CCM walisambaza BAISKELI na PIKIPIKI Nchi nzima ili waje kukusanya hela kwa Wananchi hao hao

CCM walisambaza BAISKELI na PIKIPIKI Nchi nzima ili waje kukusanya hela kwa Wananchi hao hao

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,717
Reaction score
11,917
Ngoja nianze na moja ya habari kutoka Wilaya Mpwapwa.

Week mbili nyuma kama sio tatu ndugu Makalla alikuwa Wilaya ya Mpwapwa,watu walikuja kutoka pande zote za vijiji kwa kubebwa na Malori.

Walifika na kurudi bila ya kitu chochote lakini kubwa lilikuwa kwa wapiga ngoma walikuwa 22 baada ya kumaliza walilipwa elfu 20. Zilisikika sauti za watu pale Mnara wa Mashujaa “ mkome ,Wajinga sana nyinyi”

Swali ni kweli CCM watapewa hela na watu? au watawapa hela then wakalipe kwenye account ya Chama

Pili tuliona Serikali wakichukua hela kutoka serikalini na kurekebisha Viwanja vya CCM yani hela za Kodi yetu sisi raia inaenda kwenye miradi ya Chama! Alafu kodi inaenda Chamani.!!

Yani wameweza kutoa hela kununua mabasi zaidi 10+ now wanataka hela kwa masikini?

Wananchi wachangie kampeni then walipe kodi kila siku. Upumbavu kama huu Kenya 🇰🇪 hawataki.
 
IMG-20250812-WA0038.jpg
 
Hapana, hii pesa wanayo na washapewa na mafisadi wahuni aliowasema poleslow, wanajua kabisa hamna mtanzania wa kawaida anaweza kuchangia wala kuhoji so hapa wanatengeneza drama tu ya kuingiza huo mzigo kwenye system, yani kwa ufupi ni MONEY LAUNDERING YA MAMA
 
Ngoja nianze na moja ya habari kutoka Wilaya Mpwapwa.

Week mbili nyuma kama sio tatu ndugu Makalla alikuwa Wilaya ya Mpwapwa,watu walikuja kutoka pande zote za vijiji kwa kubebwa na Malori.

Walifika na kurudi bila ya kitu chochote lakini kubwa lilikuwa kwa wapiga ngoma walikuwa 22 baada ya kumaliza walilipwa elfu 20. Zilisikika sauti za watu pale Mnara wa Mashujaa “ mkome ,Wajinga sana nyinyi”

Swali ni kweli CCM watapewa hela na watu? au watawapa hela then wakalipe kwenye account ya Chama

Pili tuliona Serikali wakichukua hela kutoka serikalini na kurekebisha Viwanja vya CCM yani hela za Kodi yetu sisi raia inaenda kwenye miradi ya Chama! Alafu kodi inaenda Chamani.!!

Yani wameweza kutoa hela kununua mabasi zaidi 10+ now wanataka hela kwa masikini?

Wananchi wachangie kampeni then walipe kodi kila siku. Upumbavu kama huu Kenya 🇰🇪 hawataki.
Duh
 
Ngoja nianze na moja ya habari kutoka Wilaya Mpwapwa.

Week mbili nyuma kama sio tatu ndugu Makalla alikuwa Wilaya ya Mpwapwa,watu walikuja kutoka pande zote za vijiji kwa kubebwa na Malori.

Walifika na kurudi bila ya kitu chochote lakini kubwa lilikuwa kwa wapiga ngoma walikuwa 22 baada ya kumaliza walilipwa elfu 20. Zilisikika sauti za watu pale Mnara wa Mashujaa “ mkome ,Wajinga sana nyinyi”

Swali ni kweli CCM watapewa hela na watu? au watawapa hela then wakalipe kwenye account ya Chama

Pili tuliona Serikali wakichukua hela kutoka serikalini na kurekebisha Viwanja vya CCM yani hela za Kodi yetu sisi raia inaenda kwenye miradi ya Chama! Alafu kodi inaenda Chamani.!!

Yani wameweza kutoa hela kununua mabasi zaidi 10+ now wanataka hela kwa masikini?

Wananchi wachangie kampeni then walipe kodi kila siku. Upumbavu kama huu Kenya 🇰🇪 hawataki.
CCM wamekomba fedha zote hazina ya Taifa sasa wanataka kuhalalisha matumizi ya fedha walizokwapua kwa kuuza rasilimali za nchi!
 
Ngoja nianze na moja ya habari kutoka Wilaya Mpwapwa.

Week mbili nyuma kama sio tatu ndugu Makalla alikuwa Wilaya ya Mpwapwa,watu walikuja kutoka pande zote za vijiji kwa kubebwa na Malori.

Walifika na kurudi bila ya kitu chochote lakini kubwa lilikuwa kwa wapiga ngoma walikuwa 22 baada ya kumaliza walilipwa elfu 20. Zilisikika sauti za watu pale Mnara wa Mashujaa “ mkome ,Wajinga sana nyinyi”

Swali ni kweli CCM watapewa hela na watu? au watawapa hela then wakalipe kwenye account ya Chama

Pili tuliona Serikali wakichukua hela kutoka serikalini na kurekebisha Viwanja vya CCM yani hela za Kodi yetu sisi raia inaenda kwenye miradi ya Chama! Alafu kodi inaenda Chamani.!!

Yani wameweza kutoa hela kununua mabasi zaidi 10+ now wanataka hela kwa masikini?

Wananchi wachangie kampeni then walipe kodi kila siku. Upumbavu kama huu Kenya 🇰🇪 hawataki.
Amini usiamini, MAZOMBIE WATACHANGIA!
Kweli WADANGANYIKA MFU, MSUKULE WA CHUKUWACHAKOMAPEMA!
 
Makin
Wanasema wanakirudisha chama kwa wananchi. Ni show off tu kuonyesha kwamba wana wanachama wanaowaunga mkono kwa hali na mali.

Nadhani pia ni kuwacheka CHADEMA. Tone tone yao imedoda lakini wao kwa siku moja wanapata bilions...
Makonda alisema watu wanachangia CCM kwa hofu. Na ndio ukweli.

Ngoja nikupe historia kidogo,nilipokuwa nafanya kazi shule ya alfa gems high school PADRE MTEMBEA PEKU alifatwa na CCM kutaka wapewe hela ilikuwa kipindi cha Kikwete, nilifurahi majibu ya Padre kuwa nendeni”mkawaambie na vyama vingine waje ili niwape hela wote”

CCM walirudi kesho kwa kuwatuma idara husika waje kukagua miundombinu ya shule ili wamkomoe padre.
https://www.google.com/url?q=https:...QtwJ6BAh8EAE&usg=AOvVaw3jzjmQHv2YUCif8j97h6qO
 
Mtazamo wa mjukuu wa Nyerere na think tank ya CHADEMA (kwa sasa CHAUMMA)

Screenshot_20250812-120902.jpg
 
Hapana, hii pesa wanayo na washapewa na mafisadi wahuni aliowasema poleslow, wanajua kabisa hamna mtanzania wa kawaida anaweza kuchangia wala kuhoji so hapa wanatengeneza drama tu ya kuingiza huo mzigo kwenye system, yani kwa ufupi ni MONEY LAUNDERING YA MAMA
Tunatokaje kwenye hili?
 
Tunatokaje kwenye hili?

Mkuu tuna mtihani mkubwa sana, hamna namna zaidi ya massive turnout kama ya Ivory Coast, masisiemu hayana uoga wa upinzani wala mwenzao polepole au gwajima!

Hawaogopi kuua hata watu 100 kama walivyoua Kibiti zaidi ya watu 300! Watashtuka watu kuanzia 300-1000 na kuendelea wakitokeza kwa wakati mmoja maana watajua kuna clips zinachukuliwa then atawajibika muhusika mmoja mmoja mwenyewe mambo yakibadilika.

Kumbuka wambura aijipii hana darasa zaidi ya risasi na mitutu hata kuongea anaogopa kwa sababu anajua udhaifu wake, kafika alipo kwa kuua so akili ya binadamu ina hulka, ikijua maisha kila tatizo linatatuliwa kwa nyundo tu ujue kila mahali itatumia manguvu tu na huyu kapewa kwa sababu hiyo, anaongea mara chache sana na utaona kila anachoongea anaagiza au kushauri nguvu na mauaji ya watanzania tu ndio yatumike!!
 
Mkuu tuna mtihani mkubwa sana, hamna namna zaidi ya massive turnout kama ya Ivory Coast, masisiemu hayana uoga wa upinzani wala mwenzao polepole au gwajima!

Hawaogopi kuua hata watu 100 kama walivyoua Kibiti zaidi ya watu 300! Watashtuka ikitoke watu kuanzia 300-1000 na kuendelea wakitokeza kwa wakati mmoja mana watajua kuna clips zinachukuliwa then atawajibika muhusika mwenyewe mambo yakibadilika.

Kumbuka wambura aijipii hana darasa zaidi ya risasi na mitutu hata kuongea anaogopa kwa sababu anajua udhaifu wake, kafika alipo kwa kuua so akili ya binadamu ina hulka, ikijua maisha ni nyundo tu ujue kila mahali itatumia manguvu tu na huyu kapewa kwa sababu hiyo, anaongea mara chache sna na utaona kila anachongea anaagiza au kushauri nguvu na mauaji ya watanzania tu!!
Note!!!
 
Back
Top Bottom