CCM nyaya zimegusana

CCM nyaya zimegusana

Kwenye political, social and economic issues haitarajiwi wote tuwe na mawazo yanayofanana!
Ila kuna principles za kukubaliana kutofautiana. Mfano uchaguzi huru na wa haki unazingatia mambo gani. Yapo? Kama hayapo tunapaswa tukubaliane.
Je mgombea wa ccm/ raisi kuteuwa wakuu wa tume inayosimamia uchaguzi anaogombea yye ni sawa!?
Matokeo kutopingwa mahakamani ni swa?
Mgombea wa ccm kujipitisha ni sawa?
 
Ila kuna principles za kukubaliana kutofautiana. Mfano uchaguzi huru na wa haki unazingatia mambo gani. Yapo? Kama hayapo tunapaswa tukubaliane.
Je mgombea wa ccm/ raisi kuteuwa wakuu wa tume inayosimamia uchaguzi anaogombea yye ni sawa!?
Matokeo kutopingwa mahakamani ni swa?
Mgombea wa ccm kujipitisha ni sawa?
Nani kakuaminisha matokeo yakipingwa mahakamani ndio uchaguzi unakuwa huru na haki?
 
Nani kakuaminisha matokeo yakipingwa mahakamani ndio uchaguzi unakuwa huru na haki?
Mm nimekupa mfano tu. Nimetaja mambo meengi lakini unajenga hoja kwenye hilo la Mahakama.
Okay. Na raisi/ mgombea wa ccm kuteua wakuu wa tume ni sawa? Tume inaweza kutomtii rais aliyewateua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom