CCM nyaya zimegusana

CCM nyaya zimegusana

Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
Hahahaha Hakika No redorms inefika meza kuu Sasa sijui na wao watapeana kesi za uhaini??
 
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
Hivi Uchaguzi Mkuu utakapokuwa umefanyika na washindi kutangazwa na kuapishwa, mtaongea nini?
 
Mmeingizwa cha kike. CCM ni michezo yao kuwazuga.Hii yote ni michezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom