Huko ni kuvuka mipaka

Huko ni kuvuka mipaka

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
38,228
Reaction score
88,507
HUKO NI KUVUKA MIPAKA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna wakati katika maisha mtu hufanya kosa. Kuna wakati pia mtu hufanya uamuzi mbaya. Lakini kuna hatua nyingine ambayo si kosa tena wala si bahati mbaya, huko ni kuvuka mipaka.

Mipaka ipo kwa sababu. Ipo kulinda utu wa binadamu, kuheshimu haki za wengine, na kuhakikisha jamii inaendelea kwa amani. Mzazi anapomdhalilisha mtoto wake, kiongozi anapotumia madaraka vibaya, mwajiri anapomnyanyasa mfanyakazi, au mtu yeyote anapotumia nguvu, fedha au mamlaka kumkandamiza mwingine, Huko ni kuvuka mipaka.

Jamii nyingi zimejengwa juu ya misingi ya kuheshimiana. Heshima si ishara ya udhaifu; ni alama ya ustaarabu. Tunapoanza kuona matusi kama ujasiri na ujanja, unyanyasaji kama nguvu, au uongo kama mbinu ya mafanikio, tunakuwa tumepoteza dira. Mwisho wake ni jamii inayokosa uaminifu na mshikamano.

Katika mahusiano, kuvuka mipaka huanza pale ambapo mmoja anadhani ana haki ya kumiliki maisha ya mwingine. Upendo haupaswi kuwa kifungo, bali ushirikiano unaojengwa juu ya ridhaa, mawasiliano na kuheshimianA
Vivyo hivyo katika sehemu za kazi, viongozi wanapaswa kutumia mamlaka yao kujenga watu, si kuwavunja.

Katika siasa na uongozi, mipaka ni muhimu zaidi. Kiongozi anapopewa dhamana, hapewi ruhusa ya kufanya kila anachotaka. Anapaswa kuwajibika kwa sheria, maadili na wananchi. Pale ambapo mamlaka yanatumika kukandamiza haki za wengine, historia hutuonyesha kuwa mwisho wake huwa ni migogoro na kuporomoka kwa imani ya wananchi.

Mitandao ya kijamii nayo imekuwa eneo ambalo watu wengi huvuka mipaka bila kutambua. Uhuru wa kutoa maoni haupaswi kuwa ruhusa ya kutukana, kuzusha uongo au kuharibu heshima ya wengine. Kila neno lina athari, na kila chapisho linaweza kujenga au kubomoa maisha ya mtu.

Ni muhimu kila mmoja wetu ajifunze kuweka na kuheshimu mipaka. Mipaka ya maneno, mipaka ya matendo, mipaka ya madaraka na hata mipaka ya hisia. Ustaarabu wa kweli haupimwi kwa ukubwa wa mali au cheo, bali kwa uwezo wa kuheshimu mipaka ya wengine hata pale unapokuwa na uwezo wa kuivunja.

Tunafuatilia

Taikonmaster
Kwa sasa Dar es salaam
 
HUKO NI KUVUKA MIPAKA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna wakati katika maisha mtu hufanya kosa. Kuna wakati pia mtu hufanya uamuzi mbaya. Lakini kuna hatua nyingine ambayo si kosa tena wala si bahati mbaya, huko ni kuvuka mipaka.

Mipaka ipo kwa sababu. Ipo kulinda utu wa binadamu, kuheshimu haki za wengine, na kuhakikisha jamii inaendelea kwa amani. Mzazi anapomdhalilisha mtoto wake, kiongozi anapotumia madaraka vibaya, mwajiri anapomnyanyasa mfanyakazi, au mtu yeyote anapotumia nguvu, fedha au mamlaka kumkandamiza mwingine, Huko ni kuvuka mipaka.

Jamii nyingi zimejengwa juu ya misingi ya kuheshimiana. Heshima si ishara ya udhaifu; ni alama ya ustaarabu. Tunapoanza kuona matusi kama ujasiri na ujanja, unyanyasaji kama nguvu, au uongo kama mbinu ya mafanikio, tunakuwa tumepoteza dira. Mwisho wake ni jamii inayokosa uaminifu na mshikamano.

Katika mahusiano, kuvuka mipaka huanza pale ambapo mmoja anadhani ana haki ya kumiliki maisha ya mwingine. Upendo haupaswi kuwa kifungo, bali ushirikiano unaojengwa juu ya ridhaa, mawasiliano na kuheshimianA
Vivyo hivyo katika sehemu za kazi, viongozi wanapaswa kutumia mamlaka yao kujenga watu, si kuwavunja.

Katika siasa na uongozi, mipaka ni muhimu zaidi. Kiongozi anapopewa dhamana, hapewi ruhusa ya kufanya kila anachotaka. Anapaswa kuwajibika kwa sheria, maadili na wananchi. Pale ambapo mamlaka yanatumika kukandamiza haki za wengine, historia hutuonyesha kuwa mwisho wake huwa ni migogoro na kuporomoka kwa imani ya wananchi.

Mitandao ya kijamii nayo imekuwa eneo ambalo watu wengi huvuka mipaka bila kutambua. Uhuru wa kutoa maoni haupaswi kuwa ruhusa ya kutukana, kuzusha uongo au kuharibu heshima ya wengine. Kila neno lina athari, na kila chapisho linaweza kujenga au kubomoa maisha ya mtu.

Ni muhimu kila mmoja wetu ajifunze kuweka na kuheshimu mipaka. Mipaka ya maneno, mipaka ya matendo, mipaka ya madaraka na hata mipaka ya hisia. Ustaarabu wa kweli haupimwi kwa ukubwa wa mali au cheo, bali kwa uwezo wa kuheshimu mipaka ya wengine hata pale unapokuwa na uwezo wa kuivunja.

Tunafuatilia

Taikonmaster
Kwa sasa Dar es salaam
Gentleman,
hebu fikiria,
boss anampa mfanyakazi wake mabilioni ya pesa akalale nayo gesti house, halafu yeye boss analala hotelini tena ghorofani kabisa.

Unadhani huyo bosi atakua na nia njema kweli dhidi ya huyo mfanya kazi wake, au ndio kuvuka mipaka kwenyewe huko?

Suala la wenye vyeo na madaraka kuvuka mipaka ya dhamana zao,
ni suala ambalo linasikitisha sana, linafedhehesha sana na kwakweli halikubaliki babisa katika jamii yoyote ile iliyostaarabika my friends, ladies and gentlemen.

Ni muhimu sana kuwa wastarabu na wenye kuheshimu utu wa kila mtu katika kutekeleza majukumu na itapendeza zaidi 🐒
 
Gentleman,
hebu fikiria,
boss anampa mfanyakazi wake mabilioni ya pesa akalale nayo gesti house, halafu yeye boss analala hotelini tena ghorofani kabisa.

Unadhani huyo bosi atakua na nia njema kweli dhidi ya huyo mfanya kazi wake, au ndio kuvuka mipaka kwenyewe huko?

Suala la wenye vyeo na madaraka kuvuka mipaka ya dhamana zao,
ni suala ambalo linasikitisha sana na kwakweli linafedhehesha sana my friends, ladies and gentlemen.

Ni muhimu sana kuwa wastarabu na wenye kuheshimu utu wa kila mtu katika kutekeleza majukumu na itapendeza zaidi 🐒

Tiririka tiriri Gentlemen. Eleza kwa kina. Unazungumzia nini
 
HUKO NI KUVUKA MIPAKA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna wakati katika maisha mtu hufanya kosa. Kuna wakati pia mtu hufanya uamuzi mbaya. Lakini kuna hatua nyingine ambayo si kosa tena wala si bahati mbaya, huko ni kuvuka mipaka.

Mipaka ipo kwa sababu. Ipo kulinda utu wa binadamu, kuheshimu haki za wengine, na kuhakikisha jamii inaendelea kwa amani. Mzazi anapomdhalilisha mtoto wake, kiongozi anapotumia madaraka vibaya, mwajiri anapomnyanyasa mfanyakazi, au mtu yeyote anapotumia nguvu, fedha au mamlaka kumkandamiza mwingine, Huko ni kuvuka mipaka.

Jamii nyingi zimejengwa juu ya misingi ya kuheshimiana. Heshima si ishara ya udhaifu; ni alama ya ustaarabu. Tunapoanza kuona matusi kama ujasiri na ujanja, unyanyasaji kama nguvu, au uongo kama mbinu ya mafanikio, tunakuwa tumepoteza dira. Mwisho wake ni jamii inayokosa uaminifu na mshikamano.

Katika mahusiano, kuvuka mipaka huanza pale ambapo mmoja anadhani ana haki ya kumiliki maisha ya mwingine. Upendo haupaswi kuwa kifungo, bali ushirikiano unaojengwa juu ya ridhaa, mawasiliano na kuheshimianA
Vivyo hivyo katika sehemu za kazi, viongozi wanapaswa kutumia mamlaka yao kujenga watu, si kuwavunja.

Katika siasa na uongozi, mipaka ni muhimu zaidi. Kiongozi anapopewa dhamana, hapewi ruhusa ya kufanya kila anachotaka. Anapaswa kuwajibika kwa sheria, maadili na wananchi. Pale ambapo mamlaka yanatumika kukandamiza haki za wengine, historia hutuonyesha kuwa mwisho wake huwa ni migogoro na kuporomoka kwa imani ya wananchi.

Mitandao ya kijamii nayo imekuwa eneo ambalo watu wengi huvuka mipaka bila kutambua. Uhuru wa kutoa maoni haupaswi kuwa ruhusa ya kutukana, kuzusha uongo au kuharibu heshima ya wengine. Kila neno lina athari, na kila chapisho linaweza kujenga au kubomoa maisha ya mtu.

Ni muhimu kila mmoja wetu ajifunze kuweka na kuheshimu mipaka. Mipaka ya maneno, mipaka ya matendo, mipaka ya madaraka na hata mipaka ya hisia. Ustaarabu wa kweli haupimwi kwa ukubwa wa mali au cheo, bali kwa uwezo wa kuheshimu mipaka ya wengine hata pale unapokuwa na uwezo wa kuivunja.

Tunafuatilia

Taikonmaster
Kwa sasa Dar es salaam
Umenikumbusha maneno mazuri kwenye wimbo unaitwa MOMBASA ulioimbwa na Kijana wa Bono Fleva MARIOO.

Analia kunyanyaswa na kutokupendwa lakini mwisho wa siku akaishia Mombasa!

Sasa na wewe maneno yako hayo mazuri ulitaka kusema nini?
 
HUKO NI KUVUKA MIPAKA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna wakati katika maisha mtu hufanya kosa. Kuna wakati pia mtu hufanya uamuzi mbaya. Lakini kuna hatua nyingine ambayo si kosa tena wala si bahati mbaya, huko ni kuvuka mipaka.

Mipaka ipo kwa sababu. Ipo kulinda utu wa binadamu, kuheshimu haki za wengine, na kuhakikisha jamii inaendelea kwa amani. Mzazi anapomdhalilisha mtoto wake, kiongozi anapotumia madaraka vibaya, mwajiri anapomnyanyasa mfanyakazi, au mtu yeyote anapotumia nguvu, fedha au mamlaka kumkandamiza mwingine, Huko ni kuvuka mipaka.

Jamii nyingi zimejengwa juu ya misingi ya kuheshimiana. Heshima si ishara ya udhaifu; ni alama ya ustaarabu. Tunapoanza kuona matusi kama ujasiri na ujanja, unyanyasaji kama nguvu, au uongo kama mbinu ya mafanikio, tunakuwa tumepoteza dira. Mwisho wake ni jamii inayokosa uaminifu na mshikamano.

Katika mahusiano, kuvuka mipaka huanza pale ambapo mmoja anadhani ana haki ya kumiliki maisha ya mwingine. Upendo haupaswi kuwa kifungo, bali ushirikiano unaojengwa juu ya ridhaa, mawasiliano na kuheshimianA
Vivyo hivyo katika sehemu za kazi, viongozi wanapaswa kutumia mamlaka yao kujenga watu, si kuwavunja.

Katika siasa na uongozi, mipaka ni muhimu zaidi. Kiongozi anapopewa dhamana, hapewi ruhusa ya kufanya kila anachotaka. Anapaswa kuwajibika kwa sheria, maadili na wananchi. Pale ambapo mamlaka yanatumika kukandamiza haki za wengine, historia hutuonyesha kuwa mwisho wake huwa ni migogoro na kuporomoka kwa imani ya wananchi.

