Bramo JF-Expert Member Oct 21, 2009 13,160 10,007 Jul 8, 2020 #3 Jamaa baada ya kuwekwa Bench Zimamoto na kukumbujwa tena, Kwa sasa ana ubao wa Hatari. Atafanya lolote
Jamaa baada ya kuwekwa Bench Zimamoto na kukumbujwa tena, Kwa sasa ana ubao wa Hatari. Atafanya lolote
Jile79 JF-Expert Member May 28, 2009 17,668 13,237 Jul 9, 2020 #4 CHADEMA ni chama cha mioyo ya watz wkt ccm ni chama Cha mioyo ya polisi na tume ya uchaguzi