CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

Watu wanawasanifu tu, ile idadi ndogo ilikuwa inaonekana hata kwa macho. Niliwahi kukuambia mwanamke akizeeka anapoteza mvuto, na ukimuona na vijana ujue wanamlia hela.

Ccm imeshazeeka mvuto haina tena, na hakuna uwezo wa kumuhujumu anayependwa ili ww upendwe. Mnaweza kupika sana idadi ya wapiga kura, lakini ukweli uko wazi. Watu wameshaamka mtawapata mafala. Huyu Magu alipaswa kuongoza baada ya Nyerere maana watu bado walikuwa wamelala. Sio sasa mpaka mtoto mdogo anajua kutumia internet na kujua mambo kibao. Kama hupendwi, basi hupendwi tu hata ukileta maendeleo kwa pesa za mkopo mvuto hupati.
Inasikitisha ushauri wa kujitoa mlipewa mapema sana lakini mlipuuza sasa chama kimewafia na wabunge wamegoma kumchangia mbowe hela za uchaguzi badala ya kumpa mgombe yeye anatumia kwa faida yake,ccm ni chama kubwa linalo kwenda kulingana na wakati ulipo ndio maana imewaletea jpm aka jiwe anawalaza macho na kususia uchaguzi kifupi hamna hoja baada ya kuona kuelekea 2020 hamtakua na cha kuahidi!
 
Hata mugabe alikuwa anaota hivyo hivyo kama unavyoota lkn leo kamtazame imebakia miwani tu ndiyo mikubwa kuliko sura
Inasikitisha ushauri wa kujitoa mlipewa mapema sana lakini mlipuuza sasa chama kimewafia na wabunge wamegoma kumchangia mbowe hela za uchaguzi badala ya kumpa mgombe yeye anatumia kwa faida yake,ccm ni chama kubwa linalo kwenda kulingana na wakati ulipo ndio maana imewaletea jpm aka jiwe anawalaza macho na kususia uchaguzi kifupi hamna hoja baada ya kuona kuelekea 2020 hamtakua na cha kuahidi!
 
Hata mugabe alikuwa anaota hivyo hivyo kama unavyoota lkn leo kamtazame imebakia miwani tu ndiyo mikubwa kuliko sura
Ushauri mzuri na waroho wa ikulu nao unawashauri nini maana miaka nenda wanaitamani!
 
Ukizira wenzio wanakula, muda utaotaka kula sababu ya njaa wenzako wameshamaliza msosi.
Hongereni chadema kwa uamuzi wa 'kizalendo'.
Kama alivyowahi kusema JK ukipenda kula lazima na wewe utaliwa tuu...
 
Fumbiemi wajinga.CHADEMA kwa sasa hela hawana Hawana jeuri ya kushiriki uchaguzi wowote.
 
Sasa wamekumbana na akili za wajanja wasiyopenda kutumiwa kama mihuri
Na hiki je!
tapatalk_1537583564761.jpeg
 
Inasikitisha ushauri wa kujitoa mlipewa mapema sana lakini mlipuuza sasa chama kimewafia na wabunge wamegoma kumchangia mbowe hela za uchaguzi badala ya kumpa mgombe yeye anatumia kwa faida yake,ccm ni chama kubwa linalo kwenda kulingana na wakati ulipo ndio maana imewaletea jpm aka jiwe anawalaza macho na kususia uchaguzi kifupi hamna hoja baada ya kuona kuelekea 2020 hamtakua na cha kuahidi!

Mkuu narudia tena, ccm sio chama tena cha siasa bali kikundi cha tiss, jeshi na watu wasiojulikana. Watu kama nyie ni robot zilizobaki kuhubiri propaganda zilizotengenezwa na tiss. Kweli kutakosekana cha kuahidi kwenye nchi masikini kama yetu? Nchi tajiri kama US watu wanavya kuahidi itakuwa hii nchi yetu inayoendesha miradi kwa pesa za mikopo huku deni la taifa likikua kwa kasi?

Kweli ccm ni chama kubwa lakini sio chama kubwa cha kisiasa bali kijeshi. Na kudhibitisha wananchi hawavutiwi na ccm ndio umeona hiyo idadi ndogo ya wapiga kura. Na kwa mwenendo huu wa uporaji wa kura na kutangaza wasiokubalika utaona tutakavyoishusha idadi ya wapiga kura.
 
Kususia uchaguzi hakujawahi hata siku moja kuwa na faida kwa chama kinachosusa, vyama vyote vinavyosusia chaguzi huwa vinaishia kusambaratika. Lengo la chama chochote kile cha siasa ni kushika madaraka, sasa chama kikianza kususia uchaguzi hakiwezi kuyapata hayo madaraka.

Kwa staili hii CHADEMA mnajichimbia "kaburi" lenu wenyewe, na ikifika 2020 Watanzania watakuwa wamewasahau kabisa. Mbowe na chama chako mnapaswa kufahamu msemo huu; "quitters don't win and winners never quit"
Wee unadhani ni kwa nn watawala walikubali kuingia mfumo wa vyama vingi? kilichofanya walione hilo ndicho kitawafanya kuwabebeleza cdm, tulia, hiv we unadhani ni kitu rahis kumkaribisha mwenzio kwenye kampuni/biashara yako kuwa njoo tugawane mapato!!?
 
Hiyo ni ngumu sana maana unajua mtagawana faida
Wee unadhani ni kwa nn watawala walikubali kuingia mfumo wa vyama vingi? kilichofanya walione hilo ndicho kitawafanya kuwabebeleza cdm, tulia, hiv we unadhani ni kitu rahis kumkaribisha mwenzio kwenye kampuni/biashara yako kuwa njoo tugawane mapato!!?
 
Back
Top Bottom