Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Ni kwaida ya CCM kufanya vurugu hata kwenye nyumba za ibada. Kumbukeni kikundi cha NCHIMBI kilivyovamia kanisani wakati wa uchaguzi mkuu wa 2005, na huyo Nchimbi alivyodiriki kugombana na Askofu Mkuu wake.
CCM ina polisi wake. Ikibidi wanapiga watu risasi kama walivyofanya Pemba na Mwembe Chai. Na polisi wamekuzwa wakielewa kama kuna kutoelewana kati ya CCM na watu wengine, basi hao wengine wamevunja sheria.
CCM imelewa madaraka. Itahodhi madaraka, hata kwa nguvu. Wananchi tufanyeje?
CCM ina polisi wake. Ikibidi wanapiga watu risasi kama walivyofanya Pemba na Mwembe Chai. Na polisi wamekuzwa wakielewa kama kuna kutoelewana kati ya CCM na watu wengine, basi hao wengine wamevunja sheria.
CCM imelewa madaraka. Itahodhi madaraka, hata kwa nguvu. Wananchi tufanyeje?
Last edited: