CCM wafanyia mkutano kituo cha polisi

CCM wafanyia mkutano kituo cha polisi

Aisee mkuu hii kitu imetua mahali nyeti. Karume aliwahi kusema "...kuna watu wana vichwa (i.e. ubongo) wa samaki..." Watakuja hapa sasa hivi kutetea hili bila kuangalia chanzo/mzizi wake.

CCM imeuza na kufisadi maeneo yote ya wazi na bado wanaendelea na mchezo huo kwa nguvu, kasi na ari mpya kila uchao. MUNGU atunusuru tu kwa kweli.
 
Huyu ndie aliyekimbia na masanduku ya kura na Polisi wakawa wanamwangalia tu. Na Leo anafanyia mkutano kituoni wanamwangalia tu, kesho hatujui atafanya nini

Upelelezi bado unaendelea..... kibaya aliiba na yangu....
 
Kwani ni kosa????


Ndiyo kosa, wewe huoni wanasababisha kazi ya polisi kuwa ngumu-kelele na mkusanyiko vinaingilia shughuli za polisi.

Isitoshe viwanja viko vingi wanaogopa nini/wanadhdmbi gani wakimbie viwanja wakaingilie ofisi za chagonja?
 
inaelekea ni uzinduzi wa kituo cha polisi kipya na kuhamasisha polisi jamii. sioni tatizo raia kujichanganya na polisi kwa lengo la kudumisha urafiki
 
Dah hata msaada aliotoa katika kituo hicho mnaudhihaki mbona hamna jema kwenu hicho kituo kafanikisha kukifanyia renovation kawawekea hadi ac na kiyoyozi madirisha ya Vioo na Seli yenye choo



Hata kama ndie kafanya hayo yote sio sababu ya kufanyia kikao hapo kwa hiyo unatuambia HSC aliyejenga shule Mabwepande wanafunzi wako darasani akafanye mkutano pale kwa sababu kajenga yeye? This is rediculas

Majibu mepesi kwa maswali magumu na ndiyo kawaida yenu
 
inaelekea ni uzinduzi wa kituo cha polisi kipya na kuhamasisha polisi jamii. sioni tatizo raia kujichanganya na polisi kwa lengo la kudumisha urafiki

Uzinduzi kwa wana CCM peke yao?
 
Makongoro hakubaliki hata kama anajenga ile njia iwe yeye ama halmashauri bado hakubaliki na pale si unaona hata wananchi hawakwenda tofauti na watu alio enda nao pale ?CCM ina kazi kubwa sana .
 
Uzinduzi kwa wana CCM peke yao?

watu ni wengi lkn waliovaa sare ya ccm ni 7 tu. vile mbunge ni wa ccm na anafanya uhamasishaji, sioni tatizo kwake kuvaa sare pamoja na wapambe wake. hujawahi ona kombati nyeusi zikivaliwa na akina mbowe misibani. kombati hadi msibani! amka dogo!
 
Kama ni kweli ni aibu ya kutosha.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
watu ni wengi lkn waliovaa sare ya ccm ni 7 tu. vile mbunge ni wa ccm na anafanya uhamasishaji, sioni tatizo kwake kuvaa sare pamoja na wapambe wake. hujawahi ona kombati nyeusi zikivaliwa na akina mbowe misibani. kombati hadi msibani! amka dogo!

hao watu wengi mbona hawaonekani hapo? Au ndio unataka kulazimisha kuwa huo mkutano haukuwa wa chama?
 
Bado kitambo kidogo watakuwa wanafanyia kwenye kambi za jeshi....
 
Huyu ndie aliyekimbia na masanduku ya kura na Polisi wakawa wanamwangalia tu. Na Leo anafanyia mkutano kituoni wanamwangalia tu, kesho hatujui atafanya nini

Hajafanya kitu kwenye jimbo lake so anaogopa kuzomewa huyo.
 
Ukiangalia kwa makini picha yaonesha bwana mahanga hakuwa na uhakika wa usalama kwenye mkutano wake hasa ikikumbukwa alikamatwa na masanduku ya kura alizochakachua, mtu wa namna hiyo anajua asivyo na wa kuwahutubia hivyo kuhofia anaweza kuadhibiwa kwa wizi muda wowote hali inayopelekea kuufuata ulinzi mlangoni!
 
Back
Top Bottom