Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,242
- 13,533
Naunga mkono hoja.Hili la mv nyerere nalo litapita.Tutarudi kueñdelea na chaguzi zetu za marudio.Hata wewe muda mwingine unaona daladala imejaa lakini upo tayari kichwa chako kiwe ndani kiuno kiwe nje hata ukiambiwa gari imejaa bado unang'ng'ania tu pesa za uchaguzi nazo zingenunua daladala ngapi,tahadhari ya maisha yako muda mwingine unatakiwa kuwa nayo mwenyewe!