Emmamkolomi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 628
- 209
Mtu asiyeweza kutofautisha kati ya rangi nyeusi na nyeupe ni hatari sana katika jamii
Sasa mwenye nyumba kushindana sauti na mpangaji utakuwa udhaifu mkubwa sana huu!!!!
U
Mwenye nyumba ni kuboresha mazingira tu ili wapangaji wakose la kusema!!!
Huyu naye sijui alizaliwa kwenye matope?
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?
My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.
Ni upuuzi kuendelea kujadili hii kitu, kama ni pesa za umma zinatofauti gani na zinazolipwa Aggreco na Songas? Au IPTL ilikuwa inatoa umeme bure? Kama hawajalipwa umesikia wanaidai Tanesco au serikali? Hao wanasiasa uchwala watawapelekesha sana.
Mlitaka kutumia umeme bure? Kama hujaelewa ufafanuzi wa Rais basi wewe una mtindio wa ubongo.
Kila kitu kiko wazi!
Mkuu sasa kama hazikuwa za umma,povu lote hili linalokutoka nila nini?si ungepita kimya kimya hapaNi upuuzi kuendelea kujadili hii kitu, kama ni pesa za umma zinatofauti gani na zinazolipwa Aggreco na Songas? Au IPTL ilikuwa inatoa umeme bure? Kama hawajalipwa umesikia wanaidai Tanesco au serikali? Hao wanasiasa uchwala watawapelekesha sana.
wewe umejiangalia vizuri?Mbona naona kama umetapakaa matope mpaka kwenye medura.Huyu naye sijui alizaliwa kwenye matope?
Mkuu sasa kama hazikuwa za umma,povu lote hili linalokutoka nila nini?si ungepita kimya kimya hapa
tumekupuza wewe na wezi wenzio nyauuu
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?
My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.
hata tukiacha na kuendelea na mambo mengine while mchwa ukiendelea kutafuna kile tulichokipata si tutakuwa tunapoteza muda na nguvu zetu bure?Kama sitaki kuamini kama mmekuwa wanyama kwa kiwango hicho?Acheni kelele tumechoka na tufanye mambo mengine sasa.
Vipi na wewe ulipata mgao?au wewe ni mshika pembe tu.Wimbo huu tumeuchoka tafuteni mwingine.
hata tukiacha na kuendelea na mambo mengine while mchwa ukiendelea kutafuna kile tulichokipata si tutakuwa tunapoteza muda na nguvu zetu bure?Kama sitaki kuamini kama mmekuwa wanyama kwa kiwango hicho?