Mitandao ya kijamii nayo imekuwa eneo ambalo watu wengi huvuka mipaka bila kutambua. Uhuru wa kutoa maoni haupaswi kuwa ruhusa ya kutukana, kuzusha uongo au kuharibu heshima ya wengine. Kila neno lina athari, na kila chapisho linaweza kujenga au kubomoa maisha ya mtu.

Ni muhimu kila mmoja wetu ajifunze kuweka na kuheshimu mipaka. Mipaka ya maneno, mipaka ya matendo, mipaka ya madaraka na hata mipaka ya hisia. Ustaarabu wa kweli haupimwi kwa ukubwa wa mali au cheo, bali kwa uwezo wa kuheshimu mipaka ya wengine hata pale unapokuwa na uwezo wa kuivunja.

Tunafuatilia

Taikonmaster
Kwa sasa Dar es salaam
Heshima hujengwa ama kuporomoshwa na mhusika mwenyewe,ukijiheshimu utaheshimiwa,tangu kwa tabia,matendo,mwonekano,uaminifu uwajibikaji,utu,utendavyo haki,uzalendo na imani na ushawishi kwa jamii na sehemu yako ya kazi.Vinginevyo unageuka kituko kama leo hii hapa palawi ilivyogeuka na wapo walio poteza vyote hivyo!
 
Heshima hujengwa ama kuporomoshwa na mhusika mwenyewe,ukijiheshimu utaheshimiwa,tangu kwa tabia,matendo,mwonekano,uaminifu uwajibikaji,utu,utendavyo haki,uzalendo na imani na ushawishi kwa jamii na sehemu yako ya kazi.Vinginevyo unageuka kituko kama leo hii hapa palawi ilivyogeuka na wapo walio poteza vyote hivyo!

Sahihi
 
Umenikumbusha maneno mazuri kwenye wimbo unaitwa MOMBASA ulioimbwa na Kijana wa Bono Fleva MARIOO.

Analia kunyanyaswa na kutokupendwa lakini mwisho wa siku akaishia Mombasa!

Sasa na wewe maneno yako hayo mazuri ulitaka kusema nini?

Nimemaliza yote mkuu
 
nasikia umeonekana kwa mtogole🤣🤣🤣

Nilijua madolali ni
yakumwaga kumbe sivyo😲

Vipi uzuri wa huo mji uliofikia?

Tandale Nikiwa bongo natembelea nikitaka miguu ya kuku na utumbo. Na zile test za kiswazi.

Mpaka sasa nimebahatika kutembelea miji mitatu. Ni kuzuri kwa muonekano. Ila siku za Wikiendi kama jumapili kunakuwa kumepoa yaani kumwona mtu njiani ni kipengele
 
Tiririka tiriri Gentlemen. Eleza kwa kina. Unazungumzia nini
Hawezi kutiririka chochote huyo. Hawa kina Tlaatlaah au Lucas Mwashambwa au Patrobas Katambi ndio wavuka mipaka yao na kuingilia maisha, uhuru na haki za wengine kwa makusudi na kwa kutumia mabavu tu kwa kuwa wao Wana bunduki, mbwa na mabomu..

Hapa anamwongolea dereva wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Maradufu aliyeuwawa katika moja ya nyumba ya kulala wageni huko Kigoma..

Kwa akili yake huyu Tlaatlaah na wenzake anaona John Heche alimlaza dereva wake Hotel ya bei nafuu (TZS 15K/per night) ndio maana wakaenda kumuua mzee wa watu. Haya mawazo ya watu aina ya Tlaatlaah ndiyo "nonsense" yenyewe sawasawa na apendavyo kuandika mwenyewe..!

Mahali pa kulala kwa maana ya hotel au guest house au hata nje uwandani kwa mtu yeyote kama ilivyo kwa dereva huyu wa John Heche iwe yuko safarini au hata akiwa nyumbani kwake katika nchi na taifa ambalo ni tulivu na kisiwa cha amani kama Tanganyika ni personal choice, ni uamuzi wa mtu binafsi...

After all kwani hiyo Guest House aliyolala huyu ndugu ipo pale kwa ajili ya nani kama sio watu? Wewe Tlaatlaah nani kakuambia kuwa mtu akilala kwenye Guest House hiyo, basi ni halali auwawe? Wewe. Hata hujioni kabisa kuwa hapa ndo unafanya argument ambayo ni nonsense halisi..?

OK. Hebu tufikiri tena kidogo...

Na wewe Tlaatlaah nisome vizuri Kisha uelewe, uache kuendelea kuwa mjinga tu..

Huyu dereva bila shaka yeyote ilikuwa ni uamuzi wake mwenyewe kuamua kulala pale...

Laiti kama mngempa taarifa mapema kuwa usiku wa siku hiyo mlikuwa mmepanga kwenda kumuua, basi angeweza kutafuta mahali pengine pa kulala au pengine asingelala kabisa usiku huo kucha akijilinda...!

Lakini kwa kuwa nyie majahili, waovu na wauaji wa 29/10 mlishamweka kwenye rada ya kuchukua roho usiku huo, basi hata angelala kwenye hotel ya kulipia bilioni kadhaa kwa usiku mmoja, mngemuua tu...!!

Alale wapi, ilikuwa 109% ni choice yake. Kwa sababu kama ni fedha, mfukoni alikuwa na zaidi TZS 400K ambapo kama anapenda, angeweza kulala hata hotel ya gharama kubwa zaidi ya ile ya TZS 15K aliyolala..!

Kifo cha ndugu huyu hakuna shaka kuwa ni mpango na mkakati maalumu uliopangwa na wauaji walewale wa 29/10 - 4/11/2025 kwa maelfu ya dada, kaka, mama na baba zetu Ili Samia Suluhu Hassan awe Rais wa Tanganyika..

Ndugu Robert Heriel Mtibeli hii ndiyo hoja ya Tlaatlaah ambayo kwa kweli ni "nonsense" tu sawasawa na kaulimbiu yake!!
 
Hawezi kutiririka chochote huyo. Hawa kina Tlaatlaah au Lucas Mwashambwa au Patrobas Katambi ndio wavuka mipaka yao na kuingilia maisha, uhuru na haki za wengine kwa makusudi na kwa kutumia mabavu tu kwa kuwa wao Wana bunduki, mbwa na mabomu..

Hapa anamwongolea dereva wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Maradufu aliyeuwawa katika moja ya nyumba ya kulala wageni huko Kigoma..

Kwa akili yake huyu Tlaatlaah na wenzake anaona John Heche alimlaza dereva wake Hotel ya bei nafuu (TZS 15K/per night) ndio maana wakaenda kumuua mzee wa watu. Haya mawazo ya watu aina ya Tlaatlaah ndiyo "nonsense" yenyewe sawasawa na apendavyo kuandika mwenyewe Tlaatlaah..!

Mahali pa kulala kwa maana ya hotel au guest house au hata nje uwandani kwa mtu yeyote akiwa safarini kama ilivyo kwa dereva huyu wa John Heche au hata mtu akiwa nyumbani kwake katika nchi na taifa ambalo ni tulivu na kisiwa cha amani kama Tanganyika ni personal choice, ni uamuzi wa mtu binafsi...

After all kwani hiyo Guest House aliyolala huyu ndugu ipo pale kwa ajili ya nani kama sio mtu yeyote? Nani kakuambia kuwa mtu akilala kwenye Guest House hiyo, basi ni halali auwawe? Wewe Tlaatlaah huoni kabisa kuwa hapa ndo unafanya argument ambayo ni nonsense halisi..?

OK. Hebu tufikiri tena kidogo...

Na wewe Tlaatlaah nisome vizuri Kisha uelewe, uache kuendelea kuwa mjinga tu..

Huyu dereva bila shaka yeyote ilikuwa ni uamuzi wake mwenyewe kuamua kulala pale...

Tlaatlaah, laiti kama mngempa taarifa mapema kuwa usiku wa siku hiyo mlikuwa mmpanga kwenda kumuua, basi angeweza kutafuta mahali pengine pa kulala au pengine asingelala kabisa usiku huo kucha akijilinda...!

Lakini kwa kuwa nyie majahili, waovu na wauaji wa 29/10 mlishamweka kwenye rada ya kuchukua roho usiku huo, basi hata angelala kwenye hotel ya kulipia bilioni kadhaa kwa usiku mmoja, mngemuua tu...!!

