CCM tafakarini huu ujumbe wa Lema

CCM tafakarini huu ujumbe wa Lema

Mtu aliyekwama kwenye tope akimuelekeza aliyetoka kwenye tope jinsi ya kutoka kwenye tope
 
" First they came for the Jews, but I did nothing because I'm not a Jew. Then they came for the socialists, but I did nothing because I'm not a socialist. Then they came for the Catholics, but I did nothing because I'm not a Catholic. Finally, they came for me, but by then there was no one left to help me " Martin Niemoller

Is that all you have to say? You seem scared to express yourself in more concrete terms. I expected more from a politician of your calibre.
 
Ujumbe ni kwamba ukiona jirani yako kafiwa na mtoto wakati na wewe una mtoto, nenda kwenye huo msiba wa jirani yako maana kuna siku hicho kifo chaweza mfika mwanao kwa uchungu uleule wa jirani yako. Usifikiri matatizo ya watu wengine hayakuhusu, ukweli ni kwamba yanakuhusu hata kama kwa wakati huo hayajakufika wewe moja kwa moja. Ukiwa na tabia ya kudharau kutatua shida za wenzako kuna siku shida itakukuta na hutakuwa na wa kukusaidia.
 
Kama Wameweza kuufanyia vile mtimbichi (nape) sembuse mti mkavu bashite out
 
Huu mfano hautaeleweka kwa wengi. Watz wachache sana wanafahamu kuhusu Nazism.
 
" First they came for the Jews, but I did nothing because I'm not a Jew. Then they came for the socialists, but I did nothing because I'm not a socialist. Then they came for the Catholics, but I did nothing because I'm not a Catholic. Finally, they came for me, but by then there was no one left to help me " Martin Niemoller

Dirt McGurt will always watch your back.
 
Bwana mmoja alitega mtego wa panya chini ya uvungu... Mara Baada ya kuuona mtego ule, Panya alimfuata ng'ombe na kumuomba amsaidie kutegua mtego ule.
Ng'ombe akajibu :Ule mtego sijategewa mimi, kwaiyo sioni sababu ya kuangaika kwenda kuutegua. Panya akaondoka zake.
Siku moja nyoka akanasa kwenye ule mtego, bwana yule kwenda kutazama akaumwa na yule nyoka, akafa. Msiba ulipoanza Watu walikua wachache, kuku zikaanza kuchinjwa zikaisha. Watu walipozidi ikabidi yule ng'ombe achinjwe ili mboga itoshe

Kabla ya kuchinjwa, Panya alimfuata na kumkumbusha kuhusu mtego.
 
Pamoja na yote bado Nape hajatendewa haki kabisa! Nape ndiye waziri pekee ambaye alikuwa anaonyesha kuijua vizuri kazi yake. wengine ni 'ndiyo mzee'. Hii dhambi aliyomfanyia Nape ni laana kwake na vizazi vyake hata baada ya kutoka madarakani. Leo yupo madarakani lakini "Siku hazigandi". Hata Idd Amin na Hitler tumebaki kusema 'walikuwepo'. Hivi kweli huyu ndugu hana roho ya ubinadamu? Hana fadhila? Kweli fadhila mfadhili mbuzi......
 
Hata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.

Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.

Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.

Siyo labda. Wako hovyo kuliko watu wa hovyo wooote
 
Hata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.

Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.

Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
Umeongea MKUU...Me naona Hawa wanaweza binafsisha nchi kabisa.Ptuuuh
 
Tumia lugha ya taifa ueleweke na wengi jombaa
Mengine ikitumika lugha ya taifa tutapoteza maana kiuhalisia yaani hapo yuko sahihi. Kwa ufupi si tafsiri yake yaani, waliposakamwa machinga sikusema kitu kwa kuwa mimi sikuwa mmachinga, waliposakamwa madaktari nilikaa kimya kwa kuwa mimi si daktari, waliposakamwa viongozi wa dini pia nilikaa kimya kwa kuwa sina dini wala sikuwa kiongozi. Walipofika kwangu walinitesa na watu wengine walikaa kimya pia hawakunisaidia. Yaani unaposikia mwenzako anaumizwa ungana naye kupambana ili kumuokoa. Usipofanya hivyo kesho itakuwa kwako. Namba tutaisoma wote Nape kaisoma juzi alidhani ni kwa wapinzani tu lakini imemfikia. Kama na hapo hujaelewa basi kasome memkwa.
 
Hata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.

Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.

Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
Hii inaonyesha unakubaliana na huo ujumbe kuwa una ukweli mwingi!
 
" First they came for the Jews, but I did nothing because I'm not a Jew. Then they came for the socialists, but I did nothing because I'm not a socialist. Then they came for the Catholics, but I did nothing because I'm not a Catholic. Finally, they came for me, but by then there was no one left to help me " Martin Niemoller
Asante kamanda ngoja nikaazime dictionary
 
Hata CHADEMA mwapaswa kuyatafakari hayo maneno kwani na nyie wala hamna tofauti kubwa na CCM.

Huenda hata mkawa mko hovyo zaidi ya CCM nyie.

Ni vile tu bado hamjapata mamlaka kamili ya kutuonyesha makucha yenu.
Unaonaje urudi nyumbani ubongo wako ukae sawa? Shughuli za kuosha vyombo marekani zinakuharibu akili sababu ya sabuni zenye kemikali kali
 
" First they came for the Jews, but I did nothing because I'm not a Jew. Then they came for the socialists, but I did nothing because I'm not a socialist. Then they came for the Catholics, but I did nothing because I'm not a Catholic. Finally, they came for me, but by then there was no one left to help me " Martin Niemoller
Jamaa alidhani polisi wapo kwa ajili ya wapinzani tu. Sasa jana kashangaa
Lakini kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuwaambia wakimalizana na wapinzani watakuja Ccm. Nape huo ni mwanzo. Nothing to fear sisi tulisha zowea.
Welcome to the scene
 
Back
Top Bottom