CCM wafanyia mkutano kituo cha polisi

CCM wafanyia mkutano kituo cha polisi

Unapomkosoa mwenzako hakikisha kuwa nawe upo sahihi.. Sasa hapo kwenye rangi ya bluu umeandika nini? Acha ukengemaji

'na wee acha ukenge bluu b.w.e.g.e. wee...............tunasemaga,tunakulaga,tunakwendaga,tunakosoaga sio jupenda hiyo hakunaaaaaaga,now lets go'
 
Mpaka kuhoji hvi basi itakua umeshaelewa nini kimemaanishwa


'tunasemaga,tunakulaga,tunakwendaga,tunakosoaga sio jupenda hiyo hakunaaaaaaga,now lets go'
 
Ukitaka kukosoa uwe msafi!

Of all the things, that is the best you can do!!...It was an error(typing error) unless someone persist in it to be a mistake.

Nilimaanisha Kupenda nchi na Si 'jupenda' nchi! Na kiswahili sanifu ni huwa 'mnakimbilia' wapi na si "MNAKIMBILIAGA" wapi.

Now, Back to the topic!


'tunasemaga,tunakulaga,tunakwendaga,tunakosoaga sio jupenda hiyo hakunaaaaaaga,now lets go'
 
Hawa wajinga mapolisi wamepitisha bakuli wanaomba mchango mtaani kwetu kumalizia kituo cha polisi kumbe Ni Chaka la green guard, kudadeki sitoi hata senti tano
 
Hawa wajinga mapolisi wamepitisha bakuli wanaomba mchango mtaani kwetu kumalizia kituo cha polisi kumbe Ni Chaka la green guard, kudadeki sitoi hata senti tano

'hujalazimishwa kutoa coz kutoa ni MOYO ndugu...'
 
Sometimes, I CAN'T believe my eyes!
Is itTABATA POLICE STATION or TABATA CCM BRANCH?
:smile-big:
 

Attachments

  • katoon.jpg
    katoon.jpg
    10.2 KB · Views: 84
Jana alikuja Tabata Kimanga na akatoa siku tatu kizimba kilichojengwa na CHADEMA kibomolewe, kwani sehemu ilikuwa chafu sana kutokana na takataka kutupwa hapo.CHADEMA walisafisha eneo hilo na kujenga kizimba.Jion makamanda wa CHADEMA wakakipaka rangi na kusema kizimba kile hakibomolewi labda kwa amri za jiji,na pia wakasema hawezi kuja na sare za magamba na pia gari la serikali kwa shughuli za chama.
 
'na wee acha ukenge bluu b.w.e.g.e. wee...............tunasemaga,tunakulaga,tunakwendaga,tunakosoaga sio jupenda hiyo hakunaaaaaaga,now lets go'

Zero za Mulugo zimejaa sana JF. Yaani hata lugha yako mama hauijui vizuri kuizungumza? Ulikuwa unafanya nini shule miaka yote? Kwa mtindo huo mimi wala siilaumu serikali.
 
haha wangesema chadema wakwenda chukua silaha za polisi ili wapindue nchi...CCM siku zote huwezi kosa mwehu wa kulitibua.Huwa naomba Mungu sana tusipigane Vita yenye kuchukua muda na kuwa na stages tofauti ,huku propaganda zikihitaji umuhimu.Lazima atabwatuka mwana CCM mmoja kusema asemalo dunia iakutuona kama tunavyomwona Pinda na magamba wengine.
 
Anaogopa kupigwa na wananchi ndo maana anafanya mikutano polisi ...na bado
 
Zero za Mulugo zimejaa sana JF. Yaani hata lugha yako mama hauijui vizuri kuizungumza? Ulikuwa unafanya nini shule miaka yote? Kwa mtindo huo mimi wala siilaumu serikali.

'unakaa nyagwa wee kwa jupenda ndio lugha mama au lugha baba,acha kuongea usengerema kochoko wee...'
 
Haya ndio matatizo ya kuwa na mfumo wa chama dola,prof mpangala aliyasema haya.Anaesimamia serikali ni rais,at the same time ni mwenyekiti wa CCM,Unahisi kutakua na kukemea chochote hapa.Tutegemee machafu zaidi ya haya.
 
Wahudhuriaji wenyewe ukiwaangalia sura zao kama wamekata tamaa vile afu wote ni wazee...
 
'unakaa nyagwa wee kwa jupenda ndio lugha mama au lugha baba,acha kuongea usengerema kochoko wee...'

Mmeanza kuimba hadi nyimbo za Koffi Olomide.. nimeona kama "kochokocho"...
 
Kila uchao ukweli unazidi kujidhihirisha, polisi ni kitengo cha uvccm na bosi wa IGP ni mwigulu. Najua kuwa hili halipendezi sana kusemwa hadharani lakini sisi wananchi tunafahamu. Kumbuka baadhi ya mtulio ya hivi karibuni; nasari kashambuliwa na kujeruhiwa na uvccm lakini polisi wana mtuhumu yeye mhanga, Arusha kuna mtu anaitwa MJUSI ambaye ni mhalifu anaejulikana wazi lakini ccm inamtumia kutesa makamanda wa cdm na hata anapilalamikiwa jamaa zake wanapotezea. Mbona yako mengi...........udharimu utashindwa
 
Ukitazama sura nyingi zinazosikiliza hapo ni Wazee na kina mama...na hawa ndio huwa wanapiga kelele kuwa maisha magumu, mara ooh serikali imewatelekeza, mara viongozi wetu hawatujali lakini mwisho wa yote ndio hao hao unakuta wanajaza mikutano kama hii. Mbunge kapoteza matumaini maana hivi karibuni niliwahi kupita TABATA yaani kwa jinsi mashina ya ma M4C yanavyoanzishwa jamaa lazima aogope!
 
Back
Top Bottom