Hamuna Hoja.... Mkumbusheni huyo Polepole na nyinyi Bendera Fwata UpepoSasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.
Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888