CCM msituletee tena Rais kama Hayati Magufuli

Sio tuu Rais wa dizaini ile ila nashangaa inakuaje dini ile inaleta watu makatili tuu?
 
Wacha tukuombee ili ukaungane naye mapema mfanye mipango yenu
 
Na umeshiba haswa hayo maji ya bendera. Katiba yenyewe inatambua hii nchi ni ya vyama vingi, japo kimoja kinasaidiwa na polisi kubaki madarakani.
 
Taahi.ra jingine hili..
 
CCM kuna wakati wanaweza kuwa na uwezo huo. Kuna wakati mambo yanatokea kwa namna ambayo hakuna anayeweza kujua. Kuweka Rais ni project iliyowashinda karibu wote
 
kutengwa na jumuia ya kimataifa kunafanya ukose bwana wa kizungu au???!

acha uzwazwa bana.
Mashoga mmejazana uvcc ndiyo mwenzenu jana kajitangaza kuwa anasingiziwa kuwa yeye ni shoga na nambari yake ya simu kaweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…