Alale wapi, ilikuwa 109% ni choice yake. Kwa sababu kama ni fedha, mfukoni alikuwa na zaidi TZS 400K ambapo kama anapenda, angeweza kulala hata hotel ya gharama kubwa zaidi ya ile ya TZS 15K aliyolala..!

Kifo cha ndugu huyu hakuna shaka kuwa ni mpango na mkakati maalumu uliopangwa na wauaji walewale wa 29/10 - 4/11/2025 kwa maelfu ya dada, kaka, mama na baba zetu Ili Samia Suluhu Hassan awe Rais wa Tanganyika..

Ndugu Robert Heriel Mtibeli hii ndiyo hoja ya Tlaatlaah ambayo kwa kweli ni "nonsense" tu sawasawa na kaulimbiu yake!!
Gentleman,
nisingependa kuharibu mjadala muhimu sana kwenye hoja mahususi sana mezani, kuhusu wenye vyeo, madaraka na nafasi mbalimbali za juu kuvuka mipaka ya dhamana zao, ambazo saa zingine huzua usumbufu na kuathiri kwa jamii nzima, jambo ambalo kiukweli sio la kistaarabu, lakini pia halikubaliki babisa hasa katika jamii za kistaarabu kama Tanzania.

Kuhusu hayo mengine ya ziada,
ni kwamba, hivi kweli fedha za bure kabisa za mabwenyenye ya magharibi kwaajili ya machafuko, ndio zinafikia mahali kibaraka moja tu anazitamani kiasi cha kufikia hatua ya kudhulumu uhai wa mwingine ambae pia ni mfanyakazi wake?

huko ni kuvuka mipaka kwa kiwango kibaya sana gentleman. Inasikitisha sana na kwakweli inafedhehesha sana.

Najiuliza maswali mengi sana,
why boss ampe mfanyakazi wake mabilioni ya pesa akalale nayo gesti house, halafu yeye boss analala hotelini tena ghorofani?

kwanini hakulala nayo hotelini kwake hayo mabilioni ya pesa haramu? Alikua anamuogopa nani kama sio mipango yake haramu dhidi ya fedha haramu?

surely,
huyo boss atazifurahia kweli fedha haramu zilizogharimu uhai wa mfanyakazi wake alizozipora?

kiasi alichombakizia mwendazake kilikua ni kwajili tu ya kujaribu kupindisha ukweli.

Hata hivyo,
kuvuka mipaka ya dhamana tunazopewa na jamii, zisifikie basi mpaka hatua ya dhuluma za uhai kwa wasaidizi kwasababu tu ya tamaa binafsi za fedha au mali.🐒

R.I.P Suez Daniel Maradufu
 
Najiuliza maswali mengi sana,
why boss ampe mfanyakazi wake mabilioni ya pesa akalale nayo gesti house, halafu yeye boss analala hotelini tena ghorofani?
1. Hivi baada ya nyie Polisi kufika chumbani kuchukua mwili mlimkuta na bilioni ngapi?

2. Au tusema kabla ya kumuua, kwenye mkoba wake mlimkuta bilioni ngapi?

3. Na kwanini kumuua wakati mmekuta mtu akiwa bilioni nyingi za fedha?

4. Najiuliza tu, kwamba, hivi unaandika ukiwa na ufahamu wako wa akili timamu au kuna fuse moja au mbili kwenye bongo yako zimelegea?
kwanini hakulala nayo hotelini kwake hayo mabilioni ya pesa haramu? Alikua anamuogopa nani kama sio mipango yake haramu dhidi ya fedha haramu?
Polisi mliyachukua hayo mabilioni..?

Mbona sasa mkamuua badala ya kumkamata, na kumpeleka mahakamani..?

Huoni kuwa unaongea na kuandika a complete nonsense...?
 
Hawezi kutiririka chochote huyo. Hawa kina Tlaatlaah au Lucas Mwashambwa au Patrobas Katambi ndio wavuka mipaka yao na kuingilia maisha, uhuru na haki za wengine kwa makusudi na kwa kutumia mabavu tu kwa kuwa wao Wana bunduki, mbwa na mabomu..

Hapa anamwongolea dereva wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Maradufu aliyeuwawa katika moja ya nyumba ya kulala wageni huko Kigoma..

Kwa akili yake huyu Tlaatlaah na wenzake anaona John Heche alimlaza dereva wake Hotel ya bei nafuu (TZS 15K/per night) ndio maana wakaenda kumuua mzee wa watu. Haya mawazo ya watu aina ya Tlaatlaah ndiyo "nonsense" yenyewe sawasawa na apendavyo kuandika mwenyewe..!

Mahali pa kulala kwa maana ya hotel au guest house au hata nje uwandani kwa mtu yeyote kama ilivyo kwa dereva huyu wa John Heche iwe yuko safarini au hata akiwa nyumbani kwake katika nchi na taifa ambalo ni tulivu na kisiwa cha amani kama Tanganyika ni personal choice, ni uamuzi wa mtu binafsi...

After all kwani hiyo Guest House aliyolala huyu ndugu ipo pale kwa ajili ya nani kama sio watu? Wewe Tlaatlaah nani kakuambia kuwa mtu akilala kwenye Guest House hiyo, basi ni halali auwawe? Wewe. Hata hujioni kabisa kuwa hapa ndo unafanya argument ambayo ni nonsense halisi..?

OK. Hebu tufikiri tena kidogo...

Na wewe Tlaatlaah nisome vizuri Kisha uelewe, uache kuendelea kuwa mjinga tu..

Huyu dereva bila shaka yeyote ilikuwa ni uamuzi wake mwenyewe kuamua kulala pale...

Laiti kama mngempa taarifa mapema kuwa usiku wa siku hiyo mlikuwa mmepanga kwenda kumuua, basi angeweza kutafuta mahali pengine pa kulala au pengine asingelala kabisa usiku huo kucha akijilinda...!

Lakini kwa kuwa nyie majahili, waovu na wauaji wa 29/10 mlishamweka kwenye rada ya kuchukua roho usiku huo, basi hata angelala kwenye hotel ya kulipia bilioni kadhaa kwa usiku mmoja, mngemuua tu...!!

Alale wapi, ilikuwa 109% ni choice yake. Kwa sababu kama ni fedha, mfukoni alikuwa na zaidi TZS 400K ambapo kama anapenda, angeweza kulala hata hotel ya gharama kubwa zaidi ya ile ya TZS 15K aliyolala..!

Kifo cha ndugu huyu hakuna shaka kuwa ni mpango na mkakati maalumu uliopangwa na wauaji walewale wa 29/10 - 4/11/2025 kwa maelfu ya dada, kaka, mama na baba zetu Ili Samia Suluhu Hassan awe Rais wa Tanganyika..

Ndugu Robert Heriel Mtibeli hii ndiyo hoja ya Tlaatlaah ambayo kwa kweli ni "nonsense" tu sawasawa na kaulimbiu yake!!

Tlaatlaah
 
1. Hivi baada ya nyie Polisi kufika chumbani kuchukua mwili mlimkuta na bilioni ngapi?

2. Au tusema kabla ya kumuua, kwenye mkoba wake mlimkuta bilioni ngapi?

3. Na kwanini kumuua wakati mmekuta mtu akiwa bilioni nyingi za fedha?

4. Najiuliza tu, kwamba, hivi unaandika ukiwa na ufahamu wako wa akili timamu au kuna fuse moja au mbili kwenye bongo yako zimelegea?

Polisi mliyachukua hayo mabilioni..?

Mbona sasa mkamuua badala ya kumkamata, na kumpeleka mahakamani..?

Huoni kuwa unaongea na kuandika a complete nonsense...?
Gentleman,
ukute bilioni kivipi tena wakati mporaji mwenye tamaa ya fedha kupindukia, chehe alisha kua ameondoka nazo tayari, na kumuachia mwendazake hizo alizomwachia?

kwani ni nani aliewafahamisha polisi dhidi ya dhuluma hiyo ya uhai wa very innocent man?

uvukaji huu wa mipaka ya kiutu ni wa kiwango kibaya mno.

Boss amefanya dhuluma ambayo sina shaka italipwa humu humu duniani tukishuhudia na kuelezana humu jukwaani.

R.I.P Suez Daniel Maradufu 🐒
 
Back
Top Bottom