JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
Wakuu, mjumbe hauwawi. Mnakaribishwa sana
Wakuu, mjumbe hauwawi. Mnakaribishwa sana
Mkuu
Naomba tangazo hili litolewe.
Sioni sababu ya kuliondoa ili tangazo hapa, mbona ya Chadema ya napo we kwa hapa na wasiyo wausika hamsemi ya tolewe?
Hivi wewe ni nani humu ndani? maana naona unafundisha kazi watu sasa ? MODS wataliondoa endapo wataona kuna sababu ya kufanya hivyo .
Mie sijaongelea mambo ya CHADEMA na siyo mwanahcma wa CHADEMA.siku zote huwa mnapotea sana kwa kuzania kila anayeponda mabaya ya CCM ni CHADEMA.Jibu hoja na siyo kuleta vioja na kubwabwaja.
Mie ni mtu mwenye Mlengo wa kushoto na hapa sikuangalia itikadi za chama chochote ila mstakabali wa taifa.
Naomba Invisible kwa Heshima na kutumia jamiiformus kusupport jambo hili haututendei haki hata kidogo.Kwa taarifa yako ningekupinga hata kama Mkuu angeleta tangaz la CHADEMA.
Hivi wewe ni nani humu ndani? maana naona unafundisha kazi watu sasa ? MODS wataliondoa endapo wataona kuna sababu ya kufanya hivyo .
We endelea na mlengo wako wa kushoto hakuna aliyekuambia uwe kwenye mlengo wa kulia!
Kuchangia uchaguzi mkuu. Kila kitu kuomba omba tu.
Si Tanzania tu bana......mbona Marikani wanachangia uchaguzi(kwa kuombaomba kama hivi)....Kama hutaki kuchangia waweza sepa vilevile...Hajalazimishwa mtu hapo ati...............
Marekani wako dunia nyingine! Bibi yake Kabula pale karibu na kwa Mzee Luhende bado wanakunywa maji ya kwenye Malambo na akiugua analazwa chini na bila dawa!!!...kwani michango isifanyike kwa mambo endelevu? ie kuweka bomba za maji, Kujenga majosho, kuimarisha zahanati na vituo vya afya?
Kama nilivyo sema kwenye thread ya (Ubunge Hai) Kuwa kuna harambee kubwa inaandaliwa na mama Vicki Swai ni harambee maalumu kwa jili ya jimbo la moshi mjini (sio kama wanavyoda wenyewe ) ikiwa na maana kwamba ni harambee ya kuchangisha fedha za kumuondoa mzee Ndesamburo kwenye jimbo la moshi mjini. Naona kazi imeanza rasmi sasa!