CCM tuungane kupinga upuuzi wa UKAWA

CCM tuungane kupinga upuuzi wa UKAWA

Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?

My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.

kama hujasoma na hauna elimu ya kutosha au upombali na serikali ndio utaandika huu uharo wako lakini kwa wanaoelewa tunajua
 
Tafasiri no fupi tu ukiona mtu anatoa matusi kwenye hadhara ujue anamtindio wa ubongo au alipata malezi duni kwa wazazi wake. Kwahiyo we we mwenye mtio pia unakaribishwa uchangie.....

Nakuunga mkono kwa asilimia zooooooteeeeeeee...!! Kama kina Lusinde na Maswi vile...hawaoni shida kutoa matusi mbele ya kadamnasi...

Tafakari...
 
Omba sana Mungu akupe akili kwanza kabla ya kitu chochote. Jamaa hata haoni aibu kwa kuweka uzi huu. Yaani unahamasisha watu kuungana na wezi?!
Pona kwanza unachougua kisha uje tena uone upuuzi ulioandika kwa kuanzisha uzi huu.
Ova
 
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?

My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.

Kama kweli una akili timamu ni vema ukajiuliza maswali yafuatayo:-
1. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini zikafunguliwa akaunti BOT?
2. Kama fedha zilikuwa sio za umma kwa nini AG Werema Kajiuzuru?
3. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Tibaijuka kafukuzwa kazi ya uwaziri?
4. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Maswi kasimamishwa kazi kupisha uchunguzi?
5. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Muhongo kawekwa kiporo?
6. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini wafadhiri wamegoma kutoa misaada hadi hatua zichukuliwe kwa wote waliohusika?
7. Pinda hapo awali alitamka hivyo kuwa fedha sio za Umma je ilikuwaje yeye Pinda akakubali kutekeleza maazimio ya Bunge kwa 100% huku akijua fedha hizo sio za Umma?
8. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Kikwete amewapongeza wabunge wote waliosimama kidete kulipigania suala hili ikiwemo na PAC na kuwaponda wote waliotetea suala hili?
9. Na je kwa nini wakati Kikwete anatamka kuwa fedha hizo ni za IPTL na sio za Umma wazee wote aliowakusanya pale ukumbini hawakumshangiliya?
 
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?

My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.
zi pesa ya uma ndo nini? majizi yanashindwa hata kujitetea lione!
 
Kama kweli una akili timamu ni vema ukajiuliza maswali yafuatayo:-
1. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini zikafunguliwa akaunti BOT?
2. Kama fedha zilikuwa sio za umma kwa nini AG Werema Kajiuzuru?
3. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Tibaijuka kafukuzwa kazi ya uwaziri?
4. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Maswi kasimamishwa kazi kupisha uchunguzi?
5. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Muhongo kawekwa kiporo?
6. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini wafadhiri wamegoma kutoa misaada hadi hatua zichukuliwe kwa wote waliohusika?
7. Pinda hapo awali alitamka hivyo kuwa fedha sio za Umma je ilikuwaje yeye Pinda akakubali kutekeleza maazimio ya Bunge kwa 100% huku akijua fedha hizo sio za Umma?
8. Kama fedha zilikuwa sio za Umma kwa nini Kikwete amewapongeza wabunge wote waliosimama kidete kulipigania suala hili ikiwemo na PAC na kuwaponda wote waliotetea suala hili?
9. Na je kwa nini wakati Kikwete anatamka kuwa fedha hizo ni za IPTL na sio za Umma wazee wote aliowakusanya pale ukumbini hawakumshangiliya?
Kweli nisikufiche, uwezo wako wa kijenga hoja ni mdogo sana sana, na Bahati mbaya hata hujijui, hizi pointi haziwezi kufanya pesa iwe ya umma, tusimuonee muwekezaji Haki yake apewe tuwaumu walotuingiza kwenye mkataba hata tukawa overcharged
 
uvccm wote mnaakili kama za nape za div0 maana mnataka kushadadia vitu visivyo shadadiwa
 
Kweli nisikufiche, uwezo wako wa kijenga hoja ni mdogo sana sana, na Bahati mbaya hata hujijui, hizi pointi haziwezi kufanya pesa iwe ya umma, tusimuonee muwekezaji Haki yake apewe tuwaumu walotuingiza kwenye mkataba hata tukawa overcharged

Kwendaaaaa....Tokaaaaaa........fisadi wewe...mwizi....jambazi.......magamba wewe
 
uvccm wote mnaakili kama za nape za div0 maana mnataka kushadadia vitu visivyo shadadiwa

Hahaha hahaha hahaha hahaha katika watu ninao wadharau Tanzania ni kilaza nape...yaani nape ni zerokabisa...sijawaho kuona mtu mwmwenye uwezo mdogo wa kufikiri kama nape
 
Acheni kelele tumechoka na tufanye mambo mengine sasa.

Mambo yapi hayo wakati wahisani wamegoma kutoa hisani wanazitoa kila mwaka kwasababu wamegundua Ikulu inahusika na ukwapuaji huu wa pesa za umma?
 
Kwahiyo wewe unaamini hizo pesa hazikuwa za kuilipa IPTL?

Ni pesa za kuilipa iptl ila ndani yake kuna ongezeko kubwa lililotokana na ukokotozi mbovu na kulikua na mgogoro ambao ulipaswa kuisha na kila upande upatiwe stahiki zake.
Sasa nyie wezi mliifanya account ya escrow kama account ya bibi yenu mmekula mpaka kodi inayotoka mifukoni kwa walalahoi.
 
Huyu mleta uzi ni mtoto wa muhongo au maswi
 
m2015 uko sahihi kabisa . tunachotakiwa kufanya ni kuanzia humuhumu mitandaoni, pale unaposoma uongo wa mtu unaujibu kwa hoja hivyo kumpa nafasi msomaji kuelewa ukweli. tukiwaachia uongo wao unageuka ukweli na tunapokuja kueleza ukweli tunakuwa tumechelewa. tuige wajaluo pale wanaposema ng'adu-o-ng'adu au mtu kwa mtu. Hili linawahusu hasahasa vijana wetu ambao wana simu zile za smartphone wanaweza kujibu chochote na popote. shime wana ccm kazi na ianze sasa hakuna kulala
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?

My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.
 
Ungana nao ww kukujitakasa ila mmechelewa kenge ba kenge mawazo yao sawa tu
 
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?

My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.

Rais ndio kawadanganya kabisa

upuuzi mwingine wakati ndugu zako wanakufa kwa kukosa dawa wakati wengine wanagawana mabilioni kwa ajili ya harusi

I bet you are a desperate poor dude unayeishi kwa fitna na kulamba makalio rich fellas
 
Singasinga.jpg

Ni kweli tunahitaji kuunganisha nguvu kumtetea huyu shujaa wetu na kama alivyofanya Mwenyekiti wetu, hivyo hivyo sisi wengine tunatakiwa tumuunge mkono, pamoja tunaweza...Kidumu Chama cha Mapinduzi! UKAWA ziiii! Kumbukeni; birds of a feather flock together.
 
Rais ndio kawadanganya kabisa

upuuzi mwingine wakati ndugu zako wanakufa kwa kukosa dawa wakati wengine wanagawana mabilioni kwa ajili ya harusi

I bet you are a desperate poor dude unayeishi kwa fitna na kulamba makalio rich fellas

JANJAWEED MAMBO NIAJE MKUU...JAMANI TUSHIKAMANE TUUNG'OE UTAWALA DHALIMU WA MAGAMBA. .amen!!!
 
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?

My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.

Insane....!
 
Kumbe CCM ni vipande vipande. Mbona mnawasemaga Ukawa. Duh, ndo maana Wabunge wengi wa CCM wanataka kuhamia Ukawa? Anyway waje lakini wasiwe Kaka shib.
 
Back
Top Bottom