Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Mfisadi nchi nyie alafu useme ni utoto ndio unazidisha hasira weweNi Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?
My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.