Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Kenge hasikii mpaka Masikio yatoke Damu.
Ujumbe wa Lema ni a quote from Martin Niemoller. Tumia ubongoUjumbe una jina kabisa la mwenye ujumbe halafu unasema ni wa Lema.
subiri kwanza wapate mamlaka ndo uwahukumuHata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.
Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.
Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
subiri kwanza wapate mamlaka ndo uwahukumu
Ha ha ha. Nimemuelewa sana Mh. Lema. Huyo ni timu mkulu si unajua mtafasiri wao amesafiri kwa hiyo wanapata tabu sanaBashite nini?
Leo kama wewe uko salama kwa vile tatizo halikuhusu wewe ila kesho na wewe itakuwa inakuhusu.... Nimejalibu kuona hivo katika Ujumbe huo wa lema kwamba ccm na nyie mjiandae siku yaja!!" First they came for the Jews, but I did nothing because I'm not a Jew. Then they came for the socialists, but I did nothing because I'm not a socialist. Then they came for the Catholics, but I did nothing because I'm not a Catholic. Finally, they came for me, but by then there was no one left to help me " Martin Niemoller
Sasa utawapima vp kuda!!Si lazima nisubiri...
Hauoni funga/fungua semi kuwa amenukuu.Tumia lugha ya taifa ueleweke na wengi jombaa
Kwa kweliWhat they did to him is unforgivable!
Kama ni "huenda", kumbe "huenda" Chadema wakawa wazuri zaidi ya CCM. Andishi la Lema ukiacha "headline" yake haliwahusu CCM linahusu nchi...Hata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.
Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.
Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
Halafu hawa CHADEMA bana...huwa siwaelewi kwa nini wanapenda kuwapa ushauri CCM!
Mimi siwezi kumpa ushauri mpinzani wangu hata siku moja hususan akiwa anajimaliza mwenyewe.
Utajuaje kwamba wanajimaliza bila kutoa "ushauri" wa kinafiki! Nimeshasikia CCM pia wakiwapa CHADEMA na CUF "ushauri". Hata Democrats wanawapa "ushauri" republicans na kinyume chake!Hata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.
Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.
Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
Halafu hawa CHADEMA bana...huwa siwaelewi kwa nini wanapenda kuwapa ushauri CCM!
Mimi siwezi kumpa ushauri mpinzani wangu hata siku moja hususan akiwa anajimaliza mwenyewe.
Mbona wewe unawashangaa wakati Ni maadui zako. Mi siwezi kumshangaa adui yangu nakuwa nae MakiniHata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.
Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.
Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
Halafu hawa CHADEMA bana...huwa siwaelewi kwa nini wanapenda kuwapa ushauri CCM!
Mimi siwezi kumpa ushauri mpinzani wangu hata siku moja hususan akiwa anajimaliza mwenyewe.
Umeongea MKUU...Me naona Hawa wanaweza binafsisha nchi kabisa.Ptuuuh
Hata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.
Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.
Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
Halafu hawa CHADEMA bana...huwa siwaelewi kwa nini wanapenda kuwapa ushauri CCM!
Mimi siwezi kumpa ushauri mpinzani wangu hata siku moja hususan akiwa anajimaliza mwenyewe.
Kama Wamarekani wana kautaratibu japo sio rasmi wa kubadili sasa huoni kama hata kama wote ni binadamu au waTZ ni veema kubadilishana badala ya kusema wote ni sawa? kwa uelewa wako CCM ni sawa na ACT kiitikadi? Hapo sijazungumzia matendo. Kwani vyama vingi vilianzishawa 1961 or 1977 au 1992? Kwani rasmimali iliokuwa nazo CCM zinazo chama kingine? kwani Chadema au CUF au CHAUSTA walishakuwa madarakani?It's easy to say 'very low for you' [should be very 'low of you'] than show how is it low.
He quoted somebody. Don't you see? The message is very clear for those who have brains.Is that all you have to say? You seem scared to express yourself in more concrete terms. I expected more from a politician of your calibre.
Ivi niwewe Musalani?Mbona tupo pamoja sana wakati tuliwahi kutofautiana sanaHuwa tunawakumbusha sana, hata hawa walioko hapa JF. Lakini masikioni wameweka Pamba.