CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

Kususia uchaguzi hakujawahi hata siku moja kuwa na faida kwa chama kinachosusa, vyama vyote vinavyosusia chaguzi huwa vinaishia kusambaratika. Lengo la chama chochote kile cha siasa ni kushika madaraka, sasa chama kikianza kususia uchaguzi hakiwezi kuyapata hayo madaraka.

Kwa staili hii CHADEMA mnajichimbia "kaburi" lenu wenyewe, na ikifika 2020 Watanzania watakuwa wamewasahau kabisa. Mbowe na chama chako mnapaswa kufahamu msemo huu; "quitters don't win and winners never quit"
Hakuna haja kushiriki uchaguzi ambao unaacha baadhi ya familia na vilio. Misiba watu kufa kutekwa, bora uchaguzi usiwepo watu wakae kwa amani. Tambua pia chama no falsafa. Na falsafa haipotei. Mnaweza kuifuta chadema Leo kwenye makaratasi yenu yote mkachoma na Moto mataili lakini falsafa itabakia mioyoni mwa watu. Huwa haibadiliki.
 
Kwani cuf na vyama vingine navyo vimejitoa?
Soon vitajitoa,hapo awali Cuf pia iliwahi kupitia tabu kama hizi innazopata chadema,hivyo hapa wanaweza kuongea lugha moja,Act hawana athari kubwa kwa ccm kwa sasa,na kina cheyo hawawezi kuonyesha upinzani wowote wakati nao ni ccmtumbo,kwa vyovyote ccm itabaki peke yake kwenye chaguzi ila nje ya chaguzi imezungukwa na maadui kila kona,na mbaya zaidi wengi wa maadui wapo ndani ya chama period.
 
Soon vitajitoa,hapo awali Cuf pia iliwahi kupitia tabu kama hizi innazopata chadema,hivyo hapa wanaweza kuongea lugha moja,Act hawana athari kubwa kwa ccm kwa sasa,na kina cheyo hawawezi kuonyesha upinzani wowote wakati nao ni ccmtumbo,kwa vyovyote ccm itabaki peke yake kwenye chaguzi ila nje ya chaguzi imezungukwa na maadui kila kona,na mbaya zaidi wengi wa maadui wapo ndani ya chama period.
Haswaa na hapo ndipo watajua kuwa uamuzi wa cdm una maana kubwa kwao
 
Hakuna haja kushiriki uchaguzi ambao unaacha baadhi ya familia na vilio. Misiba watu kufa kutekwa, bora uchaguzi usiwepo watu wakae kwa amani. Tambua pia chama no falsafa. Na falsafa haipotei. Mnaweza kuifuta chadema Leo kwenye makaratasi yenu yote mkachoma na Moto mataili lakini falsafa itabakia mioyoni mwa watu. Huwa haibadiliki.
Huo ndiyo ukweli wasijidanganye kuwa kuifuta cdm ndiyo watakuwa wamemaliza upinzani
 
Unajua hili litavunja nguvu chama tawala kwa kiasi kikubwa kupiga ngoma na kucheza kwa pamojaa dahhhh...

Ipo haja ya cdm kukaa kimyaa tuuone mwishooo utakuaje naanza kuona strategy ikipoteza mvuto kwa kasi
 
Ukisikia kupata tabu sana ndo huku sasa
WANAPATA TAABUUU SANAAAAA!!!!!
FB_IMG_1537633107229.jpeg
FB_IMG_1537633100807.jpeg
 
Mkuu very soon utawaona ccm wananyooka na kutoa matamko ya ajabu ajabu hasa ya kumkosoa mh Mbowe
Unajua hili litavunja nguvu chama tawala kwa kiasi kikubwa kupiga ngoma na kucheza kwa pamojaa dahhhh...

Ipo haja ya cdm kukaa kimyaa tuuone mwishooo utakuaje naanza kuona strategy ikipoteza mvuto kwa kasi
 
Naona manyani kwa manyani yanagawana mikate yetu wakati huohuo sokwe ndiye msuluhishi wa kesi ya mkulima na ngedere
 
Back
Top Bottom