ni mm kaka litarudi soon kwanza baada ya mwamba kukaaNi wewe kweli, au mwingine; maana naona gwanda la kijani limewekwa Pembeni?
Ni sawa, mkuu wangu 'Stakehigh', vyovyote na itakavyokuwa; 'our common denominator'', ni hii Tanzania yetu sote.ni mm kaka litarudi soon kwanza baada ya mwamba kukaa
Uunguze hata vimapango vyao wanavyojifiichaaammo.Wanaotaka Reforms ndani ya CCM ni wengi sana na walio na nguvu, tatizo kubwa ni mfumo wa ukweli na uwazi haupo CCM, pamoja na suala la "kofia mbili" ambalo linatumika kumfunga mdomo yeyote ndania ya chama na nnje ya chama kwa atakayekuwa "anawashwawashwa".
Kumepatikana njiti ya kiberiti na mafuta na mtu mmoja wa kuanzisha moto, sasa pori linaenda kuteketezwa.
Ndio hapo mkuu. Sasa njoo kina Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa utawakuta wanasujudu hapa jamvini sijui wanataka teuzi auKama Mabalozi wanakitema hicho chama wewe na mimi ambao hatupati hata mia tunatiki ili iweje?
Hii mbona kama timu?
Kavuliwa nguo zote anapigwa michale yamakalioni😆Bi Mdashi saa hizi yupo busy na Waganga wa Oman ni mwendo wa kutoa kafara tu😀😀😀😀😀
View attachment 3411072
Nimechekaaaahuyo jini shumileta
Nimeandaa madumu kumi ya petroli Nasubiri tu moto ulipuke nikasaidie chama changu kuuzima!Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.
Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kavuliwa nguo zote anapigwa michale yamakalioni😆
Waganga wajinga sana,wanaweza kuchanja hata antenaKavuliwa nguo zote anapigwa michale yamakalioni😆
Nauliza tu mpina alipiga kura ya ndio!
ni mtu mwenye Mungu.Lissu ni mtu hatari sana.
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.
Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
D2 ni muhimu hapo MkuuHii mbona kama timu?
Mwisho mwema unahitaji kuandaliwa ujue.Basi fikieni conclusion nipumzike, kichwa kinauma thread za leo 😡
Hizi ni excuse zinazotumika na regime apologists. Kama kiongozi ukiona Kuna mambo hukubaliani nayo basi unaachia ngaziUsikute mama wa watu hata Hana Matatizo shida ni walio muweka hapo ktk siasa unaweza kumuona Kiongozi wa nchi ana nguvu kumbe waliopo nyuma yake ndio wenye nguvu zaidi yake na Wana mtisha kuwa akiachia madaraka wata muua yeye au Kizazi chake au watamfilisi ,
So sad 😢 to her
Umesema mumewe!Wajumbe hili taifa lipo nyuma yenu muondoeni huyo jini shumileta anayeuza vipande vya nchi kwa kupitia mabega yenu. Kwa mara ya kwanza mtakumbukwa na vizazi hata vizazi kwa kuliondoa hilo jimama ambalo haliwaonei hata aibu huku nyinyi mkizificha kende zenu mbele yake. Mumuondoe bila kumuonea aibu na mumewe kikwete kamateni weka ndani