CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

Vizuri ila mpaka leo toka aondoke Slaa cjadema haijawahi kufanya maamuzi sahihi. Kila walichofanya kime backfire.
Hiyo ndiyo furaha yenu sasa unalaumu kitu gani badala ya kusherehekea?
FB_IMG_1537633107229.jpeg
FB_IMG_1537633100807.jpeg
 
Aibu ya nini wakati mtu kapita bila ya kupingwa?
Halafu si mmesusa,mbona mnafuatilia kwa pembeni?
Kumbe kuwaletea habari wana jf ni kosa?MMEANZA KUPATA TAABU SANA
 
Kumbe kuwaletea habari wana jf ni kosa?MMEANZA KUPATA TAABU SANA
hakuna tabu kamanda,naona unapaparika tu kama bata anataka kutaga
Chadema haijawahi kufaidika na kususa
Wanapima upepo tu na chama hakina pesa,tutasikia tumetafakari kwa kina tumeona hakuna mantiki ya kuwanyima fursa watanzania.Hata mwaka jana mlisusa mkarudi tena
 
Cdm ni chama chenye watu wenye akili siyo kama nyinyi mbumbu fc hivyo kila jambo linalo amliwa linakuwa na msingi wake
hakuna tabu kamanda,naona unapaparika tu kama bata anataka kutaga
Chadema haijawahi kufaidika na kususa
Wanapima upepo tu na chama hakina pesa,tutasikia tumetafakari kwa kina tumeona hakuna mantiki ya kuwanyima fursa watanzania.Hata mwaka jana mlisusa mkarudi tena
 
Cdm ni chama chenye watu wenye akili siyo kama nyinyi mbumbu fc hivyo kila jambo linalo amliwa linakuwa na msingi wake
kweli mnaakili,kuongozwa div 0 anawapindua pindua kama chapati za Paratha
 
Mmhhhh, sio kwa povu hili. Acha hasira kaka sio hela za magu. Watu wamewapuuza na kuwadharau ndio maana idadi ya wapiga kura imepungua mpaka aibu.
Sasa wamewapuuza chadema au ccm maana kura zilizowapa ushindi ndio zilizopigwa na wana ccm chadema waliopuuza zao zimekuwa chache poleni tafakarini mliokota mizoga 2015 sasa inawanukia!
 
Tumewaambia pia wafute vyama vingi ibaki yenyewe wafurahi.


Watu walilia Kwa furaha Mugabe alipoondolewa.TAFAKARINI CCM
 
Akili ya kichaa utaijua tu
Sasa wamewapuuza chadema au ccm maana kura zilizowapa ushindi ndio zilizopigwa na wana ccm chadema waliopuuza zao zimekuwa chache poleni tafakarini mliokota mizoga 2015 sasa inawanukia!
 
Sasa hivi mugabe anaishi utadhani mkimbizi ndani ya nchi yake yaani heshima ya kuiongoza nchi kwa miaka zaidi ya 30 haipo kisa ubabe
Tumewaambia pia wafute vyama vingi ibaki yenyewe wafurahi.


Watu walilia Kwa furaha Mugabe alipoondolewa.TAFAKARINI CCM
 
Hata watanzania wataifikia hatua hii.Mungu huwa ni mkubwa.Wamelaaniwa CCM wote
 
Sasa wamewapuuza chadema au ccm maana kura zilizowapa ushindi ndio zilizopigwa na wana ccm chadema waliopuuza zao zimekuwa chache poleni tafakarini mliokota mizoga 2015 sasa inawanukia!

Watu wanawasanifu tu, ile idadi ndogo ilikuwa inaonekana hata kwa macho. Niliwahi kukuambia mwanamke akizeeka anapoteza mvuto, na ukimuona na vijana ujue wanamlia hela.

Ccm imeshazeeka mvuto haina tena, na hakuna uwezo wa kumuhujumu anayependwa ili ww upendwe. Mnaweza kupika sana idadi ya wapiga kura, lakini ukweli uko wazi. Watu wameshaamka mtawapata mafala. Huyu Magu alipaswa kuongoza baada ya Nyerere maana watu bado walikuwa wamelala. Sio sasa mpaka mtoto mdogo anajua kutumia internet na kujua mambo kibao. Kama hupendwi, basi hupendwi tu hata ukileta maendeleo kwa pesa za mkopo mvuto hupati.
 
Back
Top Bottom