Azadirachta
Senior Member
- Oct 9, 2010
- 171
- 11
Azadirachta, nadhani ulimaanisha Mt.Vernon ni mahali poa kwa wabongo wengi wana ushirikiano sana watu wa hapo na mpaka kuna wazee wetu pale, ila pia kuna aina tatu za hawa wana CCM wa matawi ya ughaibuni.
1. CCM Damu- ni kundi la wana CCM ambao wanaipenda CCM kwa dhati, ni watoto wa viongozi, wamezaliwa CCM na hata liwake jua, inyeshe mvua, hawataiacha CCM kamwe na watafia CCM.
3. Wafaidika-hili ni kundi la wale wanaofaidika na uwepo wa CCM madarakani, wanaipenda CCM just for convenience kwa sababu CCM imewafikisha hapo walipo, hawa sio commited sana, wengi ni wafanya biashara, watatumia fedha zao kuifadhili CCM sio kwa sababu wanaipenda sana, bali kulinda status quo zao, CCM ikipigwa chini, convenience inaisha, wataitosa.
3.Waganga njaa- Hawa ndio kundi kubwa zaidilikijumuisha ma loosers kibao ambao wanaikumbatia CCM wakitafuta opportunities za kutokea, hawa wanachoipendea CCM ni njaa zao tuu, CCM ikipigwa chini, wataachia ngazi na utaanza kusikia matawi ya Chadema ughaibuni.
Mkuu uchambuzi yakinifu huu!
Ila kweli kuna CCM damu?basi kama wapo ni asilimia chache sana 0.5%
Nadhani makundi makubwa ni hayo ya Waganga njaa na wafaidika
Mzee Mzima Malecela ameng'oa mashine za maji huko Mtera bwawani sababu wananchi hawana shukrani hawakumchagua! Huyu mzee nadhani anaingia kundi la wafaidika.