CCM nyaya zimegusana

CCM nyaya zimegusana

Wajumbe hili taifa lipo nyuma yenu muondoeni huyo jini shumileta anayeuza vipande vya nchi kwa kupitia mabega yenu. Kwa mara ya kwanza mtakumbukwa na vizazi hata vizazi kwa kuliondoa hilo jimama ambalo haliwaonei hata aibu huku nyinyi mkizificha kende zenu mbele yake. Mumuondoe bila kumuonea aibu na mumewe kikwete kamateni weka ndani
Wasukumwe ndani
 
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
Nchi za Africa & Middle East bila uDictator haziendi, ni kupotezeana mda tu
 
IMG-20250715-WA0005 (1).jpg
 
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
 

Attachments

  • cf0ea736521de32f5d65e1a6b7fd56a4_1747824734726.mp4
    579.6 KB
Wanaotaka Reforms ndani ya CCM ni wengi sana na walio na nguvu, tatizo kubwa ni mfumo wa ukweli na uwazi haupo CCM, pamoja na suala la "kofia mbili" ambalo linatumika kumfunga mdomo yeyote ndania ya chama na nnje ya chama kwa atakayekuwa "anawashwawashwa".

Kumepatikana njiti ya kiberiti na mafuta na mtu mmoja wa kuanzisha moto, sasa pori linaenda kuteketezwa.
Hao dawa ni kuwachonganisha tu, wamalizane kabisa.

Moto uchochewe zaidi kina polepole wengi wajitokeze
 
Wanaotaka Reforms ndani ya CCM ni wengi sana na walio na nguvu, tatizo kubwa ni mfumo wa ukweli na uwazi haupo CCM, pamoja na suala la "kofia mbili" ambalo linatumika kumfunga mdomo yeyote ndania ya chama na nnje ya chama kwa atakayekuwa "anawashwawashwa".

Kumepatikana njiti ya kiberiti na mafuta na mtu mmoja wa kuanzisha moto, sasa pori linaenda kuteketezwa.
Polepole huyo ameamua kuchomoa betri tanker la mafuta lilipuke! Yajayo yanafurahisha sana mwaka huu🙄
 
Leooo nachekaa sanaaa
Zinaibuka thread lisaaa zinazinwaaa shwaaa
Ukifungua mchana hizoooo

Liasaaaaa shwaaaaaa

Kuleni mondeeee mtakufa na siasa
Mkuu mm hata sielewi Kuna nini huko viunga vya Lumumba leo, naona siredi zinashuka tu zimejaa shangwe na nderemo..hv Kuna nini mkuu?
 
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
NAKULA ZANGU RAGGAE HAPA..... KUNA MWALIKO WAKO WA Kitimoto NA TUMAJI TUCHUNGU. MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU SANA, YALIYOJAA FURAHA, AFYA TELE, NA MAFANIKO CHANYA KWENYE KILA JAMBO UTAKALOLIFANYA.
HAKIKA HUU MWAKA TUNAENDA KUSHUHUDIA ANGUKO KUBWA LA SHETANI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom