataifa ktk wrong premises.

Sheria nzuri huwekwa kumwajibisha mtu asiyewajibika.Ila si kumzuia mtu kuwajibika.Mwandishi mwajibikaji ana haki na anakuwa sahihi kuandika kwa weledi wake yale yote yanayoharibu nchi, na kuzuia wengine "KUWAJIBIKA" au kutumia "uhuru wake","Kujitawala".

Sasa maCCM yanameshindwa wajibika,yanataka zuia watu kuwajibika.Ni wajibu wa mtu kujua nchi yake na waharibifu au watengenezaji wake, ni wajibu wa kila raia kujua mazuri na mabaya ya nchi,ni wajibu wa tasnia ya habari kufikisha habari sahihi,habari zinazowajibisha waliokataa kuwajibika, ni wajibu wa asiyewajibika kukukiri kutotimiza wajibu wake.Na wajibu wake kukubaili majukumu kadiri alivyoacha wajibika na kuzuia wajibu wa wengine.
 
Umewahi sana jibu kabla hujasoma na kuelewa.Usiposhika wajibu lazima utapoteza aspects za uhuru na hivyo hiyo mipaka kukuhusu.Ngoja nikupunguzie.Hiiyo mipaka si natural ndio maana si mipaka universal na permanently.Ni vikwazo vya binadamu wasiokuwa responsible.

Najua ningumu sana kwako chama.Kwa jinsi unavyopenda jibu vitu kwa fujo na papara hujaweza jenga akili yako kufikiri zaidi.

Hata wewe pia hukuwajibika sehmu kadhaa ndio maana ukakimbilia beba mabox US.hapo ulipo una mipaka ya elimu kwa vile hukuwajibika kuijua democrasia ingawa ulikuwa ukifahamu unaihitaji.Sasa hivi unavuruga tuu mambo popote unapopata nafasi ya kuinfluence watu.Tena unafanya irresponsibly.Unaongea vitu bila kuwajibika kwa taifa, unaongea bila jali viazi vijavyo.

Kwa sasa hivi nchi imejaa watu wengine ambao hamjawajibika ktk mambo mengi sana na hivyo sasa hivi mnawawekea mipaka watu wengine ili wasiwajibike kwa vile watafikia wawajibisha ili uhuru wa wote urejeshwe.Mnapozuia watu kuwajibika ndipo mnapowanyima uhuru"
Nicholas
Nafahamu upeo wako ni duni katika kuchanganua mambo; hebu ni mfano wa nchi 2 na mifumo ya uchumi yenye huo uhuru unaouzungumzia; jaribu kutoa mifano halisia ili utusaidie wasomaji. kama ni kuwajibika nimewajibika sana kwenye maisha yangu mpaka hapa nilipo sio haba kama ni mabox inawezekana ulikuwa ni mwanzo tu sasa hivi tambarere mwanangu sema jingine; nimeishi kwenye mifumo yote kwa maana hiyo huna lolote la kunieleza kuhusu uhuru wa binadamu. Hebu tueleze umenyimwa uhuru gani wa kuwajibika?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Narudia tena kwamba wewe una kichwa kigumu kuelewa! Nazani kuna jambo fulani linalokutia kiburi na kujiona kama ni muelewa sana kuliko wengine ambao mara kwa mara umekuwa ukisistiza kuwadharau "wasomi wa bongo!" Sasa wewe msomi wa ughaibuni maandiko yako haya-reflect usomi wowote? Na kula kila dalili tunaweza kumaliza mwaka mzima lakini usielewe kwa sababu una kiburi cha kujifanya unajua kwavile labda elimu yako hukupatia Tanzania! This's ----! Ubora wako hauwezi kupimwa kwa wewe kuwadharau watu wengine bali utapimwa kutokana na namna gani ulivyo na uwezo wa kujenga hoja zako! Ubora wako hautapimwa kwavile tu umesomea ughaibuni bali utapimwa kutokana na nondo zako!

Badala ya kujenga hoja, unalalamika lalamika tu hapa; mara oh, utakuwa ndie yule mod anayenipa ban! what a rubbish Ukiona unapewa ban ni kwamba umekosa kutimizwa wajibu wako wa kufuata sheria na kanuni za JF, umevuka mipaka ya uhuru wako...we vipi!!
NasDaz
Huyu jamaa Nicholas hajasoma inawezekana anajiona amesoma kwasababu yumo ndani kundi la wajinga; mtu aliyesoma akiandika mstari mmoja tu utaelewa jamaa amejaza ukarasa mzima hakuna kinachoeleweka zaidi ya kujichanganya na viwambaza; huyu ndiye msomi wanayemtegemea mtaa wa Togo kujenga hoja; twende naye taratibu ataanza zile lugha zao muda sio mrefu; yaani jamaa anajua kuchefua roho za watu sasa hivi natoka kumshangilia Lebron na Miami Heat nachungulia JF nakutana na utumbo wa nguruwe uliooza kama huu !

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
NasDaz
Huyu jamaa Nicholas hajasoma inawezekana anajiona amesoma kwasababu yumo ndani kundi la wajinga; mtu aliyesoma akiandika mstari mmoja tu utaelewa jamaa amejaza ukarasa mzima hakuna kinachoeleweka zaidi ya kujichanganya na viwambaza; huyu ndiye msomi wanayemtegemea mtaa wa Togo kujenga hoja; twende naye taratibu ataanza zile lugha zao muda sio mrefu; yaani jamaa anajua kuchefua roho za watu sasa hivi natoka kumshangilia Lebron na Miami Heat nachungulia JF nakutana na utumbo wa nguruwe uliooza kama huu !

Chama
Gongo la mboto DSM

Kashangilie Lebron tuu nani hakujui kam wewe na Ritz nishida tupu humu ndani.
 
Nicholas
Nafahamu upeo wako ni duni katika kuchanganua mambo; hebu ni mfano wa nchi 2 na mifumo ya uchumi yenye huo uhuru unaouzungumzia; jaribu kutoa mifano halisia ili utusaidie wasomaji. kama ni kuwajibika nimewajibika sana kwenye maisha yangu mpaka hapa nilipo sio haba kama ni mabox inawezekana ulikuwa ni mwanzo tu sasa hivi tambarere mwanangu sema jingine; nimeishi kwenye mifumo yote kwa maana hiyo huna lolote la kunieleza kuhusu uhuru wa binadamu. Hebu tueleze umenyimwa uhuru gani wa kuwajibika?

Chama
Gongo la mboto DSM

This is beyond ile elimu yako ya malcom-X ndugu yangu.

Hapa mazungumzo yangu ya msingi kulalamika kunyimwa uhuru wa kuwajibika.Ila ni mahusiano ya "Uhuru na uwajibikaji". We unadandia kila kitu?


Kweli wewe inaelekea box unalobeba lina kaili kuliko wewe.Dont shoot at the darkeness.Kwa sababu umesikia echo..echo na giza utakupotosha.
 
Kashangilie Lebron tuu nani hakujui kam wewe na Ritz nishida tupu humu ndani.
Rafiki yangu JingalaFalsafa amekuambia jambo moja muhimu sana....kwamba unaleta politics! Mbaya zaidi you don't bring politics as a part of a society bali unaleta siasa za u-CHADEMA, na hapo ndipo unapopoteza focus yako!
 
Last edited by a moderator:
Chama kupunguza cyclic reasoning kwanini usipitie mazungumzo tangu mwanzo.Ndipo uje okoa roho ya maiti CCM.Mabyo hata kujuta hayatakuwa na hiyo nguvu. Majinga yaliyoendeshwa kwa nyumbu yatakauja juta kama wewe,hawa jamaa wakishauza nchi watakuwa so powerful km familia za Pakistani.Na wanyonyaji watakuwa na ring za assassins wa kuwatoa wote wenye kelele.Na watakuwa na makundi pinzani ili balance ikichange wanapindua.Huku policy ikibaki "Hakuingilii mamabo ya ndani"
 
NasDaz
Huyu jamaa Nicholas hajasoma inawezekana anajiona amesoma kwasababu yumo ndani kundi la wajinga; mtu aliyesoma akiandika mstari mmoja tu utaelewa jamaa amejaza ukarasa mzima hakuna kinachoeleweka zaidi ya kujichanganya na viwambaza; huyu ndiye msomi wanayemtegemea mtaa wa Togo kujenga hoja; twende naye taratibu ataanza zile lugha zao muda sio mrefu; yaani jamaa anajua kuchefua roho za watu sasa hivi natoka kumshangilia Lebron na Miami Heat nachungulia JF nakutana na utumbo wa nguruwe uliooza kama huu !

Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu wangu chama ulichosema ni sahihi! Mbaya zaidi, Nicholas anaamini yeye na wale wenye mawazo kama yeye ndio wenye uelewa usio shaka!
 
Last edited by a moderator:
Rafiki yangu JingalaFalsafa amekuambia jambo moja muhimu sana....kwamba unaleta politics! Mbaya zaidi you don't bring politics as a part of a society bali unaleta siasa za u-CHADEMA, na hapo ndipo unapopoteza focus yako!

Naona mmeamua resort kwa mambo ya pembezoni.Hoja ya msingi imeshinda.Sasa mnaanza blame game,na kuplay victims.Ili kuimpact guiltiness halafu mpate easy way.Ni kutowajibika huko.Na huko ndipo kunalimit uhuru wa wengine.Hizo ndizo mnaita mipaka ya uhuru.

Kaongea la muhimu lipi,kama wa aliyesema kuwa gesi tufanye kama maji ya mtera?Mbona maji ya mtera hayakwenda Dar nayo?Cyclic reasoning inakurudisha palepale.

Au kule kusema kuwa uhusu wa democrasia ambao mtu unaweza amua kutowajibika?Sasa kama unaamua kutowajibika ina maana hujawajibika na wewe umemezwa na uvivu.Uvivu si uhuru na pia ni msingi wa kupeteza spects nyingi san aza uhuru.
 
Naona mmeamua resort kwa mambo ya pembezoni.Hoja ya msingi imeshinda.Sasa mnaanza blame game,na kuplay victims.Ili kuimpact guiltiness halafu mpate easy way.Ni kutowajibika huko.Na huko ndipo kunalimit uhuru wa wengine.Hizo ndizo mnaita mipaka ya uhuru.

Kaonea la muhimu lipii, kuwa gesi tufanye kama maji ya mtera?Mbona maji ya mtera hayakwenda Dar nayo?Cyclic reasoning inakurudisha palepale.
Unaona sasa! Hivi huwa unapitia ulichoandika kabla ya ku-click "Post Quick Reply"?
 
Hili la gesi Nicholas naomba mimi na wewe tusiliingize kwenye mjadala coz' hatutafika muafaka simply bcoz' wewe utalijadili from Political Point of View wakati mimi nitajadili from Economic Point of View!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom