CCM tukikubaliana na haya, 2025 tumekwisha na tusahau kabisa kutawala tena

Mnajua ndugu zangu wanaccm na msiokua wanaccm kuna mambo tusipoyasema ipo siku uhalisia utatuumbua, sioni haja ya kuficha nikiwa kama mtumishi mwema wa chama na raia mzalendowa taifa langu.

Haya mambo tukiyaruhusu 2025 basi ndio mwisho wetu na tusahau tena dola.

1. Serikali ikiruhusu kuundwa kwa katiba mpya tutapoteana

Tunaelewa kabisa ya kwamba Rais amepewa mamlaka makubwa na katiba hii 1977 kuteua wakuu wote wa vyombo vya dola, amepewa mamlaka kikatiba kuteua wakuu wote wa tume ya taifa ya uchaguzi na Wakurugenzi ambao ndio wasimamizi wa chaguzi za majimbo. Mnataka tupate katiba mpya impokonye mamlaka haya tutajua wageni wa nani? Mnataka katiba isiwatambud RCs na DCs kina nani watalinda chama kule mikoani na wilayani?

2. Mama asigombee Urais 2025
Nilisema hili kwa moyo wa dhati kabisa, msiponisikia muda utazungumza. Najaribu kutazama mbele yetu chini ya Mama ni ngumu kidogo pamoja na mabadiliko mengi mazuri na makubwa anayoyafanya. Binafsi nitashauri humu na kwenye vikao vya chama mama aishie 2025.

Kwa Tanzania yetu hii babo tumejawa mfumo dume sana, watu bado hawana imani kiasi flani kwa viongozi Wanamama kupewa mamlaka za juu, pamoja na uchapakazi mzuri wa mama yetu lakini kila nikijaribu kupita mahali mitaani aprecciation ya Mama bado si ya kuridhisha. Mama ushawishi wake wa kisiasa siyo sawa na watangulizi wake.

Ikiwa wenzetu watatuletea mtu aggressive mithili ya JPM au hata afanane naye kidogo basi 2025 tumekwisha. Kama hamtaki kuamini hili hata kwa katiba iliyopo tutakwenda na maji, yatatokea ya Malawi na Zambia.

Minong'ono ni mingi sana ya kupanda kwa gharama za maisha pamoja na kuwekewa Tozo kwenye Miamala ya simu na kodi za majengo ambazo kimsingi ni haki ya mmiliki na siyo mpangaji. Haya yote wananchi hawayaafiki ni kama wanalazimishwa bila kupenda na Chama tupo kimya, tunapita mitaani na tunayaona na kuyasikia.

#Mwananchi wenu mzalendo tokea Ushetu
#Kazi iendelee!
Umeeleweka. Ila "by the natural social forces" hata muyakatae haya hamuwezi kutawala milele. "Suppression has always a deadly end".
 
Mnajua ndugu zangu wanaccm na msiokua wanaccm kuna mambo tusipoyasema ipo siku uhalisia utatuumbua, sioni haja ya kuficha nikiwa kama mtumishi mwema wa chama na raia mzalendowa taifa langu.

Haya mambo tukiyaruhusu 2025 basi ndio mwisho wetu na tusahau tena dola.

1. Serikali ikiruhusu kuundwa kwa katiba mpya tutapoteana

Tunaelewa kabisa ya kwamba Rais amepewa mamlaka makubwa na katiba hii 1977 kuteua wakuu wote wa vyombo vya dola, amepewa mamlaka kikatiba kuteua wakuu wote wa tume ya taifa ya uchaguzi na Wakurugenzi ambao ndio wasimamizi wa chaguzi za majimbo. Mnataka tupate katiba mpya impokonye mamlaka haya tutajua wageni wa nani? Mnataka katiba isiwatambud RCs na DCs kina nani watalinda chama kule mikoani na wilayani?

2. Mama asigombee Urais 2025
Nilisema hili kwa moyo wa dhati kabisa, msiponisikia muda utazungumza. Najaribu kutazama mbele yetu chini ya Mama ni ngumu kidogo pamoja na mabadiliko mengi mazuri na makubwa anayoyafanya. Binafsi nitashauri humu na kwenye vikao vya chama mama aishie 2025.

Kwa Tanzania yetu hii babo tumejawa mfumo dume sana, watu bado hawana imani kiasi flani kwa viongozi Wanamama kupewa mamlaka za juu, pamoja na uchapakazi mzuri wa mama yetu lakini kila nikijaribu kupita mahali mitaani aprecciation ya Mama bado si ya kuridhisha. Mama ushawishi wake wa kisiasa siyo sawa na watangulizi wake.

Ikiwa wenzetu watatuletea mtu aggressive mithili ya JPM au hata afanane naye kidogo basi 2025 tumekwisha. Kama hamtaki kuamini hili hata kwa katiba iliyopo tutakwenda na maji, yatatokea ya Malawi na Zambia.

Minong'ono ni mingi sana ya kupanda kwa gharama za maisha pamoja na kuwekewa Tozo kwenye Miamala ya simu na kodi za majengo ambazo kimsingi ni haki ya mmiliki na siyo mpangaji. Haya yote wananchi hawayaafiki ni kama wanalazimishwa bila kupenda na Chama tupo kimya, tunapita mitaani na tunayaona na kuyasikia.

#Mwananchi wenu mzalendo tokea Ushetu
#Kazi iendelee!
Ccm wakisikia katiba mpya wanachanganyikiwa wanajua ndo mwisho wao
 
Naona kwa sasa tutapaa kiuchumi. Hapo bado tunatumia za Tozo. Bado za Bandali, Madini N.K
 
Mnajua ndugu zangu wanaccm na msiokua wanaccm kuna mambo tusipoyasema ipo siku uhalisia utatuumbua, sioni haja ya kuficha nikiwa kama mtumishi mwema wa chama na raia mzalendowa taifa langu.

Haya mambo tukiyaruhusu 2025 basi ndio mwisho wetu na tusahau tena dola.

1. Serikali ikiruhusu kuundwa kwa katiba mpya tutapoteana
Tunaelewa kabisa ya kwamba Rais amepewa mamlaka makubwa na katiba hii 1977 kuteua wakuu wote wa vyombo vya dola, amepewa mamlaka kikatiba kuteua wakuu wote wa tume ya taifa ya uchaguzi na Wakurugenzi ambao ndio wasimamizi wa chaguzi za majimbo. Mnataka tupate katiba mpya impokonye mamlaka haya tutajua wageni wa nani? Mnataka katiba isiwatambud RCs na DCs kina nani watalinda chama kule mikoani na wilayani?

2. Mama asigombee Urais 2025
Nilisema hili kwa moyo wa dhati kabisa, msiponisikia muda utazungumza. Najaribu kutazama mbele yetu chini ya Mama ni ngumu kidogo pamoja na mabadiliko mengi mazuri na makubwa anayoyafanya. Binafsi nitashauri humu na kwenye vikao vya chama mama aishie 2025.

Kwa Tanzania yetu hii babo tumejawa mfumo dume sana, watu bado hawana imani kiasi flani kwa viongozi Wanamama kupewa mamlaka za juu, pamoja na uchapakazi mzuri wa mama yetu lakini kila nikijaribu kupita mahali mitaani aprecciation ya Mama bado si ya kuridhisha. Mama ushawishi wake wa kisiasa siyo sawa na watangulizi wake.

Ikiwa wenzetu watatuletea mtu aggressive mithili ya JPM au hata afanane naye kidogo basi 2025 tumekwisha. Kama hamtaki kuamini hili hata kwa katiba iliyopo tutakwenda na maji, yatatokea ya Malawi na Zambia.

Minong'ono ni mingi sana ya kupanda kwa gharama za maisha pamoja na kuwekewa Tozo kwenye Miamala ya simu na kodi za majengo ambazo kimsingi ni haki ya mmiliki na siyo mpangaji. Haya yote wananchi hawayaafiki ni kama wanalazimishwa bila kupenda na Chama tupo kimya, tunapita mitaani na tunayaona na kuyasikia.

#Mwananchi wenu mzalendo tokea Ushetu
#Kazi iendelee!
Moja kati ya consequences za kupora uchaguzi ndiyo msingi wa watu kudai katiba mpya.

Hili ndilo suruhisho pekeee la kuwaadhibu.

Katika nchi ya kidemokrasia huwezi puuza kura za watu miaka mingi ukaishi.

Leo tume la uchaguzi haliaminiki tena kwani miongozo yote inapindishwa kufuata matakwa ya watawala.

Dhambi hii ndiyo mzizi wa dai la katiba. Tunakoelekea kama tabia hii itashamiri pengine itawatia akili.

Ni ukweli usiopingika sasa watanzania wanataka kura yao iheshimiwe.

Pasiwe na mtu aliye juu ya kura zao!
Ili ukiwapuuza na wao wakupuuze!

Na mimi binafsi ninaungana na mawazo yao.

Katiba mpya itakuwa ni heshima ya kura za watanzania.
Katiba mpya itakuwa ni serikali sikivu kwa watanzania.
Katiba mpya itakuwa ni njia ya kurudisha nidhamu ya viongozi wa kisiasa kwa wananchi, kama Magufuli alivyojinadi kurudisha nidhamu ya watumishi wa umma.

Viongozi wengi wa kuteuliwa na rais hawana nidhamu kwa wananchi bali wananidhamu kwa raisi aliyepa mikate.

Na raisi kwa mamlaka makubwa aliyonayo hata ya kupora uchaguzi na kuwa na uhakika wa kupita bila kura "hata mkipiga kura kwingine, tutaunda serikali" ni vigumu kuwasikiliza na kuguswa na maumivu ya wananchi!

KATIBA MPYA NI SASA, KATIBA MPYA NI HESHIMA YA VIONGOZI KWA WANANCHI
 
Mnajua ndugu zangu wanaccm na msiokua wanaccm kuna mambo tusipoyasema ipo siku uhalisia utatuumbua, sioni haja ya kuficha nikiwa kama mtumishi mwema wa chama na raia mzalendowa taifa langu.

Haya mambo tukiyaruhusu 2025 basi ndio mwisho wetu na tusahau tena dola.

1. Serikali ikiruhusu kuundwa kwa katiba mpya tutapoteana
Tunaelewa kabisa ya kwamba Rais amepewa mamlaka makubwa na katiba hii 1977 kuteua wakuu wote wa vyombo vya dola, amepewa mamlaka kikatiba kuteua wakuu wote wa tume ya taifa ya uchaguzi na Wakurugenzi ambao ndio wasimamizi wa chaguzi za majimbo. Mnataka tupate katiba mpya impokonye mamlaka haya tutajua wageni wa nani? Mnataka katiba isiwatambud RCs na DCs kina nani watalinda chama kule mikoani na wilayani?

2. Mama asigombee Urais 2025
Nilisema hili kwa moyo wa dhati kabisa, msiponisikia muda utazungumza. Najaribu kutazama mbele yetu chini ya Mama ni ngumu kidogo pamoja na mabadiliko mengi mazuri na makubwa anayoyafanya. Binafsi nitashauri humu na kwenye vikao vya chama mama aishie 2025.

Kwa Tanzania yetu hii babo tumejawa mfumo dume sana, watu bado hawana imani kiasi flani kwa viongozi Wanamama kupewa mamlaka za juu, pamoja na uchapakazi mzuri wa mama yetu lakini kila nikijaribu kupita mahali mitaani aprecciation ya Mama bado si ya kuridhisha. Mama ushawishi wake wa kisiasa siyo sawa na watangulizi wake.

Ikiwa wenzetu watatuletea mtu aggressive mithili ya JPM au hata afanane naye kidogo basi 2025 tumekwisha. Kama hamtaki kuamini hili hata kwa katiba iliyopo tutakwenda na maji, yatatokea ya Malawi na Zambia.

Minong'ono ni mingi sana ya kupanda kwa gharama za maisha pamoja na kuwekewa Tozo kwenye Miamala ya simu na kodi za majengo ambazo kimsingi ni haki ya mmiliki na siyo mpangaji. Haya yote wananchi hawayaafiki ni kama wanalazimishwa bila kupenda na Chama tupo kimya, tunapita mitaani na tunayaona na kuyasikia.

#Mwananchi wenu mzalendo tokea Ushetu
#Kazi iendelee!
Hapo nina wasiwasi, Chadema sindowalikuwa wanalalama kuhusu JPM, sasa hivi ndo wanatamani wasimamishe mtu kama JPM? Sidhani kama ni kweli.
 
Mnajua ndugu zangu wanaccm na msiokua wanaccm kuna mambo tusipoyasema ipo siku uhalisia utatuumbua, sioni haja ya kuficha nikiwa kama mtumishi mwema wa chama na raia mzalendowa taifa langu.

Haya mambo tukiyaruhusu 2025 basi ndio mwisho wetu na tusahau tena dola.

1. Serikali ikiruhusu kuundwa kwa katiba mpya tutapoteana
Tunaelewa kabisa ya kwamba Rais amepewa mamlaka makubwa na katiba hii 1977 kuteua wakuu wote wa vyombo vya dola, amepewa mamlaka kikatiba kuteua wakuu wote wa tume ya taifa ya uchaguzi na Wakurugenzi ambao ndio wasimamizi wa chaguzi za majimbo. Mnataka tupate katiba mpya impokonye mamlaka haya tutajua wageni wa nani? Mnataka katiba isiwatambud RCs na DCs kina nani watalinda chama kule mikoani na wilayani?

2. Mama asigombee Urais 2025
Nilisema hili kwa moyo wa dhati kabisa, msiponisikia muda utazungumza. Najaribu kutazama mbele yetu chini ya Mama ni ngumu kidogo pamoja na mabadiliko mengi mazuri na makubwa anayoyafanya. Binafsi nitashauri humu na kwenye vikao vya chama mama aishie 2025.

Kwa Tanzania yetu hii babo tumejawa mfumo dume sana, watu bado hawana imani kiasi flani kwa viongozi Wanamama kupewa mamlaka za juu, pamoja na uchapakazi mzuri wa mama yetu lakini kila nikijaribu kupita mahali mitaani aprecciation ya Mama bado si ya kuridhisha. Mama ushawishi wake wa kisiasa siyo sawa na watangulizi wake.

Ikiwa wenzetu watatuletea mtu aggressive mithili ya JPM au hata afanane naye kidogo basi 2025 tumekwisha. Kama hamtaki kuamini hili hata kwa katiba iliyopo tutakwenda na maji, yatatokea ya Malawi na Zambia.

Minong'ono ni mingi sana ya kupanda kwa gharama za maisha pamoja na kuwekewa Tozo kwenye Miamala ya simu na kodi za majengo ambazo kimsingi ni haki ya mmiliki na siyo mpangaji. Haya yote wananchi hawayaafiki ni kama wanalazimishwa bila kupenda na Chama tupo kimya, tunapita mitaani na tunayaona na kuyasikia.

#Mwananchi wenu mzalendo tokea Ushetu
#Kazi iendelee!
Polisisiem na tisissiem wameenda wapi.
 
Usitubugudhi mkuu, sisi hatutegemei wananchi wala 2025 yako, sisi tuna Siro na Tume, vinatutosha mno hivyo. Mengine ni mafomalitizi tu
Siro atakuwa ashastaafu hadi hio 2025 hata kama mmemuahidi ubunge akistaafu bado ccm ngoma ngumu 2025.IGP mpya atafanya kazi professional atokubali jeshi litumike kisiasa.
Kama jiwe na mabavu yake yote na kwa kumtumia Mahera,mtungi, wakurugenzi, police still alikataliwa live hadi akapiga magoti na kugalagala ikiwemo kutishia live kuwanyima maendeleo still alipenya kwa binde.Ccm kwa sasa haina mtu anaeuzika kwa wananchi.2025 lzm ilale,mama ndo auziki kabisa.
Nakwenda kuyaona ya Zambia,Malawi,Ghana na Nigeria yakijitokeza nchini kwetu.
Ya raisi kufia madarakani kisha ashika raisi wa mpito uchaguzi mkuu anapigwa chini na wananchi mpinzani anashinda ndo yaliyotokea nchi hizo.
Ishu ya machinga na ukosefu wa ajira inakwenda kuibamizwa vibaya CCM.
 
Wanaenda kununua mindege 16 kwa zaidi ya trillion 5 waliyolipa kwa cash ambayo kila mwaka inaingiza hasara kubwa kwa Taifa halafu hapo hapo wanasema hawana pesa ya kuajiri madaktari, Wahandisi , Wahasibu, Manesi etc!!!! Akili za wapi hizi!!!?


..tatizo la AJIRA.

..tatizo la GHARAMA ZA MAISHA.

..msiposhughulikia hayo hali ya kisiasa itakuwa tete sana.
 
Mama kumbuka nyongeza ya mishahara 01 May 2021 bado siku 192 tu.KAZI IENDELEEEE
Mnajua ndugu zangu wanaccm na msiokua wanaccm kuna mambo tusipoyasema ipo siku uhalisia utatuumbua, sioni haja ya kuficha nikiwa kama mtumishi mwema wa chama na raia mzalendowa taifa langu.

Haya mambo tukiyaruhusu 2025 basi ndio mwisho wetu na tusahau tena dola.

1. Serikali ikiruhusu kuundwa kwa katiba mpya tutapoteana
Tunaelewa kabisa ya kwamba Rais amepewa mamlaka makubwa na katiba hii 1977 kuteua wakuu wote wa vyombo vya dola, amepewa mamlaka kikatiba kuteua wakuu wote wa tume ya taifa ya uchaguzi na Wakurugenzi ambao ndio wasimamizi wa chaguzi za majimbo. Mnataka tupate katiba mpya impokonye mamlaka haya tutajua wageni wa nani? Mnataka katiba isiwatambud RCs na DCs kina nani watalinda chama kule mikoani na wilayani?

2. Mama asigombee Urais 2025
Nilisema hili kwa moyo wa dhati kabisa, msiponisikia muda utazungumza. Najaribu kutazama mbele yetu chini ya Mama ni ngumu kidogo pamoja na mabadiliko mengi mazuri na makubwa anayoyafanya. Binafsi nitashauri humu na kwenye vikao vya chama mama aishie 2025.

Kwa Tanzania yetu hii babo tumejawa mfumo dume sana, watu bado hawana imani kiasi flani kwa viongozi Wanamama kupewa mamlaka za juu, pamoja na uchapakazi mzuri wa mama yetu lakini kila nikijaribu kupita mahali mitaani aprecciation ya Mama bado si ya kuridhisha. Mama ushawishi wake wa kisiasa siyo sawa na watangulizi wake.

Ikiwa wenzetu watatuletea mtu aggressive mithili ya JPM au hata afanane naye kidogo basi 2025 tumekwisha. Kama hamtaki kuamini hili hata kwa katiba iliyopo tutakwenda na maji, yatatokea ya Malawi na Zambia.

Minong'ono ni mingi sana ya kupanda kwa gharama za maisha pamoja na kuwekewa Tozo kwenye Miamala ya simu na kodi za majengo ambazo kimsingi ni haki ya mmiliki na siyo mpangaji. Haya yote wananchi hawayaafiki ni kama wanalazimishwa bila kupenda na Chama tupo kimya, tunapita mitaani na tunayaona na kuyasikia.

#Mwananchi wenu mzalendo tokea Ushetu
#Kazi iendelee!
 
Kwa Tanzania yetu hii babo tumejawa mfumo dume sana, watu bado hawana imani kiasi flani kwa viongozi Wanamama kupewa mamlaka za juu, pamoja na uchapakazi mzuri wa mama yetu lakini kila nikijaribu kupita mahali mitaani aprecciation ya Mama bado si ya kuridhisha. Mama ushawishi wake wa kisiasa siyo sawa na watangulizi wake.
Unafiki wako unajitokeza katika aya hii hapa, mengine yote ni mapambio tu.

Mtakuwa na kazi kubwa sana ya kuzuia uwepo wa Katiba mpya, huku mkiwa na matarajio ya kuendelea kuwafanya waTanzania kuwa ni wapumbavu.
 
Wanaenda kununua mindege 16 kwa zaidi ya trillion 5 waliyolipa kwa cash ambayo kila mwaka inaingiza hasara kubwa kwa Taifa halafu hapo hapo wanasema hawana pesa ya kuajiri madaktari, Wahandisi , Wahasibu, Manesi etc!!!! Akili za wapi hizi!!!?
Na hawana habari kabisa na "Wamachinga", ..., akili za tope hizi!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom